DAWASCO Kimara fungueni Maji, Hali ni Mbaya

Uko ushuani wee lol, ngoja na mie nipambane niishi huko.
Hata si ushuani mdogo wangu..uswazi vibaya mno..Ni vile tu tulijiongeza kuchimba visima vya kata ..maji hayakatiki hata iweje
 
Sie huku tunachota maji direct kwenye bomba
Kwa mwaka yanakatika Mara moja tu
Au sababu tuko karibu nao?
 
Sehemu kubwa ya DSM hakuna maji
 
Mtambo umezima toka tar 21 wanasema eti umezima jama marayaa hawaa
 
Kwa nchi za wenzetu hii ni tatizo tosha kwa Waziri wa Maji, anatakiwa awajibike.Ujue madhara ya kukosa maji Siku 4 mfululizo Lina madhara makubwa Sana kiafya. Mojawapo ni huweza kuchochea mlipuko wa magonjwa kama kipindupindu,homa ya matumbo na kuharisha, hii ni kwa sababu watu wameanza kuokoteza maji huko vizimani na hakuna ajuaye usafi na usalama wake. Bora Ukatike umeme majumbani ila sio maji.
 
Tulieni nyie si ndiyo mlipigia upinzani kura kisa mmevunjiwa nyumba zenu. Tulieni hivyo hivyo dawa iwaingie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…