DC Ole Sabaya: Siku CCM Arusha wakinishangilia nitajua nimeshaanguka kisiasa, nina hukumu ofisini ya kulifunga shamba la Mbowe

Hakika, muda ndo kila kitu!
 
Mbona anguko lake limefika mapema kabla ya chalii wa Ara hatujamshangilia??🙄🙄🙄
 
Am sure @Erthrocyte ,tindo ,bak wamelala mda huu kama hawajui kwamba wanadozi kutoka kwa mh sana Lengai Ole Sabaya a.k.a kiboko ya wapinga maendeleo[emoji23][emoji23][emoji2]
Wee uko wapi eti? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
moja ya faida ya green house katika kilimo ni kupunguza matumizi ya sumu katika kilimo,sababu kubwa ni kutokana na kuzuia wadudu kuingia katika mashamba, pili hata matumizi ya maji ni madogo kiasi kwamba hakuna uwezekano wa kutiririsha maji, kwa hiyo kilichofanyika ni fitina na uchawi wa maisha tu
 
Mliweza kuita press conference kwa Dr Mpango baada ya kuzushiwa kifo inashindikana nini kuita press conference kwa Sabaya akatueleza mwenyewe anayozushiwa?
Sijui ID yako naichanganya na ya nani mtema sumu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…