DC wa Iramba, Joshua Nasari(dogo janja) ahamishiwa Monduli na DC Selemani Mwenda wa Monduli arudishwa tena Iramba

DC wa Iramba, Joshua Nasari(dogo janja) ahamishiwa Monduli na DC Selemani Mwenda wa Monduli arudishwa tena Iramba

Habari ndiyo hii wadau, Iramba hakuna maji salama, umeme hakuna vijiji vingi, barabara ni balaa, umaskini unatisha, Mbolea ya Ruzuku jimboni kwake ni hovyo haina viwango na mwaku huu Wakulima huko wanahofiwa kuvuna chini ya kiwango, mambo ni Mengi.

Utafanyaje kazi na DC aliyekuwa Mpinzani zamani? Tena ukijitutumua ni mzalendo na mpenda maendeleo!! Sasa kaja sio sebuleni bali chumbani kwako.

Rais Samia amemuondoa Joshua Nasari kutoka Iramba na kumpeleka Monduli Umasaini kimyakimya. DC wa zamani Iramba Selemani Mwenda naye aondolewa Monduli na kurudishwa tena Iramba.

Mkiambiwa Mwigulu ni mmoja wa Washauri wa Rais mtabisha?
Duh
 
RC na DC wanatakiwa wawe wenyeji wa hayo maeneo na wachaguliwe na wananchi. Ili wajue matatizo ya watu wake. Kuna mmoja zama za mwalimu alipangiwa Kilimanjaro, katika mazungumzo yake akasema "nimekuja kutawala Wachaga".
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na Kweli wacha wataliwe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu yupo huko kaniambia hadi utumie awamu tatu ndipo mazao yapendeze. Pia ni ngumu kuipata, watu huenda Mbulu na Igunga kuisaka. Kwani Wakulima jimboni kwa Waziri wasipate mbolea kwa muda muafaka?
Kwa hiyo unaambiwa na mtu Yuko mbali na unalibeba hivyohivyo kwamba mbolea ya ruzuku iramba Haina ubora,kwamba kiwandani palikua na batch ya iramba pekee!!..uwe unatafakari
 
Ndio maana inatakiwa DC na RC wapigiwe kura na wananchi katika maeneo yao.
Huo ndio umuhimu wa katiba mpya.
Tatizo hivyo vyeo ni vya kufanya uchawa tuu kwa CCM na Raisi, na hawana nguvu yeyote ya budget, huwezi kuwa na nguvu au maamuzi ya kweli kama huna control na budget au mapato, kupeleka madaraka, maamuzi na nguvu karibu na wananchi sio vyeo tuu na kupiga kura, nguvu ya kweli ipo kwenye mapato na makusanyo (budget), katiba mpya lazima iweke msisitizo kwenye hilo
 
So nasari kapelekwa kwao monduli,mwigulu ameogopa nasari atamfunika😅halafu ni hela za walipa Kodi zinachezewa,juzi wametoka kilipwa kuhamia iramba, kesho watalipwa kwenda monduli,that's double payments,halafu mnasema nchi Haina fedha?bladfaken 🤔
Nasari kwao siyo Monduli ni Meeu.
 
Sijuikwanini watu hawapendi wapiga kura wao wawe na Hali nzuri za maisha?
Kama unaijua Iramba inside out huwezi kuamini mbunge wa Iramba anatembelea gari la nusu bilioni.
 
Habari ndiyo hii wadau, Iramba hakuna maji salama, umeme hakuna vijiji vingi, barabara ni balaa, umaskini unatisha, Mbolea ya Ruzuku jimboni kwake ni hovyo haina viwango na mwaka huu Wakulima huko wanahofiwa kuvuna chini ya kiwango, mambo ni Mengi.

Utafanyaje kazi na DC aliyekuwa Mpinzani zamani? Tena ukijitutumua ni mzalendo na mpenda maendeleo!! Sasa kaja sio sebuleni bali chumbani kwako.

Rais Samia amemuondoa Joshua Nasari kutoka Iramba na kumpeleka Monduli Umasaini kimyakimya. DC wa zamani Iramba Selemani Mwenda naye aondolewa Monduli na kurudishwa tena Iramba.

Mkiambiwa Mwigulu ni mmoja wa Washauri wa Rais mtabisha?
Hata Magufuli alikuwa na washauri , leo wanapiga miayo
 
Kabisa, kuficha aibu ya kuumbuliwa na Ma DC wageni.
How does it work?, Mwigulu kiomboi ni mbunge tu,,, barabara sio mbaya kivile, barabara ya singida, ndago inapitika mda wote,,, singida misigiri kiomboi inapitika mda wote,,
Wakulima wanafikisha sokoni mazao kwa wakti, viwanda vidogo vidogo vya kukamua mafuta ya alizeti vipo hadi ndani ndani huko,,,
Siku hizi huko vijijini kuna watu wanae fedha, na wanajenga huko huko hawataki kukaa town,, maana wanegundua ukitaka fedha utaipata shambani🤷‍♂️
 
Wewe endelea kulialia

Sisi tuna endelea kupanga safu za 25,

Uchaguzi uliopita nasari alishiriki shughuli Zote za Chaka akiwa Monduli...

Sisi wenye Chaka na yeye kama sehemu ya mkakati ktk Chama tuna elewa kwanini ana rejea hapa na yule ana enda pale...

Wewe pambana na mambo ya chadema ndio saizi yako, ccm waachie wana ccm wenyewe...
Nilidhani kuwa wanahamishwa ili kupambania kutatua shida za wananchi na kuleta maendeleo, kumbe ni kuipigania ccm ishinde hata kwa dhuluma! Aisee nyie watu wa ccm ni maiti "chama cha maiti".
 
Nilidhani kuwa wanahamishwa ili kupambania kutatua shida za wananchi na kuleta maendeleo, kumbe ni kuipigania ccm ishinde hata kwa dhuluma! Aisee nyie watu wa ccm ni maiti "chama cha maiti".
Waziri kaona jamaa anakuja kugundua Mengi kumuhusu.
 
How does it work?, Mwigulu kiomboi ni mbunge tu,,, barabara sio mbaya kivile, barabara ya singida, ndago inapitika mda wote,,, singida misigiri kiomboi inapitika mda wote,,
Wakulima wanafikisha sokoni mazao kwa wakti, viwanda vidogo vidogo vya kukamua mafuta ya alizeti vipo hadi ndani ndani huko,,,
Siku hizi huko vijijini kuna watu wanae fedha, na wanajenga huko huko hawataki kukaa town,, maana wanegundua ukitaka fedha utaipata shambani🤷‍♂️
Sasa kilichomfanya amfitinishe Nasari hadi kuondolewa huko ni kitu gani?
 
Sijuikwanini watu hawapendi wapiga kura wao wawe na Hali nzuri za maisha?
Kama unaijua Iramba inside out huwezi kuamini mbunge wa Iramba anatembelea gari la nusu bilioni.
Mimi pia nashangaa sana
 
Back
Top Bottom