Dededege inamtesa sana mwanangu, wakuu nisaidieni dawa

Dededege inamtesa sana mwanangu, wakuu nisaidieni dawa

Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.

Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.

Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
Acha upuuzi. Mrudishe mtoto hospitali.
 
Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.

Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.

Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
"Nilifanya CT-SCAN baada ya kushauriwa na watu" hapo ndio lilipo tatizo maana umeshauriwa na watu kwenda kufanya kipimo badala ya ma Dr na humu ndani pia tegemea kupata matongo pori ya Kila aina.
 
Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.

Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.

Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Pole sana mkuu.

Wangu alianza kusimama akiwa na miezi 13, baada ya hapo alipokomaa akawa anatembea kwa kukimbia(kwa asilimia kubwa) wako hajapitiliza sana.

Vuta subira, omba Mungu atatembea tu.
 
Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.

Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.

Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Mpeleke akatibiwe kienyeji tatizo dogo Sana hilo
 
"Nilifanya CT-SCAN baada ya kushauriwa na watu" hapo ndio lilipo tatizo maana umeshauriwa na watu kwenda kufanya kipimo badala ya ma Dr na humu ndani pia tegemea kupata matongo pori ya Kila aina.
Kwani mkuu JF hamna matabibu wa kumshauri
 
Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.

Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.

Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
Pole ndugu yangu.
Ngoja tuone wajuvi na wenye uzoefu na hili jambo wanasemaje.
 
Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.

Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.

Naombe msaada wakuu, 😭😭😭
Samahani mkuu, inawezekana wengine tulipitwa na huo uzi.

Kama haitachukua muda wako, kwa ufupi kabisa, kijana wetu ana shida gani?
1. Ilianza lini?
2. Maendeleo ya ukuaji wake yapoje?
3. Ulishawahi kufanya EEG?
4. Dawa gani anatumia?
 
Mm ninakuja mp kwko kukupa dawa ya asili yenye kutibu tatizo
 
Habari ya mudaa huu wakuu, nilishawa kuja kuomba ushauri kuhusiana na tatizo la mwanangu, baadhi ya watu walipa ushauri tukafanya CT SCAN pale benjamini lakini hakuwa na tatizo lolote kwenye kichwa.

Nimerudi tena wakuu, naombeni msaada maendeleo ya ukuaji hayasongi mbele, mtoto anamiezi 16 lakini hata kusimamia hasimami, na daktari wa viungo anasema hatuwezi kumfanyisha mazoezi mpaka hii degedege ifike kikomo.

Naombe msaada wakuu, [emoji24][emoji24][emoji24]
Hili swala la kusimama jitahid ikitokea kasimama Kwa bahati mbaya au ukamsimamisha akasimam Kwa sec kadhaa/Dak inakubid umpitishie mwichi / mtwangio ktikati ya miguu yake kutoka nyuma! Njia ya pili inakupasa unyoe mavz yako hrf yakaange kwenye chungu yakisha ungua upate unga wake hrf unamchanja pande 4 za kiunoni yaaan mbele chini ya kitov,nyum,kulia na kushoto, hrf unammalizia na kwenye miguu usawa wa magoti kulia na kushoto Kila ukichanja unampaka hiyo kitu! Hii imesaidia wengi sana jaribu dawa unayo mwenyewe
 
Sawa mkuu
Poleni sana. Mimi nakushauri usichoke kuzunguka hospital. Kuna ugonjwa mwingine unaweza kuzunguka hospital hata nne kabla hujapata dr atakayetambua tatizo. Jingine uwe mwangalifu kwani binadamu siku hizi wamekuwa wanyama. Kuna mtu anaweza kuwa na ujasiri wa kutumia shida yako na akakupiga fedha nyingi kwa kisingizio cha kuwa anakupa dawa. Nakushauri usitoe fedha kwa hizi dawa za kienyeji kwani wengi ni matapeli. Mwenye nia nzuri atakusaidia kwanza mtoto akipona ndiyo utajua cha kufanya.
 
Hili swala la kusimama jitahid ikitokea kasimama Kwa bahati mbaya au ukamsimamisha akasimam Kwa sec kadhaa/Dak inakubid umpitishie mwichi / mtwangio ktikati ya miguu yake kutoka nyuma! Njia ya pili inakupasa unyoe mavz yako hrf yakaange kwenye chungu yakisha ungua upate unga wake hrf unamchanja pande 4 za kiunoni yaaan mbele chini ya kitov,nyum,kulia na kushoto, hrf unammalizia na kwenye miguu usawa wa magoti kulia na kushoto Kila ukichanja unampaka hiyo kitu! Hii imesaidia wengi sana jaribu dawa unayo mwenyewe
Aisee!!
 
Back
Top Bottom