Mama Edina
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 850
- 2,019
Tupo wengi wa kinyereziTangu maji yatoweke na kurejea bado tunasema tunashuhudia mabomba tu.
Wahusika tusaidieni natoa location Dadasa kinyerezi inashida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo wengi wa kinyereziTangu maji yatoweke na kurejea bado tunasema tunashuhudia mabomba tu.
Wahusika tusaidieni natoa location Dadasa kinyerezi inashida
Sioni namaba ya Kinyerezi, mana tuliomba maji watu wengi tu hapa Ukonga Sabasaba karibu na Ofisi za Serikali za mitaa karibu na reli ya kati, hadi leo kimya. Tunaomba tujulishwe kinachoendelea.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.
Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866
Huku Ukonga Sabasaba tumeomba kuunganishiwa maji lakini kila ukienda unaambiwa tuandike barua ya pamoja. Sasa mimi nitawajuaje walioomba au ni njia ya kutuondoa hapo ofisini?Tupo wengi wa kinyerezi
Lita 1000Hivi unit 1 ni sawa na lita ngapi za maji?
Naomba anayejua anisaidie maana nahisi wasoma meter wa dawasa ni waongo kabisa na ni wezi wakubwa.
Asante mkuu kwa msaada wako.Lita 1000
Hilo sijui.Asante mkuu kwa msaada wako.
Unaweza kuniambia pia unit 1 ni sawa na shilingi ngapi?
Poa mkuu Nitafatilia maana nimetumiwa bill eti nimetumia unit 70 ambayo ni = 119, 253.73 !?Hilo sijui.
kweli tangu ljumaa ya tarehe 27 hadi 29 Januari ktk maeneo ya Kibamba na Mbezi mshikamano maji yalikuwa ya tope kabisa. Tunaomba sababu na kama maji hayo yana madharaMaji kuja machafu kama tope
Unit 1 = 1663Asante mkuu kwa msaada wako.
Unaweza kuniambia pia unit 1 ni sawa na shilingi ngapi?
Asante sana mkuu kwa msaada wakoUnit 1 = 1663
Add 1% Ewura charge
na ukienda utaambiwa ulipe hata kama sio halali..Asante mkuu kwa msaada wako.
Unaweza kuniambia pia unit 1 ni sawa na shilingi ngapi?