Mkuu nasikia kweli yupo police Kuna possibility akalala Leo sero etiKwa jinsi ulivyo na chuki, unafikia na ghiliba sishangai umeandika ulichoandika.
Lakini kinacho nishangaza mimi ni namna Mods wa JF wanavyokuacha na uongo wako kila uchao. Na sitashangaa impunity ikiendelea katika hili pia.
Yote tisa, kumi ni namna Cyber Crime ilivyo na double standards kwa makada.
Hahaha eti wamempelekea
Ficha ujinga wako sema ukweli
alijificha kichwa
mwili woote upo nje!!
Mbowe siyo mboe ,alaaajamani tusipanick cz kila anaye enda hukoo hamna alikutwa na hatia ya kuuza baliii ni ya kutumiaaa hope that hata mboe atatoka na tutapata jibu kwamba sio muuzaji bali mtumiaji.... thc lk aphilpiins movie mwisho wa picha u nw everthing while episode 7_50.... ha ha ha haha aha ha 🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂😛😛😛😛😛😎😎😎 tumuombeee mungu TANZANIA yetu iwe na amani na sisi tuwe watu wa kusubiri na kutarajia mema kila sikuuu.....
Kwa jinsi ulivyo na chuki, unafikia na ghiliba sishangai umeandika ulichoandika.
Lakini kinacho nishangaza mimi ni namna Mods wa JF wanavyokuacha na uongo wako kila uchao. Na sitashangaa impunity ikiendelea katika hili pia.
Yote tisa, kumi ni namna Cyber Crime ilivyo na double standards kwa makada.
Samahani hivi mbowe ninani wako vile??Alifanywa nini??Lizabon ninakuonea huruma sana kuwa na moyo uliojaa chuki,visasi na ubaguzi ambao uaniga tu kutoka kwa viongozi wako,ukiulizwa Mbowe amekufanya nini huna cha kujibu.
Sasa ukiambiwa ameenda mwenyewe polisi utarudi na kitu gani hapo??Dunia ni njia tunapita,na cheo ni dhamana leo unacho kesho huna
Tupe fact kuwa hakujificha mikocheni ,ila alikuwa kwenye mizunguko yake .argrrrrTaja chanzo cha habar na pia ueleze uhakika wako kwamba alienda kujificha mikocheni na si kwamba alikua ktk mizunguko yake
kumkomalia mbowe wakati dada zetu wanabakwa mpaka kufaNshu ya Msumbiji yahusiana vipi na Hii mada!!
Relax, nadhani kauli zako ndio za chuki hadi unafikia kutoa proposal ya kugawa taifa kisa mwenye kiti wa chama cha upinani ambaye anahitwa kutoa maelezo na maoni yake kuhusu madawa ya kulenya ikibidi kama itaonekana hivyo na wahusika apimwe kabisa ili jamii ijue ni nia yake njema ya kupambana na madawa. Wengine hawa watu huwa tunawaonamajukwaani tu ila maisha nje ya jukwaa hata wewe hujui, tuache vyombo vifanye kazi kama wanamuonea taratibu zingine zifuate.
Ila unalialia na kulalamika sana ndugu. Punguza political emotions
Mkuu, akikujibu hili uniambie. Natoka kidogo.Kwa hiyo Lissu amekurupuka siyo?
Nashangaa kiongozi mkubwa kama Mbowe kuogopa Polisi, wanamshinda ujasiri hata akina Wema na Tid.
Sidhani kama ni hofu ......... ni maswala ya Principals tu!!kama hana shida naamini ataendelea na maisha yake sasa kwa nini hofu inakuwa kubwa sana utadhani anakwenda kusulubiwa
Bosi wenu kileo kasema amejipeleka ,huku tundu lissu anasema amekamatwa mbona hakuna ,uelewano baina yenu .???
Kuna siku unayofurahia leo kesho utakuja kulia ukose hata wa kukusemesha.As long as anajiamini hatumii madawa sioni shida.
Serikali hii si ya kispoti spoti. Haionei mtu na wala haipendelei mtu
Amekamatwa mkuu mbona mbishi Bila kufanya utafiti hilo limethibitwa na sirroHizi taarifa za Lizabon ni za uongo sana kwa sababu zifuatazo;
1. Gari anayoitaja ni mali binafsi ya Mhe.Mbowe na inafahamika kwa kila mtu .
2. Apartment anayodai kuwa ni ya CHADEMA sio kweli ni uzushi na CHADEMA haijawahi kumiliki Apartment , ila Mbowe anaishi kwenye Apartment hiyo na ndio alikosema Sirro juzi kuwa wanamtafuta.
3. Aliamua kwenda Polisi mwenyewe baada ya usumbufu kuzidi katika familia yake , sasa mtu anaenda Polisi Mwenyewe huyu anadai kakamatwa .
4. Apartment hiyo ipo Kawe , sasa huyu anaandika Mikocheni , ni sehemu ya Porojo za Lizabon ambaye ameshachafua hali ya hewa huko nje kwa uzushi .