Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

Hujui kuwa aliachiwa au ndio nyie mnaojua habari za juzi leo

Hahaha Rafiki Zirro na Madereva wameukataa wito wa kesi ya Mbowe ndiyo na waeleza sasa jana walikuwa bwi ,leo waende maana MUOSHA huoshwa
 
Mhhhhhhhh vijana tufanye kitu kukomboa taifa tuache kulalamika .siipendi serikali ya sasa kwa sababu ipo sawa na ya kikoloni yao tawaza kutesa tuuuuu
Kama ulikua msanii msanii lazima utalalamika tu kama wewe. Lakini kama umenyooka vizuri why worry.?? Na malalamiko kama haya hayawezi kuja kamwe
 
unless my brain is playing me up, nimeona na kusikia kwenye taarifa ya habari saa 2 usiku huu ITV wamesema Mbowe amekutana na mapolisi njiani wakati akielekea mwenyewe kituoni. baadae wakarudi naye nyumbani kumpekua - huyu mleta thread hii ni dhahiri kaanzia story yake ya "kukamatwa Mbowe" walipomaliza kumpekua.

mods tafadhali ondoeni hii distortion ya kwenye hii thread.
Wewe yawezekana huna akili ama Mbowe huwa anakupa unga. Leo kalala shimoni, na kesho atalala shimoni kabla kupelekwa court.
 
NAni amekwambia alikamatwa??Angekamatwa Policcm wangemuachia huru??Sasa itikia wito nenda mahakamani unaitwa kujibu mashtaka ya kutumia NGADA aina ya MADARAKA.Hivi hujua muosha huoshwa??
IMG_20170221_085556_676.jpg
 
Kwa hili la Mbowe kukaidi agizo la Polisi hakika anajimaliza mwenyewe
Napata mashaka na kusitasita kwake huyu jamaa. Tunaanza kuhisi labda ana chembechembe au link za dawa. Kwa nini aogope kutoa ushiriakiano rahisi tu
 
Napata mashaka na kusitasita kwake huyu jamaa. Tunaanza kuhisi labda ana chembechembe au link za dawa. Kwa nini aogope kutoa ushiriakiano rahisi tu
Heheheee angalia iyo hati ya ukamataji mtu anafatwa kwa madawa ya kulevya bt vinachukuliwa vitu vingine kabisa vya kichama
 
Kuna jamaa moja sijui ni mwandishi ni kama Liziboni wa #Jf na wakati anajiita kamanda wa Chadema lakini haeleweki kama waganga njaa wa ccm
Tofautisha mlengo wa kisiasa wa mtu na haki za kikatiba wanazopewa raia, watu wanaweza pishana mtazamo wa serikari inavyofanya mambo ni haki yao kisiasa. Lakini watu awatakiwi kupishana kwenye haki za kikatiba zinapovunjwa hilo si swala la kudhania kipi sahihi na kupi sio ni straight forward mkataba unaelezea nchi itaendeshwa vipi na kwa sheria zipi uwezi kufanya kinyume na hapo, hizo ni civil liberty za kila mtanzania regardless anaegemea siasa zipi au anapendelea chama kipi.
Mkuu lengo ni kuwalaza gerezani katika kuwadhalilisha, kuwavunjia heshima hata kama kufanya hivyo ni kukiuka haki za msingi za binadamu

Tulisikia mawakili wakionywa kuwa nao 'wawekwe' mahabusu. Kwa maana kuwa hakuna tena haki ila haki ni ile inayotolewa na watu kwa matakwa yao

Swala la Mbowe lina sura inayotisha ingawa wengi hawawezi kuona tatizo
Hatuongelei kama anahusika au hahusiki, tunaongelea mazingira ya siku nyingi

1. Alitafutwa kupitia Bilicana
2. Akafuatwa na Hotel zake

Ukitazama kwa umakini kuna 'political motivations' huwezi kuwaambia watu wasiamini

Tayari kuna dots watu wanaunganisha tu. Iwe kweli au si kweli wapo wanaoamini hivyo

Kinachoendelea nchini ni kitu cha hatari sana. Hivi kwanini Polisi waende kwenye TV kutangaza wanamtafuta Mbowe.

Yaani wakipewa habari za Jambazi Nyangumi wataenda kumtaka ajisalimishe kupitia TV!

Kitendo kile tu cha Polisi kukomalia kinashaka isiyo na shaka.

Pili, Polisi wanaweza kujua alipojificha Mbowe, hawawezi kuhakiki jina walilopewa kama lina usahihi. Hapa kuna nini?

Halafu kwanini Watangaze wasiende kukusanya ushahidi na kumfikisha mahakamani?

Hivi kama kuna kitu si ameshakificha, kazi ya Polisi itakuwa nini kama hawana ushahidi

Haya tumeona matokeo yake katika nchi za wenzetu. Gambia Rais amelezimika kuondoka

Zimbwabwe mzee yupo madarakani kuliko kaburu yoyote yule aliyewahi kutawala

Mugabe na Jameh wanatishwa na siasa walizofanya huko nyuma, siasa za visasi.

Tunazidi kugawanyika na kupoteza misingi yetu ya umoja, utu na upendo

Leo Tanzania inakuwa Taifa la wananchi wanaoishi kwa kutoaminiana, hofu na kihoro

Taifa limegawanyika, misingi iliyotuweka pamoja inabomoka.

Nani ajueaye kesho itakuja na ni?

Mkuu umemaliza kila kitu hili swala la vita ya madawa ya kulevya linahitaji social support sio wanachadema au wanaccm ni swala la watanzania kushirikiana na polisi kupambana na tatizo.

Na aijalishi mtu ana nafasi gani ndani ya taifa privately or in the government ranks; kama anahusika na madawa ya kulevya sheria ichukue mkondo wake.

Lakini watu tunategemea tuone kuna strong argument against their involvement au wanafanya upepelezi na kukusanya ushahidi wa kutosha kabla ya kuamua kuwaita vituo vya polisi lakini kuita watu kituo cha polisi kwa shutuma ata kama kweli wanahusika halafu awana ushahidi wowote ni mashabiki wa ajabu wa serikari ndio wanaoweza ona sawa na zoezi linaweza poteza support ya wananchi kabla alijafika mbali.

Tunaishi kwenye nchi yenye sheria na haki za kutobughuziwa pasipo kuvunja sheria lakini huu utaratibu unatisha kesho mtu unaweza itwa polisi ukaambiwa wewe ni mchochezi kwa ushahidi gani ukifika kwa kamanda Sirro ndio utaelezwa unazinguliwa ukitoka huko una kesi nyingine kabisa.

Hili sasa tena linakuwa sio swala la wananchi bali vyombo vyote vinavyosimamia sheria kuanza kuwa na wasi wasi tunaelekea wapi; aiwezekani watu wakae kimya wakati watu wanalazimishwa kwenda kuhojiwa na polisi pasipo ata chembe ya ushahidi wa makosa yao.
 
Lizaboni said:
Mkuu, ikithibitika hizi taarifa si za kweli naacha kuitetea CCM na Serikali na nitajiunga na Team Lowasa kama ulivyofanya wewe

TEHE! TEHE! TEHE! TEHE!!

CC: LIZABONI

Lizabon leo yuko chakari,nilimwambia jana akumbuke leo Boss wake ana kesi iko Mahakama kuu.Nasikia amekataa wito ngoja tusubiri kama Mahakama ina MENO au meno yalishang'olewa
 
Back
Top Bottom