Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Sasa nimeona umuhimu wa kuwa na mwanasheria wa familia, tutapambana nao kisheria watulipe na fidiana ukienda utaambiwa ulipe hata kama sio halali..
unit moja 1663
wezi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nimeona umuhimu wa kuwa na mwanasheria wa familia, tutapambana nao kisheria watulipe na fidiana ukienda utaambiwa ulipe hata kama sio halali..
unit moja 1663
wezi sana
kabisaa mana ukipambana nao hivihivi, wanakujia juu kama ndo wameumba majiSasa nimeona umuhimu wa kuwa na mwanasheria wa familia, tutapambana nao kisheria watulipe na fidia
Nadhini ni kati ya 1600 hivi na haizidi 1800Asante mkuu kwa msaada wako.
Unaweza kuniambia pia unit 1 ni sawa na shilingi ngapi?
Habari zenu wanajfNdugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.
Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866
Huduma yenu upande wa Ukonga haiko sawa, unaomba kuungiwa maji huambiwi kitu kinachoendelea, hadi tuwaite kwenye kikao ndio mnachukua hatua. Tafadhali Mkuu wa Ilala fuatilia ripoti ya upatikanaji maji eneohilo ujue hali halisi ya kinachoendelea.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.
Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866
Hicho kifaa gani kimeharibika hadi washindwe kukitolea pesa. Mama yenu anagawa pesa hovyo huku uturuki mara kwenye mechi za mpira huku watu wanakosa maji sababu ya kifaa ambacho hata hakijulikani kuwa kimeharibika.DAWASA
Mimi ni mwananchi nakaa viwanja vya benki segerea maji ni ya shida mmeweka ratiba jumanne na jumatano ila maji hayatoki, mwanzo mlisema shida n presha kuna kifaa kimeharibika toka mwaka jana maji ni ya kusua sua! Mnatuumiza sana sisi wenye familia maji ya vidumu yanatuumiza sana.
Basi tupeni namba za lile gari lenu kubwa angalau tununue kwenu maana huduma ya kawaida imeshindikana.
Kiukwel DAWASA KUTOA MAJI MNAONA KAMA NI HISANI KWETU kwamba leo mtoe kesho msitoe
Mnatuumiza wananchi
Yupo zake marekanj huko anakula keki na mzee wa msoga. Haujaona mtandaoni picha wakilishana keki.DAWASA niko Kibaha maeneo ya Chuo cha Mwalimu Nyerere.
Huku Kibaha jimbo la Mheshimiwa Koka hasa eneo hili ninaloishi tuna shida kubwa sana ya maji.
Binafsi hapa tokea siku ya sensa maji yametoka mara mbili tu.
Maisha yamekuwa magumu.
Visima vimekauka.
Watoto hasa wa kike wanapotoka shule jioni ndo wanaanza kutafuta maji.
Mpaka giza linaingia watoto wanasumbuka kutafuta maji, mmeamua kuacha hata ulinzi wa watoto.
Maeneo yanayotuzunguka maji yapo shida ni hapa tu.
Naomba pia mwenye namba ya waziri mwenye dhamana ya maji aiweke hapa, pengine atasikia kilio chetu.
DAwasa kibaha namba ya simu waliyoweka hapa imefungiwa hivyo wanamaana gani kuweka namba ambayo hapatikani?Huduma yenu upande wa Ukonga haiko sawa, unaomba kuungiwa maji huambiwi kitu kinachoendelea, hadi tuwaite kwenye kikao ndio mnachukua hatua. Tafadhali Mkuu wa Ilala fuatilia ripoti ya upatikanaji maji eneohilo ujue hali halisi ya kinachoendelea.