DC Jerry Muro amfokea DED kama mtoto mdogo kwa kuchelewa dakika 10 kwenye msafara

Wateule wa Mh Rais wanakosea sana katika utendaji wao. Mambo kama haya anayofanya Jerry Muro ni kinyume na misingi ya Uwajibikaji katika nafasi za uongozi. Kiongozi hapaswi kumfokea na kumdhalilisha kiongozi mwingine hadharani.
Lakini tukumbuke kuwa wanaiga toka kwa Jiwe kwa namna anavyoendesha nchi na yeye Jiwe mwenyewe anafurahia namna hao PhD holders wanavyodharirishwa mbele ya media!
 
Malisa let's just celebrate.... Wakati si milele.... Watunza kumbukumbu wapo na hawaachi kitu...
 
Wateule wa Mh Rais wanakosea sana katika utendaji wao. Mambo kama haya anayofanya Jerry Muro ni kinyume na misingi ya Uwajibikaji katika nafasi za uongozi. Kiongozi hapaswi kumfokea na kumdhalilisha kiongozi mwingine hadharani.
Lakini tukumbuke kuwa wanaiga mfano toka kwa Jiwe kwa namna anavyoendesha nchi na yeye Jiwe mwenyewe anafurahia namna hao PhD holders wanavyodharirishwa mbele ya media

Wacha dereva Jiwe atutumbukize shimoni katika safari yake ya Lori analoliendesha, iwapo hatutampumzisha dereva Huyu
 
That is not how we are supposed to serve.

Kama mwanachama mtiifu wa CCM ambayo inajukumu la kuisimamia Serikali.

Naomba mheshimiwa D.C. aonywe na mamlaka ya uteuzi.
Kisa hujateuliwa hahahaaaa chama bomu hili
 
Kwahiyo "dakika 10 tu" umemaanisha nini? Unaona dkk 10 ni muda mfupi sana? Ndio maana waafrika tuko nyuma sana, hatujui thamani ya muda. Na huyo ni DED ambaye ana gari na dereva. Tujifunze kuthamini muda.

Siku moja dada mmoja alienda ofisi fulani kwa bodaboda, kabla hajaingia ofisini akamwambia jamaa amsubiri dkk chache warudi nae, dada kakaa humo zaidi ya dkk 20. Alivyotoka jamaa akamwambia naomba kwanza sh 2,000 ya kuniweka hapa kabla hatujaondoka. Dada akakataa likazuka zogo jamaa kidogo amshushie dada kichapo baadhi ya watu wakaja pale kuamua na ikaonekana dada ana makosa msamaria fulani akatoa ile 2,000

Na maofisini ndio kuna ujinga zaidi, yani unaenda kwa ajili ya kuhamisha mtoto unaambiwa subiri, unakaa huko masaa kadhaa watu wanapiga zao story tu. Ukiingia tena ofisini jamaa anachukua fomu zako anasaini anakwambia hapa tayari nenda mkoani. Unajiuliza yani kumbe ilikuwa kusaini tu?

Pamoja na ukweli kuwa viongozi lazima waheshimiane lakini pia hata huyo DED kwa kuchelewa maana yake hakuwaheshimu DC na RC

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu naomba nirekebishe hili bandiko kdg, amemuita mpuuzi na siyo mpumbavu, by the way katika vijana wajinga waliopewa madaraka yasiyo endana na uwezo ni pamoja na Jerry Muro! Hapa JPM aliteleza! Kampani ya Le mutuz, Bashite hii unategemea nini???
 
Muro alikuwa sahihi kabisa kumfokea huyo DED.
Haiwezekani Mkuu wa Wilaya awahi safari pamoja na Bosi wake Mkuu wa Mkoa, na wakae wamsubiri DED ambaye ni mdogo kicheo.
Mkuu wa Wilaya lazima amkaripie DED kwa kumchelewesha yeye DC, pamoja na bosi wake Gambo RC
Wa kukaripia hapo ni DC Jerry Muro na sio RC Gambo
Hapo Protokali imezingatiwa kabisa.
Vijana wako kazini kwa ari na kasi kubwa, tuache mazoea ya kizamani.
Tusihamishie hasira zetu toka juu na kuzileta chini kwa hao vijana.
 
Gambo tangu aambiwe wapumbavu sn ninyi baada ya kufeli movie ya kuwaleta wahamaji amepotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…