DC aliyetumbuliwa atoa waraka mzito kwa Naibu Waziri mpya wa TAMISEMI


Kafulila kaharibu watu wengi Sana. Wakitumbuliwa wanaanza kuandika mambo mengi ili warudishwe Tena.
 
Ukiachwa, achika

Hivi wangekuwa wanataka ufanisi TAMISEMI wangekuwa wana wawekea mawaziri wapole.

Halafu mtu mwenyewe si alikuwa na maisha mengine kabla ya siasa, ata hao hakina Happy, Makonda na wengineo ambao maisha yao yote wanajua porojo za UVCCM tu na ndoto za uongozi washaanza kusahau. Seuse yeye aliekuwa na maisha mengine kabla ya teuzi.

Amepambana wenyewe awataki watu wanoko basi inatosha njoo JF uwakejeli kwa siri maisha mengine yaendelee. Ukitaka teuzi hadharani sifia ‘bi Tozo’ anaupiga mwingi.
 
Duh mnaonekana mmekata tamaa na maisha, yaani unaona sawa kabisa viongozi wa umma kuiba kwa sababu mishahara yao ni midogo?? hamsaidiki nyie hope hamko wengi

Duh unnaonekana hujakata tamaa na maisha, yaani unakemea wizi hivi kwasababu mshahara wako mkubwa sanaa?
Unasaidike wewe hope uko pekee yako.

ILA HILO LA MISHAHARA MIDOGO UMELIONA?

#YNWA
 
Kama mshahara hautoshi si mtafute shughuli nyingine ya kufanya
 
Nampongeza sana huyu Binti ni uzalendo kusema hayo, Nia njema anayo na ni wajibu wake kama raia na ni haki yake kufichua kasoro na maovu na kuomba mamlaka ifanyie kazi. Hongera kwake

Hana uzalendo wowte, ni karma inamtafuna kwa alivyomfanyia William Mngazija wa ITV kule korogwe kwa kumsweka ndani. Hana lolote.
 
Ngozi nyeusi hata umlipe bln 2 atakwiba tu !

Ova
 
Watanzania wanapenda uwizi

Ova
 
Wezi,mafisadi uraiani wanaonekana

Mashujaa

Ova
 
Atoe ujinga wake kipindi yy ni dc mbona halikuwa apayuki hivyo..
Mganga njaa huyo.
 
Kwa nchi yetu bila kuboresha maslahi ya watumishi wa Halmashauri walio ICU itakuwa sawasawa na bure tu,hata ungekuwa wewe ukiiba Billion 5 kesi ikienda mahakamani unahukumiwa kwenda jela miaka 5 au faini million 5,sasa kwanini mtu asijitoe muhanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…