Sukari Yenu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 1,698
- 1,257
Majivu ni acid yanakwangua meno. Lazima yang'aeMkuu majivu Kama ukipata ya kuni...huto jutia yawe yamepoa to unachukua kiasi unasukutua kawaida tu na mswaki Safi,nawa na maji ya Moto week tu jino ngaringari no harufu 24/7
Sasa mzuri ni ipi maana nimeona kuna fresh mint, cool gal.. Katika hizo SensodyneMi nashangaa humu watu wanaiponda, tangu nishauriwe na Dr Kenneth wa Hindu Mandal, mwaka sasa na naona improvement kubwa sana!
Nizuri sana ila zuri ni product ya south Africa.mbaya za Kenya India na ukDr kanishauri nitumie SENSODYNE, cha ajabu humu inapondwa! Daah.
Angalia nyingi ni zakenya kama hizo,sio zuri tafuta zinazotoka south Africa,husichukue za kenya wala Indiapoa hamna shida
Tafuta product ya south Africa, za Kenya India UK sio zuriSasa mzuri ni ipi maana nimeona kuna fresh mint, cool gal.. Katika hizo Sensodyne
Waswahili wanafikiri us hakuna mitishamba. Wanafikiri mitishamba sumbawanga tuSi mitishamba ni bidhaa inatoka USA
itabidi niitafute hii...shukrani boss
Aha... umenikumbusha mbali sanaš eti vi AHA, umenifurahisha
Kwa Ulinzi wa MENO Yasiume,au kama yanakuuma sensodyne ni the best nilianza kutumia last 2 weeks baada ya kuona kwenye Tv Dr.mmoja akisema inasaidia meno yenye Ganzi,yanayouma na
kwenye Maduka ni Tsh 10,000- 15,000 tuu ni the best kwa kweli acha tuuu
Usisikilize 'bush doctors' wa JF...Dr kanishauri nitumie SENSODYNE, cha ajabu humu inapondwa! Daah.
shukrani mkuuAngalia nyingi ni zakenya kama hizo,sio zuri tafuta zinazotoka south Africa,husichukue za kenya wala India
Usisikilize 'bush doctors' wa JF...
Sensodyne ni dawa nzuri maybe the best...