Huo ndio mtihani, kama mtego/kitendawili, katika njia mpya ya kupambana na biashara ya madawa ya kulevya.
Wangapi wanakamatwa na ushahidi lakini wanakana na kushinda kesi!
Tusubiri hatima ya Kiongozi wetu. Kama anahusika, kwa kweli atakuwa ameondoa ushahidi - kama ni ule tu wa kukutwa nao mikononi.
Usishangae kusikia amekutwa na ushahidi!!