Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,355
- 21,411
Lissu yupo Bunda,anayejua issue za Makao makuu ni Tumaini hivyo acha uchonganishi na upumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu si kweli tundu lissu alisema hayo asa mbowe kaenda kufanya nini?Wewe akiri yako hata robo ya tundu lissu ufiki endelea kutumia ID feki basi ndo unachoweza
Kwahiyo akili yako imejua nin?Tundu Lissu: Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi
Tumaini Makene: Mbowe amejipeleka mwenyewe Polisi
Wenye akili wanajua nani ni mkweli na nani ni propaganda
sijui upo dunia gani, hujui watz wanachofanywa msumbiji, subiri walioko mtwara watakuja na majibu mubashara ( live)msumbiji kuna nini
Asa hakujua haya au alitaka publicity kwanzaWaheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.
Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Kati ya Lisu na wewe Kibendera yupi kanena vyema?ya kwako ndiyo Propaganda,jibu unalijua vyema kwamba ameenda mwenyewe.
MH MBOWE ALIENDA MWENYEWE POLICE
Kwa jinsi ulivyo andika uzi huu, bila shaka una element za Uchochezi
Kwa hiyo Lissu amekurupuka siyo?Lissu yupo Bunda,anayejua issue za Makao makuu ni Tumaini hivyo acha uchonganishi na upumbavu.
Hizi mbwebwe za kipuuzi sanaAcha kudanganya watu
![]()
Nshu ya Msumbiji yahusiana vipi na Hii mada!!sijui upo dunia gani, hujui watz wanachofanywa msumbiji, subiri walioko mtwara watakuja na majibu mubashara ( live)
Polisi hawana wito hata siku moja kwanini anayekuletea wito asikukamate?Uwongo sisi mbona huwa tunaandikia wito wa kufika kituo cha polisi
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA