Hiyo ni unsecured loan mkuu hata wewe unaweza kukupa kama una kazi ya maanaHata siku moja usimwamini mwanasiasa.
Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.
Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?
Mkopo ni wa muda gani?
Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?
Naam Mkuu. Wengi hili wanaliangalia juujuu na kwa wepesi sana. Je hayo mashimo atayafukiaje???Hata siku moja usimwamini mwanasiasa.
Kama ameamua mkopo wake liwe jambo la wazi, aweke hadharani executed term loan / loan agreement tujionee kwa macho yetu.
Na pia collateral gani ameziweka ku secure huo mkopo?
Mkopo ni wa muda gani?
Kama amekuwa guaranteed na kazi yake, vipi akitenguliwa kesho?
Mimi nasubiria mtu azungumzie alivyoweka ufundi wakati akishika lichupi la msanii malaya Gigi MoneyTunaongelea habari ya yeye kuwasaidia wamachinga mkuu...
hiyo mambo sijui traitor, msaliti wa demokrasia, muuaji mkubwa, mkandamizaji wamachinga wa morogoro hawaijui, hata sisi wengine hatukuelewi labda uje na ushuhidi
Jamii ya Watanzania inadanganyika kirahisi sanaNaam Mkuu. Wengi hili wanaliangalia juujuu na kwa wepesi sana. Je hayo mashimo atayafukiaje???
Kazi ya kuteuliwa haiwezi ku secure mkopo. In case of default, Benki ita recover vipi Hilo deni?Hiyo ni unsecured loan mkuu hata wewe unaweza kukupa kama una kazi ya maana
Msando ni tajiri,halafu unsecured ni hiyo hiyo kwa watumishi ,una pledge kuachia nssf na mafao mengine yoteKazi ya kuteuliwa haiwezi ku secure mkopo. In case of default, Benki ita recover vipi Hilo deni?
na kuridhika kwa mambo madogo ya mpito. (Soko la miti!!!) nimewaza vitu vingi baada ya kuona picha zake!! Ila utatusikia "afadhali ya hilo!!" hatujifunzi yaliyotokea kwenye masoko ya aina hiyo!!!Jamii ya Watanzania inadanganyika kirahisi sana
Ukweli mchunguna kuridhika kwa mambo madogo ya mpito. (Soko la miti!!!) nimewaza vitu vingi baada ya kuona picha zake!! Ila utatusikia "afadhali ya hilo!!" hatujifunzi yaliyotokea kwenye masoko ya aina hiyo!!!
Tatizo ni ufahamu wa Watanzania
Umesema Msando asitoe ushahidi kwa Bujibuji sababu Bujibuji hajulikani ni nani na hapohapo wewe unataka upewe ushahidi wa usaliti wa Msando bila kujitambulisha wewe kama nani😄😄🤣Tunaongelea habari ya yeye kuwasaidia wamachinga mkuu...
hiyo mambo sijui traitor, msaliti wa demokrasia, muuaji mkubwa, mkandamizaji wamachinga wa morogoro hawaijui, hata sisi wengine hatukuelewi labda uje na ushuhidi
Ni kama mbunge kuonesha Salary Slip ya Mshahara wake bungeni. HUWA HAWATAKI (Wabunge) KABISA, yaani hata wale waliomaliza ubunge, wawe wa CCM au Upinzani nao hawataki, zinabaki porojo tu.Benki wao hawawezi kukupa nyaraka za mteja. Hizo huhifadhiwa kwenye dossier huko strong room.
Mteja ndio yeye anayeweza kuonyesha nyaraka zake. AZIWEKE HADHARANI
DC hawezi kukopa kwa niaba ya halmashauri na kama alikopa hilo ni jukumu lake msimamizi mkuu wa Halmashauri/pay master ni MkurugenziView attachment 1939573
Kinachonisikitisha Mbunge na baadhi ya Madiwani tuliowachagua wanajipanga kumkwamisha.
Wanadai maamuzi ya kukopa ni yake binafsi hivyo wao hawatahidhinisha ili hilo Deni lilipwe na Halmashauri hivyo itabidi alilipe yeye binafsi
Mimi nasubiria mtu azungumzie alivyoweka ufundi wakati akishika lichupi la msanii Nandi
Kwani anachanzo kimoja tu cha kujiingizia pesa?Kama anakatwa Tsh. 2.8 kati ya 3.1 anajikimu vipi huyu mtu? Tungekuwa na Mamlaka za Uteuzi zenye akili huyu Bwana alipaswa akamatwe ajieleze huu utopolo alioongea.. Ila hapa kwetu tusishangae akapewa u-RC kabisa.
Mwanasiasa Akikuambia KUMEKUCHA USIMWAMINI toka Nje kaangalieHili ni somo zuri sana kwa wale wanaowaona wamachinga kuwa tatizo na kuja na mapendekezo kwamba wafukuzwe mijini.
Hongera kwa Alberto Msando kwa uwezo wako mkubwa wa kuona tatizo sio wamachinga ila miundombinu, na hongera tena kwa kutatua tatizo badala ya kulalamika na kutumia nafasi yako kuumiza hawa raia.
Hawa ndio viongozi tunaowataka Tanzania ya sasa. Viongozi wenye uwezo wa kutatua matatizo papo kwa papo na sio kuongeza matatizo
View attachment 1939651
Wale mtakaochukizwa na hili ameweka wazi kwamba alifuata taratibu ili kuondoa manenomaneno
Kama alikopa yeye,ni kweli ni yeye ndio alipeView attachment 1939573
Kinachonisikitisha Mbunge na baadhi ya Madiwani tuliowachagua wanajipanga kumkwamisha.
Wanadai maamuzi ya kukopa ni yake binafsi hivyo wao hawatahidhinisha ili hilo Deni lilipwe na Halmashauri hivyo itabidi alilipe yeye binafsi
Na wewe je?!Hulalagi wwe!?
au huna mume!
mida ya wanga hii