Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo liko hapa mkuuMTOTO ALICHELEWA KULIA MKUU
Kabisa na kama anaweza ampeleke ccbrtpoleni....
kama alichelewa huyo mtoto anhitaji special needs....Fanya matibabu ya hospital... Atakuwa sawa..
Asante sanaPole mkuu
Ccbrt dsm?Kabisa na kama anaweza ampeleke ccbrt
Kwahio tufanyaje mkuuTatizo liko hapa mkuu
Pole kwa changamoto. Nashauri mpeleke Mloganzila au tafuta hosp yoyote ambapo kua Neurologist atapata huduma sahihi.Shida ni degedege, anakuwa vizuri.. uzito unaongezeka.. muonekano mzuri, dawa anatumia kwa sasa sodium valproate na hio EEG sijui ni kipimo gani??
Yes ya dsm,nina mtoto wa mdogo wangu naye alichelewa kullia kama wako tumlimpeleka hapo tukapewa utaratibu wa tiba na mazoezi kwa mtoto, pia kuna private hospital watoa hzo huduma kama mfuko uko vzurCcbrt dsm?
Mtoto kuchelewa kulia ni tatizo,tulivyoambiwa hospital kuwa tatizo linakuwa kwenye ubongo hata ukuaji wa mtoto unakuwa tafauti na watoto wengine ila muhinu ni kufatilia dawa na mazoezi.Kwahio tufanyaje mkuu
Hivi ccbrt ni serikali? Maana huyu anayobima ya afya ya mtumishi.Yes ya dsm,nina mtoto wa mdogo wangu naye alichelewa kullia kama wako tumlimpeleka hapo tukapewa utaratibu wa tiba na mazoezi kwa mtoto, pia kuna private hospital watoa hzo huduma kama mfuko uko vzur
Asante sana mkuuPole sana mkuu
Maana daktari amenambia hutuezi kumfanyia mazoezi wakati bado degedege inaendeleaMtoto kuchelewa kulia ni tatizo,tulivyoambiwa hospital kuwa tatizo linakuwa kwenye ubongo hata ukuaji wa mtoto unakuwa tafauti na watoto wengine ila muhinu ni
Alikuwa anapata degedege? Na je mlifanya kipimo gani sambamba nadawa zipi alitumia?Yes ya dsm,nina mtoto wa mdogo wangu naye alichelewa kullia kama wako tumlimpeleka hapo tukapewa utaratibu wa tiba na mazoezi kwa mtoto, pia kuna private hospital watoa hzo huduma kama mfuko uko vzur
sawa mkuuPole kwa changamoto. Nashauri mpeleke Mloganzila au tafuta hosp yoyote ambapo kua Neurologist atapata huduma sahihi.
I believe atapata tiba sahihi
Ccbrt siyo serikali, iko funded na Wajerumani, Wanatumia bima na cash.Hivi ccbrt ni serikali? Maana huyu anayobima ya afya ya mtumishi.
Kwahio nikimpeleka ccbrt kwa case ya bima hatahudumiwa vizuri?Ccbrt siyo serikali, iko funded na Wajerumani, Wanatumia bima na cash.
Ila wa cash hawakai foleni wanapewa VIP treatment.
Atahudumiwa, ila inatakiwa kuwahi foleni udamke au ufike ccbrt SAA 8 usiku kupanga foleni ya kesho asubuhi.Kwahio nikimpeleka ccbrt kwa case ya bima hatahudumiwa vizuri?
Huu ni mtihani kwakweli.. ngoja nitajaribu unafuu upo wapi.. nitaanza na regency pale DITAtahudumiwa, ila inatakiwa kuwahi foleni udamke au ufike ccbrt SAA 8 usiku kupanga foleni ya kesho asubuhi.
Huu ndio ujinga wa ccbrt kama unatumia bima, lakini wa cash wanakwenda kwa muda wake na reception wanatumia nyingine VIP.