Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Hapa safi
maana Mbowe ni Mtanzania kama watanzania wengine
lazima kuheshimu mamlaka
 
Tatizo maelezo kutoka juu. Wewe na mimi hatujui. Ila ninachojua huu upuuzi una mwisho.

Ndiyo maana nasema kuna siku Sirro atasema,na ukweli huwa haujifichi hata huyo Makonda atasema kwanini amefanya hivyo.
 
Wahusika wa mtandao huu futeni huu Uzi, unapotosha na unaleta picha mbaya kwa rais wetu . mbowe amejipeleka mwenyewe.
 
c001c2216a5aa0fd3c310027c24c9d34.jpg

hakuna hilo
baada yakujilikana nani mwenye nguvu na mamlaka
eti kajipeleka mwenyewe!!
mlisema hataenda polisi
pia mwenyewe alisema hatakwenda polisi

KILA BOSI NA BOSIWAKE
 
rudi uwasaidie ndugu zako kule lizaboni na msamala wanapata shida.
 
Hakuna alie juu ya sheria .take care guy,nenda kachukue dhamana ya tuhuma zake il yy aachiwe.
Tatizo lenu kila jambo mnaingiza siasa .
Acheni serikali ifanye kazi.mbivu na mbichi zijulikane
 
Tundu Lissu: Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi

Tumaini Makene: Mbowe amejipeleka mwenyewe Polisi

Wenye akili wanajua nani ni mkweli na nani ni propaganda

ya kwako ndiyo Propaganda,jibu unalijua vyema kwamba ameenda mwenyewe.
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Kwa jinsi ulivyo andika uzi huu, bila shaka una element za Uchochezi
 
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Acha kudanganya watu
b90b2fc7a8bd377cdb9eb3e561eeef3f.jpg
 
Back
Top Bottom