Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
- Thread starter
- #21
Sawa mkuuUsijali, umepata hii. Kesho nakupigia ili uipate hapo singida chap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuUsijali, umepata hii. Kesho nakupigia ili uipate hapo singida chap
Acha upuuzi. Mrudishe mtoto hospitali.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
"Nilifanya CT-SCAN baada ya kushauriwa na watu" hapo ndio lilipo tatizo maana umeshauriwa na watu kwenda kufanya kipimo badala ya ma Dr na humu ndani pia tegemea kupata matongo pori ya Kila aina.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
Yeah... Ni dawa vizuri sana hiyo..... Sina mashaka nayo kabisaHii ni kiboko ya degedege.
Pole sana mkuu.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Sawa mkuuPole sana mkuu.
Wangu alianza kusimama akiwa na miezi 13, baada ya hapo alipokomaa akawa anatembea kwa kukimbia(kwa asilimia kubwa) wako hajapitiliza sana.
Vuta subira, omba Mungu atatembea tu.
Usijali, umepata hii. Kesho nakupigia ili uipate hapo singida chap
Mpeleke akatibiwe kienyeji tatizo dogo Sana hiloHabari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Kwani mkuu JF hamna matabibu wa kumshauri"Nilifanya CT-SCAN baada ya kushauriwa na watu" hapo ndio lilipo tatizo maana umeshauriwa na watu kwenda kufanya kipimo badala ya ma Dr na humu ndani pia tegemea kupata matongo pori ya Kila aina.
Huko hospital utapoteza muda tu kienyejiSawa mkuu
Pole ndugu yangu.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
Namuandali, na nitamtumia kwenye basi aipate ndani ya siku tatuYeah... Ni dawa vizuri sana hiyo..... Sina mashaka nayo kabisa
Itapendeza sana 🙏🙏🙏Namuandali, na nitamtumia kwenye basi aipate ndani ya siku tatu
Samahani mkuu, inawezekana wengine tulipitwa na huo uzi.Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
Hili swala la kusimama jitahid ikitokea kasimama Kwa bahati mbaya au ukamsimamisha akasimam Kwa sec kadhaa/Dak inakubid umpitishie mwichi / mtwangio ktikati ya miguu yake kutoka nyuma! Njia ya pili inakupasa unyoe mavz yako hrf yakaange kwenye chungu yakisha ungua upate unga wake hrf unamchanja pande 4 za kiunoni yaaan mbele chini ya kitov,nyum,kulia na kushoto, hrf unammalizia na kwenye miguu usawa wa magoti kulia na kushoto Kila ukichanja unampaka hiyo kitu! Hii imesaidia wengi sana jaribu dawa unayo mwenyeweHabari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.
Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.
Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Poleni sana. Mimi nakushauri usichoke kuzunguka hospital. Kuna ugonjwa mwingine unaweza kuzunguka hospital hata nne kabla hujapata dr atakayetambua tatizo. Jingine uwe mwangalifu kwani binadamu siku hizi wamekuwa wanyama. Kuna mtu anaweza kuwa na ujasiri wa kutumia shida yako na akakupiga fedha nyingi kwa kisingizio cha kuwa anakupa dawa. Nakushauri usitoe fedha kwa hizi dawa za kienyeji kwani wengi ni matapeli. Mwenye nia nzuri atakusaidia kwanza mtoto akipona ndiyo utajua cha kufanya.Sawa mkuu
Hata kama wamo ila Dr anayejielewa atakushauri uende hospitali ila ma bush Dr ndio utawaona wanatiririka na mikeka ya dawa humu ndani.Kwani mkuu JF hamna matabibu wa kumshauri
Aisee!!Hili swala la kusimama jitahid ikitokea kasimama Kwa bahati mbaya au ukamsimamisha akasimam Kwa sec kadhaa/Dak inakubid umpitishie mwichi / mtwangio ktikati ya miguu yake kutoka nyuma! Njia ya pili inakupasa unyoe mavz yako hrf yakaange kwenye chungu yakisha ungua upate unga wake hrf unamchanja pande 4 za kiunoni yaaan mbele chini ya kitov,nyum,kulia na kushoto, hrf unammalizia na kwenye miguu usawa wa magoti kulia na kushoto Kila ukichanja unampaka hiyo kitu! Hii imesaidia wengi sana jaribu dawa unayo mwenyewe