Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo maelezo kutoka juu. Wewe na mimi hatujui. Ila ninachojua huu upuuzi una mwisho.
Uwongo sisi mbona huwa tunaandikia wito wa kufika kituo cha polisiPolisi hawana summons hiyo hutolewa mahakamani kwenye kesi ya madai au kwa shahidi.
...
.....Mkuu we kiboko umemchomoa.....
Dua la kuku?kwani hao unaosema wana visasi hawaombi Mungu?Serekali ya visasi! Mungu nyoosha mkono wako!
Tundu Lissu: Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi
Tumaini Makene: Mbowe amejipeleka mwenyewe Polisi
Wenye akili wanajua nani ni mkweli na nani ni propaganda
Nawewe unaamini mikocheni ni sehemu ya kujificha kabisaaaaKama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
Hapa safi
maana Mbowe ni Mtanzania kama watanzania wengine
lazima kuheshimu mamlaka
msumbiji kuna ninitunataka jibu la msumbiji, mbona wamekaa kimya hivi
Kwa jinsi ulivyo andika uzi huu, bila shaka una element za UchocheziTaarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Acha kudanganya watuWaheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.
Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
unamtukana Lizaboni kwa lipiwe aliyekuzaa alikwenda kuharisha ndo ukatokea