DC aingilia kati mgogoro wa Wananchi na Luhaga Mpina mkoani Morogoro

Si mlisema hamtwki Mabango hayo ya nini.
 
Huyo DC awe makini Saisa anazozofanya yeye zilifanywa na kina sabaya na makonda awamu ya Tano na wote wameishia kubaya
 
Niliangalia hii taarifa kupitia ITV ukiwa na akili timamu unajua bila shaka wale wananchi wamepangwa ila sijui ni kwa kusufio gani pengine ni vile Mpina anavyowapelekea moto huko bungeni.
 
hao wananchi wanafanya utapeli tu hapo.ninachojua mpina ni lazima alifuata taratibu za kununua eneo hilo.hiyo drama ya wananchi ni kutaka kumpoka eneo hilo kwa njia ovu,na ni siasa za kipuuzi sana hizo na zikiachwa ziendelee zitaleta mtafaruku kwa wengine.mashamba wauze wao iweje leo wamgeuka au sababu leo siyo waziri au sababu amekuwa anaichalenji serikali.hizo ni ssiasa za kuharibiana hazina afya ndani ya nchi hii.
 
Yaani mabango yote yameandikwa na mtu mmoja, tena yote kwa aina moja ya boksi kutoka kwa duka la Mang, na black marker pen.

Wamewadharirisha wananchi hakika. Hata kama hoja ni ya kweli, hiyo sio approach ya hao wanaoonekana kwa picha.
Dah unatisha aisee
 
Acha upumbavu. Mabango aandike mtu mmoja halafu uwabebeshe wapumbavu kumi!!? Wewe unaona ni sawa hiyo? Au hujui kwanini iwe Mpina na wala siyo Wahuni?
Hata kama kaandika mtu mmoja kwani Kuna shida gani? Kuna ulazima gani mabango yaandikwe na watu tofauti tofauti?

By the way wewe unaona Sawa kiongozi kuwa na hekari 1000? Alafu kila siku anapiga kelele bungeni kupinga ufisadi
 
Hao wanakijiji ni wajinga sana walikuwa na mamlaka gani ya kumpa mtu ekari 300 wakati sheria inawataka isizidi ekari 50? Hao wanakijiji wanatakiwa washitakiwe kwa ubadhirifu wa mali za umma. Hao wananchi wametumwa na mawaziri wanaokosolewa sana na Mpina ambao ni nishati, kilimo, mifugo, ujenzi na fedha ndio wako nyuma yao ila ukweli utajulikana tu maana watasalitiana kisha wataweka peupe kila kitu hata huyo mkuu wa wilaya sijui ni kitu gani alikipanga na hao watu wachache walipopangwa kwa makusudi.

Kama hao wananchi ni wa kweli waseme pia ni viongozi gani waliojimilikisha mashamba makubwa huko Mvomero na Kilosa ambao wako madarakani sasa hivi lakini wanakaliwa kimya wakati ardhi imeporwa kwa kutumia vyeo walivyo navyo?
 
Namsihi awe mwangalifu.Asije akawa anachagiza bila kujua siasa za bungeni.
 
Hata kama kaandika mtu mmoja kwani Kuna shida gani? Kuna ulazima gani mabango yaandikwe na watu tofauti tofauti?

By the way wewe unaona Sawa kiongozi kuwa na hekari 1000? Alafu kila siku anapiga kelele bungeni kupinga ufisadi
Shida iko wapi kiongozi kuwa na ekari hizo iwapo anazimiliki kihalali?
 
Ukiwa unaropoka mambo ya Ufisadi haswa kwa hawa Ccm ,Hakikisha nawewe umsafi Kweli Kweli!!Pole sana Mpina japo najua uropokaji wako haukuwa kwalengo la uzalendo Bali Manufaa binafsi na lile genge lenu.
 
Hayo maeneo yana rutuba mno ukipata ardhi walau hekari 5 za pamoja umetoboa kama wewe ni mpambanaji wa kweli ndizi mzuzu ile laini ina mea hatari sana maeneo hayo.
 
Mwana kulitak mwana kulipata
Sukuma gang watakwambia izo ni hujuma kwa mpina ila ukwel ni kwamba serikal ya jiwe ilikua ya kifisadi, uzurumati, utapeli na baya zaid ilkua ya kiuaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…