Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Mkuu, ikithibitika hizi taarifa si za kweli naacha kuitetea CCM na Serikali na nitajiunga na Team Lowasa kama ulivyofanya wewe

Nilikuwa nahisi ndio kazi yako. Ila kwa sasa nashukuru umekiri mwenyewe. Kazi njema mkuu
 
jamani tusipanick cz kila anaye enda hukoo hamna alikutwa na hatia ya kuuza baliii ni ya kutumiaaa hope that hata mboe atatoka na tutapata jibu kwamba sio muuzaji bali mtumiaji.... thc lk aphilpiins movie mwisho wa picha u nw everthing while episode 7_50.... ha ha ha haha aha ha 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂😛😛😛😛😛😎😎😎 tumuombeee mungu TANZANIA yetu iwe na amani na sisi tuwe watu wa kusubiri na kutarajia mema kila sikuuu.....
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Taja chanzo cha habar na pia ueleze uhakika wako kwamba alienda kujificha mikocheni na si kwamba alikua ktk mizunguko yake
 
hivi kama anahatia kulikuwa na shida gani kuandika summons na kumpelekea kama walivyofanya kwa MASOGANGE??Au kwa sababu MAsogange ni chakula ya wakubwa???Ni aibu kuona haya yanatendekea kwenye nchi ambayo Vyama vingi vimekuwepo kwa almost 20 years,na hakuna vitu kama hivi vilivyokwisha tokea.

Unadhani tunalipeleka wapi TAIFA?/Hivi Taifa ni la wanachama wa CCM tu?Basi gaweni TAIFA tujue upande huu ni CCM na upande huu ni wapinzani ianwezekana tukawa na amani kwa wale ambao tunaamini katika vyama vingi
Yeye kwenda aliona nini ,mpaka wiki nzima ndio anaenda mpaka alazimishwe kama kitoto kisichana kinachotongozwa bhna
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ameamua kwenda mwenyewe Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kuitikia wito. Taarifa hii ni kwa mujibu wa Msemaji wa CHADEMA Tumaini Makene
tmp_17459-FB_IMG_1487596961857-36705236.jpg

Hii picha haihusiani na tukio la leo
 
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Tumekusoma mkuu.
 
Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.

Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yeye kwenda aliona nini ,mpaka wiki nzima ndio anaenda mpaka alazimishwe kama kitoto kisichana kinachotongozwa bhna

Kaka hebu angalia lugha yako unachoongea ndicho kilichoko kwenye ubongo wako.Amesema aitwe kwa summons sasa polisi wamempelekea ameenda kuna kingine??
 
Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?

Kajificha vipi wakati unaambiwa wamemkuta getini,mtu mwenye akili timamu anaweza jificha getini? Mbona unabadilisha maana au ndiyo uko upande ule unaosema nchi haina njaa?
 
Kaka hebu angalia lugha yako unachoongea ndicho kilichoko kwenye ubongo wako.Amesema aitwe kwa summons sasa polisi wamempelekea ameenda kuna kingine??
Hahaha eti wamempelekea
Ficha ujinga wako sema ukweli
alijificha kichwa
mwili woote upo nje!!
 
Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.

Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.

Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.

Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Kwa hiyo?
 
hivi kama anahatia kulikuwa na shida gani kuandika summons na kumpelekea kama walivyofanya kwa MASOGANGE??Au kwa sababu MAsogange ni chakula ya wakubwa???Ni aibu kuona haya yanatendekea kwenye nchi ambayo Vyama vingi vimekuwepo kwa almost 20 years,na hakuna vitu kama hivi vilivyokwisha tokea.

Unadhani tunalipeleka wapi TAIFA?/Hivi Taifa ni la wanachama wa CCM tu?Basi gaweni TAIFA tujue upande huu ni CCM na upande huu ni wapinzani ianwezekana tukawa na amani kwa wale ambao tunaamini katika vyama vingi
Relax, nadhani kauli zako ndio za chuki hadi unafikia kutoa proposal ya kugawa taifa kisa mwenye kiti wa chama cha upinani ambaye anahitwa kutoa maelezo na maoni yake kuhusu madawa ya kulenya ikibidi kama itaonekana hivyo na wahusika apimwe kabisa ili jamii ijue ni nia yake njema ya kupambana na madawa. Wengine hawa watu huwa tunawaonamajukwaani tu ila maisha nje ya jukwaa hata wewe hujui, tuache vyombo vifanye kazi kama wanamuonea taratibu zingine zifuate.

Ila unalialia na kulalamika sana ndugu. Punguza political emotions
 
Back
Top Bottom