DC Godwin Gondwe awaomba radhi waandishi wa habari kufuatia DED wa Temeke kumkemea Richard wa ITV

DC Godwin Gondwe awaomba radhi waandishi wa habari kufuatia DED wa Temeke kumkemea Richard wa ITV

Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi.
Kiwanja cha shule hiyo kina mgogoro kati ya wananchi wa eneo hilo na manispaa ya Temeke.

Kadhalika mh Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.

Source ITV.

cc: Erythrocyte, Gentamycine

Maendeleo hayana vyama!
Gondwe kama anataka kuendelea kwenye nafasi yake ya u DC aachane na huyo DED.

Huyo DED ni "deep state" squad member kama alivyo Sabaya... na ndiyo wapendwa numero uno wa mamlaka iliyowaweka!
 
Ukiwa deep state inakufanya ukose utu ndani yako, basi ni upumbavu wa aina yake.
Gondwe kama anataka kuendelea kwenye nafasi yake ya u DC aachane na huyo DED.

Huyo DED ni "deep state" squad member kama alivyo Sabaya... na ndiyo wapendwa numero uno wa mamlaka iliyowaweka!
 
Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi.
Kiwanja cha shule hiyo kina mgogoro kati ya wananchi wa eneo hilo na manispaa ya Temeke.

Kadhalika mh Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.

Source ITV.

cc: Erythrocyte, Gentamycine

Maendeleo hayana vyama!
DED hana Maisha Marefu KAZINI
 
Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi. Kiwanja cha shule hiyo kina mgogoro kati ya wananchi wa eneo hilo na manispaa ya Temeke.

Kadhalika mh Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha mkurugenzi wa manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.

Chanzo: ITV.

cc: Erythrocyte, Gentamycine

Maendeleo hayana vyama!
ndio uungwana ulivyo hasa ukijua umekosea.
 
Mkuu wa wilaya ya Temeke mh Godwin Gondwe amesimamisha ujenzi wa Shule ya Lumo hadi pale kesi iliyopo mahakamani itakapotolewa maamuzi.

Kiwanja cha Shule hiyo kina mgogoro kati ya Wananchi wa eneo hilo na Manispaa ya Temeke.

Kadhalika Godwin Gondwe amewaomba radhi waandishi wa habari kote nchini kufuatia kitendo cha Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke kumkashifu mwandishi wa habari chipukizi wa ITV Richard Stephen kwamba hana hadhi ya kuongea naye na kwamba yeye hadhi yake ni mkurugenzi wa ITV Joyce Mhaville.

Chanzo: ITV.

cc: Erythrocyte, Gentamycine

Maendeleo hayana vyama!
Huko ni kuzidi kumtia kiburi huyo mkurugenzi kwanini asiombe yeye mwenyewe? Kwani kafa hadi aombewe radhi? DC naya aache kujidhalilisha kwa kufanya kazi zisizo muhusu. Au ana taka kiki ya kuonekana yeye ni muungwana sana?
 
Aliye kosea haja omba radhi anaye omba radhi haja tumwa hii imekaaje?
Kumbuka Gondwe ndiyo mkuu wa wilaya ya temeke, kwahiyo kuomba radhi kwa niaba ya mkurugenzi katika wilaya yake sio vibaya
 
Back
Top Bottom