Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
Kama madaktari wameshindwa Mkuu tafuta dawa za asili, Pole sana mkuu.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Nishatumia mavi ya tembo kumfukiza wapi matokeo hakuna,Kama madaktari wameshindwa Mkuu tafuta dawa za asili,Pole sana mkuu.
Tafuta nduleleNishatumia mavi ya tembo kumfukiza wapi matokeo hakuna,
Hospitali alipewa mara ya kwanza phenorbarbital hakuna matokeo,
Akapewa sodium valproate na ni vilevile, [emoji25]
singidaUko mkoa gani
mAelezo hayajajitosheleza mkuuTafuta ndulele
Pole Sana mkuu.. Ulizia watu wa IRINGA, wakusaidie dawa aina ya LWENYI.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
Mkuu nitakuulizia hiyo dawa ya kienyeji ni majani fulani hivi naskia yanaponesha kabsa.Nishatumia mavi ya tembo kumfukiza wapi matokeo hakuna,
Hospitali alipewa mara ya kwanza phenorbarbital hakuna matokeo,
Akapewa sodium valproate na ni vilevile, [emoji25]
Menya kitunguu swaumu twanga, changanya na asali mbichi, minyia na limao. Awe antumia kijiko Cha chai kikiwa kimejaa kila wakati.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Hii ni kiboko ya degedege.Pole
Sana mkuu.. Ulizia watu wa IRINGA, wakusaidie dawa aina ya LWENYI.
Saw mkuuPole
Sana mkuu.. Ulizia watu wa IRINGA, wakusaidie dawa aina ya LWENYI.
Mkuu tusaidiane, 0620116022Hii ni kiboko ya degedege.
Amiin amiinMwenyezimungu amponye haraka.
Matatizo humkuta yoyote katika hali yoyote na wakati wowote.
Sawa mkuuJaribu kumpeleka CCBRT,poleni sana kama familia Mungu awape Nguvu ya kumpambania mtoto
Usijali, umepata hii. Kesho nakupigia ili uipate hapo singida chapMkuu tusaidiane, 0620116022