Halmashauri nyingine mpaka wakuu wana Idara wa NJAA kinoma. Sasa imagine, watumishi wa chini?Apunguze UMBEA.
Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k
Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil
Kwanini asiibe.
Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.
BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.
#YNWA
Si alikuwa anayafanyia kazi (vitendo) kwa kuwachukulia hatua wafanyakazi wabadhilifuKwanini alikuwa hasemi haya wakati yupo Mzigoni?
Mbunge Mtemvu amelala usingizi wa pono, hapambani kutafuta barabara za kiwango cha lami au zege, mfano kata ya kibamba ilitakiwa barabara ya dkt William Shija ijengwe walau kwa zege ila wala hakuna hata dalili, kata nzima ina kilometa zisizozidi 4 za lami, wakati pale kwa Msuguli kwenda Malamba wamejenga lami nzuri kabisa na tena wamejenga nyingine ya zege ili ikaungane na lami. Kimara Korogwe wana barabara ya zege sasa madaladala yanapita huko, kibamba diwani kalala yoo..hakuna maendeleo.Wilaya ya ubungo hasa jimbo la kibamba liko zaidi ya ICU,hakuna maji,barabara,huduma za kiafya e.t.c,huwezi amini kama jimbo la kibamba liko dar aisee
Unaiaibisha Liverpool kwa mawazo fyongo kama haya.Apunguze UMBEA.
Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k
Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil
Kwanini asiibe.
Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.
BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.
#YNWA
Huyu nae analia Lia mno,sasa DC na wewe unalia Lia,unashindwa kufanya maamuzi,ni ujinga kwenda kwenye kadamnasi na vyombo vya habari ukaanza kulalamika kuhusu wakurugenzi wanavyokukwamisha,sasa unataka wananchi wafsnye nini?ile haikuwa platform ya kufikisha Malalamiko yake,ilibidi amwandikie Raisi,au waziri mkuu,au waziri wa tamisemi sio kulia Lia mbele ya wananchiAliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.
Na basillamwanukuzi
Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa
Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE
HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua
Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .
Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.
Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.
Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.
TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI
#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu
Edited · 3d
See translation
Huna akiliApunguze UMBEA.
Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k
Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil
Kwanini asiibe.
Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.
BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.
#YNWA
Watanzania walivyo mafisi unadhani angeweza kudhibiti bila kufanyiwa figisu??? Na hapo usikute alitaka kudhibiti wamemfanyia hujuma hadi katolewa nafasi yake, nchi yetu ni kama imeshalaaniwaAlikuwa na kila madaraka kabla ya kutumbuliwa, alifanyaje kudhibiti hayo yote??
Huu waraka wake japo alihisi utasaidia kumfanya aonekane kiuhalisia umezidi kumuharibia na kudhihirisha kuwa hakuwa sahihi kwa nafasi aliyopewa maana alishindwa kuzuia ujinga wote huo.
Vyovyote vile, je kaandika uongo?Alitakiwa kuandika akiwa kwenye nafasi yake sio saiv anaonekana kulilia tonge lilipokonywa ktk mdomo wake
Atutolee unafiki wake,Vyovyote vile, je kaandika uongo?
Kwanza tatizo anafunguka kinafki.Jamani si anaandika kama raia?
Nafikiri akisikilizwa atasaidia maboresho
Kwani hakuna mamlaka za kushughulikia na kushughulika na hao?Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basilla Mwanukuzi ameandika waraka mzito kuhusu utendaji dhaifu wa watumishi wa Halmashauri ambao wanahujumu miradi huku wakiendelea kukingiwa kifua na mamlaka husika.
Na basillamwanukuzi
Hongera sana @dndejembi kwa kuamniniwa na Rais kua Naibu Waziri TAMISEMI ninakupongeze sana ndugu nikuombe utusaidie kama Watanzania hasa kwenye miradi ya maendeleo nchi nzima umsaidie Mhe Rais @Samia_suluhu_hassan na Serikali ya awamu ya 6 inayo elekeza mabillion ya fedha kwenye miradi ya maendeleo kwa ajili ya Watanzania kwenye miundombinu ya Afya , Elimu, Maji, barabara ,miradi ya kimkakati kwa ajili ya mapato ya Halmashauri etc lakini mambo hayaendi kama ilivyopangwa
Hali ni TETE , hali ni MBAYA wananchi wamekata tamaa. Wananchi wanateseka Fedha zinakuja kwa wingi kutoka Serikali kuu zikifika halmashauri fedha hazimalizi miradi , na fedha zingine zinakuja zinakaa tu kwenye account miradi haianzi , nikuombe katika ziara zako za mwanzo anza na KOROGWE
HALI NI MBAYAAAA . Na hakuna mwenye ujasiri wa kusema au kuchukua hatua
Wewe ni kijana mchapakazi na bahati nzuri umeshawahi kua DC .
Korogwe is a special case iko ICU kwenye swala la utekelezaji wa miradi ya maendeleo ukiacha madarasa. Niko tayari kukupa ushirikiano kumsaidia Rais wangu, Chama Changu na Taifa langu na zaidi wananchi wanaodhulumiwa haki yao inayotekelezwa kwa uaminifu na Serikali yao inayoongozwa na mama mwenye kufahamu 'uchungu wa mwana' na ndio sababu anaelekeza fedha hizi zikasaidie wananchi.
Matokeo yake hakuna manufaa kwa sababu fedha zinaisha , miradi haiishi Wananchi hawapati huduma.
Ni bora kua na mradi mmoja ukaisha kuliko kua na miradi kumi ambayo hakuna hata mmoja umeisha. Miongozo ya TAMISEMI haifuatwi, Maelekezo hayafuatwi mamlaka husika hazichukui hatua stahiki kwa mujibu wa sheria.
TUNAKWENDA WAPI???🇹🇿
HAIKUBALIKI DUNIANI WALA MBINGUNI
#MbelekoYaBasilla #kiongoziWaWananchi #sautiYaWatu #MzalendoDamu
Edited · 3d
See translation
Kutoka malamba mwisho kwenda king'azi ile barabara ni muhimu sana lakini sijui kama mbunge na diwani wanaifikiria,kwenye suala la maji safi na salama huko king'azi mpaka leo wananchi wanatumia maji ya tope,za chini ya kapeti zinadai huyo mtemvu ana canter za kuuza maji na ndio anatia ugumu wa maji ili yeye na macartel wenzake wa maji waendelee kuuza maji kwa raia,huduma ya afya wananchi ndio awaelewi kabisa!Mbunge Mtemvu amelala usingizi wa pono, hapambani kutafuta barabara za kiwango cha lami au zege, mfano kata ya kibamba ilitakiwa barabara ya dkt William Shija ijengwe walau kwa zege ila wala hakuna hata dalili, kata nzima ina kilometa zisizozidi 4 za lami, wakati pale kwa Msuguli kwenda Malamba wamejenga lami nzuri kabisa na tena wamejenga nyingine ya zege ili ikaungane na lami. Kimara Korogwe wana barabara ya zege sasa madaladala yanapita huko, kibamba diwani kalala yoo..hakuna maendeleo.
Kwanza hicho mnachosema wizi sio kihivyo ila gharama za ujenzi ziko Juu,Vitendea kazi hakuna harafu pesa za Miradi zinakuja bila pesa za Usimamizi huu ni upuuzi wa Serikali.Apunguze UMBEA.
Yaani mtu amesoma miaka na miaka anaajiriwa Halmashauri mshahara 745k ukitoa makato 585k
Huku mwenzie aliyesoma nae kaajiriwa taasisi mshahara 1.8Mil
Kwanini asiibe.
Amwambie huyo waziri aanze na mishahara ya halmashauri kwanza na sio mabaya tuuu.
BILA KUANGALIA MASLAHI YA WATUMISHI WA HALMASHAURI BASI WATAIBA SANAAA.
#YNWA
Sio swala la mbunge Wala nini hapo ni serikali iongeze Bajeti Tarura.Kutoka malamba mwisho kwenda king'azi ile barabara ni muhimu sana lakini sijui kama mbunge na diwani wanaifikiria,kwenye suala la maji safi na salama huko king'azi mpaka leo wananchi wanatumia maji ya tope,za chini ya kapeti zinadai huyo mtemvu ana canter za kuuza maji na ndio anatia ugumu wa maji ili yeye na macartel wenzake wa maji waendelee kuuza maji kwa raia,huduma ya afya wananchi ndio awaelewi kabisa!
Hata kama mnamchukia alichosema ndio ukweli..Huyua akapatiwe ushauri nasaha, maana haamini Kama katumbuliwa.