Mkuu, ikithibitika hizi taarifa si za kweli naacha kuitetea CCM na Serikali na nitajiunga na Team Lowasa kama ulivyofanya wewe
Taja chanzo cha habar na pia ueleze uhakika wako kwamba alienda kujificha mikocheni na si kwamba alikua ktk mizunguko yakeTaarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
Kati ya Lisu na wewe Kibendera yupi kanena vyema?
haitatokea sifongolosiNajaribu kuwaza siku CDM ikichukua Nchi......kwa hayo manyanyaso wanayopitia hawa watesi wao wataenda kujificha wapi?
Tulisema Lazima huyu munguwenu afikishwe polisiHizi mbwebwe za kipuuzi sana
Yeye kwenda aliona nini ,mpaka wiki nzima ndio anaenda mpaka alazimishwe kama kitoto kisichana kinachotongozwa bhnahivi kama anahatia kulikuwa na shida gani kuandika summons na kumpelekea kama walivyofanya kwa MASOGANGE??Au kwa sababu MAsogange ni chakula ya wakubwa???Ni aibu kuona haya yanatendekea kwenye nchi ambayo Vyama vingi vimekuwepo kwa almost 20 years,na hakuna vitu kama hivi vilivyokwisha tokea.
Unadhani tunalipeleka wapi TAIFA?/Hivi Taifa ni la wanachama wa CCM tu?Basi gaweni TAIFA tujue upande huu ni CCM na upande huu ni wapinzani ianwezekana tukawa na amani kwa wale ambao tunaamini katika vyama vingi
Tumekusoma mkuu.Waheshimiwa Viongozi na Wanachama wa Chadema Dar es salaam, Siku ya leo Mwenyekiti wa Chama Mhe.Freeman Mbowe akiwa Kwenye Mkoa wetu wa Dar es salaam, Ameamua kwenda Central police baada ya kuwepo na Taarifa nyingi kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuwa anahitajika Police.
Taarifa za kusema ya kwamba jeshi la police limemkamata na kumpeleka Central police ni taarifa za uongo ambazo hatujui zinataka kulenga kitu gani...Taarifa sahihi ni Kwamba Mhe.Freeman Mbowe ameamua kwenda baada ya taarifa kuzagaa kuwa anatafutwa.
By Henry Kilewo
Katibu Mkoa wa Dsm
Yeye kwenda aliona nini ,mpaka wiki nzima ndio anaenda mpaka alazimishwe kama kitoto kisichana kinachotongozwa bhna
Hajatukanwa mtuKibendera aliyekulipa uje humu na kutukana watu.Upumbavu peleka Lumumba
Kama ni kweli basi Mbowe anajimaliza kisiasa, kwa nini ajifiche kama hana dosari?
Hahaha eti wamempelekeaKaka hebu angalia lugha yako unachoongea ndicho kilichoko kwenye ubongo wako.Amesema aitwe kwa summons sasa polisi wamempelekea ameenda kuna kingine??
Kwa hiyo?Taarifa nilizopata kutoka kwenye chanzo changu cha kuaminika ni kwamba, Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ametiwa nguvuni na Jeshi la Polisi baada ya jitihada za kukimbia na kujificha kushindikana.
Mbowe amekamatwa maeneo ya Mikocheni ambako alienda kujificha ili asikamatwe na Jeshi la Polisi.
Kwa sasa wapo njiani kuelekea Central ambako atahojiwa kutokana na tuhuma za kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya pamoja na kulisababishia usumbufu na gharama jeshi la polisi.
Taarifa zaidi zinasema kuwa Mbowe amekamatwa akitolewa kwenye Appartment Moja kwenda nyingine akitumia gari Nyeusi, Tinted yenye namba za usajili T 830 DEW aina ya VX. Wamemkamata akiwa nje ya geti ya Appartment hiyo ambayo ni miongoni mwa majengo ya siri ( Safe House) yanayomilikiwa na CHADEMA
na hicho chanzo huwezi kukitaja?
Anyway, kukamatwa na polisi jambo la kawaida sana sasa hivi, obviously angekamatwa sooner or later
Relax, nadhani kauli zako ndio za chuki hadi unafikia kutoa proposal ya kugawa taifa kisa mwenye kiti wa chama cha upinani ambaye anahitwa kutoa maelezo na maoni yake kuhusu madawa ya kulenya ikibidi kama itaonekana hivyo na wahusika apimwe kabisa ili jamii ijue ni nia yake njema ya kupambana na madawa. Wengine hawa watu huwa tunawaonamajukwaani tu ila maisha nje ya jukwaa hata wewe hujui, tuache vyombo vifanye kazi kama wanamuonea taratibu zingine zifuate.hivi kama anahatia kulikuwa na shida gani kuandika summons na kumpelekea kama walivyofanya kwa MASOGANGE??Au kwa sababu MAsogange ni chakula ya wakubwa???Ni aibu kuona haya yanatendekea kwenye nchi ambayo Vyama vingi vimekuwepo kwa almost 20 years,na hakuna vitu kama hivi vilivyokwisha tokea.
Unadhani tunalipeleka wapi TAIFA?/Hivi Taifa ni la wanachama wa CCM tu?Basi gaweni TAIFA tujue upande huu ni CCM na upande huu ni wapinzani ianwezekana tukawa na amani kwa wale ambao tunaamini katika vyama vingi