Hata siku moja usimwamini mwanasiasa.
Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.
Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?
Mkopo ni wa muda gani?
Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?
Bila ku disclose loan agreement yake ni porojo tu za wanasiasa.Ameweka wazi kabisa kwamba amefuata taratibu zote ikiwa ni pamoja na kupata approval ya muajiri wake, na kutimiza vigezo na masharti ya taasisi alimokopa
Bank wanajua kuna teuzi na tenguzi na wanazingatia hilo pamoja na vigezo vingine, kupewa pesa ni jibu tosha amekidhi vigezo vyao
Kafanya vizuri tu,isije tu kuwa kawekeza asitumbuliwe.
Hahitaji hata huo mshahara kama wakili.
Nenda Equity bank ukaione🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bila ku disclose loan agreement yake ni porojo tu za wanasiasa.
Hamjui msemalo. Hapa ni mjini na mipango miji lazima iheshimiwe. Kitu kikiwekwa mahali pasipokuwa kwake kinakuwa uchafu. Sasa Msando kwa kutofuata mipango miji ameleta uchafu mkubwa kwenye soko kuu la kisasa la mkoa maarufu soko la Kingalu. Ameleta kero kubwa za parking, kuziba Barabara, na watu kuacha kufanya biashara zinazolipiwa kodi ndani ya soko. Kwa ujumla, mradi wa Msando ni janga litakalolipuka vibaya sana siku chache zijazo. Hizi sifa za kisiasa za muda mfupi zitamtokea puani.Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Benki wao hawawezi kukupa nyaraka za mteja. Hizo huhifadhiwa kwenye dossier huko strong room.Nenda Equity bank ukaione🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hamjui msemalo. Hapa ni mjini na mipango miji lazima iheshimiwe. Kitu kikiwekwa mahali pasipokuwa kwake kinakuwa uchafu. Sasa Msando kwa kutofuata mipango miji a me let a uchafu mkubwa kwenye soko kuu la kisasa la mkoa maarufu solo la Kingalu. Ameleta kero kubwa za parking, kuziba Barbara, na watu kuacha kufanya biashara zinazolipiwa kodi ndani ya soko. Kwa ujumla, mradi wa Msando ni janga litakalolipuka vibaya sana siku chache zijazo. Hizi sifa za kisiasa za muda mfupi zitamtokea puani.
Hulalagi wwe!?Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Benki wao hawawezi kukupa nyaraka za mteja. Hizo huhifadhiwa kwenye dossier huko strong room.
Mteja ndio yeye anayeweza kuonyesha nyaraka zake. AZIWEKE HADHARANI
This man is a traitor, msaliti wa demokrasia, muuaji mkubwa, mkandamizaji wa haki za binadamu. Jitu bure kabisa, limehongwa cheo kama shukrani ya kutesa upinzaniHili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Na bwa mdogo yuko hapo kutengeneza jina tu sio Pesa maana anazo tayari.Wale wanaodhani kila anayeteuliwa anafuata maslahi binafsi wajifunze kwamba wapo wanaoteuliwa kuwahudumia wananchi
This man is a traitor, msaliti wa demokrasia, muuaji mkubwa, mkandamizaji wa haki za binadamu. Jitu bure kabisa, limehongwa cheo kama shukrani ya kutesa upinzani
Na bwa mdogo yuko hapo kutengeneza jina tu sio Pesa maana anazo tayari.
Hut mpigaji to, sibalikuwa anapokea fedha za nasf za bongo ya zittoHata siku moja usimwamini mwanasiasa.
Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.
Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?
Mkopo ni wa muda gani?
Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?
You present your arguments as if you have never seen the insde of a modern schoolNenda Equity bank ukaione🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kama watoa fedha wameona ana vigezo wewe nani upate mashaka!?
Hili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Ni wazo zuri , hata aliowasaididia wataelewa tu badae.Kutengeneza jina kwa kusaidia wahitaji ni jambo jema sana
Yan huu ukweli hausemwi popote, eneo Zima la hapa soko jipya kumeharibika hakufai, Kuna maana gani kujenga vibanda vya mbao kwa gharama kubwa ilhali soko lipo na Lina frem za kutosha? Kwann wasishushe gharama ya frem watu wengi wazimudu na shughuli ziendelee?Hamjui msemalo. Hapa ni mjini na mipango miji lazima iheshimiwe. Kitu kikiwekwa mahali pasipokuwa kwake kinakuwa uchafu. Sasa Msando kwa kutofuata mipango miji ameleta uchafu mkubwa kwenye soko kuu la kisasa la mkoa maarufu soko la Kingalu. Ameleta kero kubwa za parking, kuziba Barabara, na watu kuacha kufanya biashara zinazolipiwa kodi ndani ya soko. Kwa ujumla, mradi wa Msando ni janga litakalolipuka vibaya sana siku chache zijazo. Hizi sifa za kisiasa za muda mfupi zitamtokea puani.
Hamjui msemalo. Hapa ni mjini na mipango miji lazima iheshimiwe. Kitu kikiwekwa mahali pasipokuwa kwake kinakuwa uchafu. Sasa Msando kwa kutofuata mipango miji ameleta uchafu mkubwa kwenye soko kuu la kisasa la mkoa maarufu soko la Kingalu. Ameleta kero kubwa za parking, kuziba Barabara, na watu kuacha kufanya biashara zinazolipiwa kodi ndani ya soko. Kwa ujumla, mradi wa Msando ni janga litakalolipuka vibaya sana siku chache zijazo. Hizi sifa za kisiasa za muda mfupi zitamtokea puani.