Hujui kuwa aliachiwa au ndio nyie mnaojua habari za juzi leo
kamanda wa LUMUMBA uko wapiii mbona kimyaaaa!!
updates vepeeeee???
Kama ulikua msanii msanii lazima utalalamika tu kama wewe. Lakini kama umenyooka vizuri why worry.?? Na malalamiko kama haya hayawezi kuja kamweMhhhhhhhh vijana tufanye kitu kukomboa taifa tuache kulalamika .siipendi serikali ya sasa kwa sababu ipo sawa na ya kikoloni yao tawaza kutesa tuuuuu
Wewe yawezekana huna akili ama Mbowe huwa anakupa unga. Leo kalala shimoni, na kesho atalala shimoni kabla kupelekwa court.unless my brain is playing me up, nimeona na kusikia kwenye taarifa ya habari saa 2 usiku huu ITV wamesema Mbowe amekutana na mapolisi njiani wakati akielekea mwenyewe kituoni. baadae wakarudi naye nyumbani kumpekua - huyu mleta thread hii ni dhahiri kaanzia story yake ya "kukamatwa Mbowe" walipomaliza kumpekua.
mods tafadhali ondoeni hii distortion ya kwenye hii thread.
NAni amekwambia alikamatwa??Angekamatwa Policcm wangemuachia huru??Sasa itikia wito nenda mahakamani unaitwa kujibu mashtaka ya kutumia NGADA aina ya MADARAKA.Hivi hujua muosha huoshwa??
Napata mashaka na kusitasita kwake huyu jamaa. Tunaanza kuhisi labda ana chembechembe au link za dawa. Kwa nini aogope kutoa ushiriakiano rahisi tuKwa hili la Mbowe kukaidi agizo la Polisi hakika anajimaliza mwenyewe
Heheheee angalia iyo hati ya ukamataji mtu anafatwa kwa madawa ya kulevya bt vinachukuliwa vitu vingine kabisa vya kichamaNapata mashaka na kusitasita kwake huyu jamaa. Tunaanza kuhisi labda ana chembechembe au link za dawa. Kwa nini aogope kutoa ushiriakiano rahisi tu
Ahahahaha endelea kutuhabarisha mkuu.Mkuu, ikithibitika hizi taarifa si za kweli naacha kuitetea CCM na Serikali na nitajiunga na Team Lowasa kama ulivyofanya wewe
sasa sijui tuwaiteje .. WATUHUMIWA auuu?Leo Zirro na Madereva wamejifungia SENTRO
Kibab nduju balaa sana wewe.hii ndio shida ya ugonjwa wa SIZONJE unavowasumbua.. amewaambukiza ''WATOTO'' lumumba
kukurupuka kubaya sana...
ona hata kusafisha makalio umesahau
Tofautisha mlengo wa kisiasa wa mtu na haki za kikatiba wanazopewa raia, watu wanaweza pishana mtazamo wa serikari inavyofanya mambo ni haki yao kisiasa. Lakini watu awatakiwi kupishana kwenye haki za kikatiba zinapovunjwa hilo si swala la kudhania kipi sahihi na kupi sio ni straight forward mkataba unaelezea nchi itaendeshwa vipi na kwa sheria zipi uwezi kufanya kinyume na hapo, hizo ni civil liberty za kila mtanzania regardless anaegemea siasa zipi au anapendelea chama kipi.Kuna jamaa moja sijui ni mwandishi ni kama Liziboni wa #Jf na wakati anajiita kamanda wa Chadema lakini haeleweki kama waganga njaa wa ccm
Mkuu lengo ni kuwalaza gerezani katika kuwadhalilisha, kuwavunjia heshima hata kama kufanya hivyo ni kukiuka haki za msingi za binadamu
Tulisikia mawakili wakionywa kuwa nao 'wawekwe' mahabusu. Kwa maana kuwa hakuna tena haki ila haki ni ile inayotolewa na watu kwa matakwa yao
Swala la Mbowe lina sura inayotisha ingawa wengi hawawezi kuona tatizo
Hatuongelei kama anahusika au hahusiki, tunaongelea mazingira ya siku nyingi
1. Alitafutwa kupitia Bilicana
2. Akafuatwa na Hotel zake
Ukitazama kwa umakini kuna 'political motivations' huwezi kuwaambia watu wasiamini
Tayari kuna dots watu wanaunganisha tu. Iwe kweli au si kweli wapo wanaoamini hivyo
Kinachoendelea nchini ni kitu cha hatari sana. Hivi kwanini Polisi waende kwenye TV kutangaza wanamtafuta Mbowe.
Yaani wakipewa habari za Jambazi Nyangumi wataenda kumtaka ajisalimishe kupitia TV!
Kitendo kile tu cha Polisi kukomalia kinashaka isiyo na shaka.
Pili, Polisi wanaweza kujua alipojificha Mbowe, hawawezi kuhakiki jina walilopewa kama lina usahihi. Hapa kuna nini?
Halafu kwanini Watangaze wasiende kukusanya ushahidi na kumfikisha mahakamani?
Hivi kama kuna kitu si ameshakificha, kazi ya Polisi itakuwa nini kama hawana ushahidi
Haya tumeona matokeo yake katika nchi za wenzetu. Gambia Rais amelezimika kuondoka
Zimbwabwe mzee yupo madarakani kuliko kaburu yoyote yule aliyewahi kutawala
Mugabe na Jameh wanatishwa na siasa walizofanya huko nyuma, siasa za visasi.
Tunazidi kugawanyika na kupoteza misingi yetu ya umoja, utu na upendo
Leo Tanzania inakuwa Taifa la wananchi wanaoishi kwa kutoaminiana, hofu na kihoro
Taifa limegawanyika, misingi iliyotuweka pamoja inabomoka.
Nani ajueaye kesho itakuja na ni?
sasa sijui tuwaiteje .. WATUHUMIWA auuu?
talifa?Lizabon na msemaji wa jeshi la polisi, Mzee Siro pamoja na Bosi wao Mzee wa kusafilisha walimu bule wanazo talifa?
Yaani huyu mtu anavyonikera acha tu natamani nimchokoze apigwe ban ya maisha ni kama kahaba fulani au wale wa Kigwa.Subiri ban nyingine
Unaitwa mahakamani na kamanda wako na dogojanja mkajibu tuhuma za kukurupukaNenda kajiharishie kwanza kama Mbowe.
Lizaboni said: ↑
Mkuu, ikithibitika hizi taarifa si za kweli naacha kuitetea CCM na Serikali na nitajiunga na Team Lowasa kama ulivyofanya wewe
TEHE! TEHE! TEHE! TEHE!!
CC: LIZABONI
wewe kusoma hujui, BOYA