Kama ni chini ya miaka 5 ni bure hata bima haitajiki ila tatizo ni folen.
Hakuwa na degedege ila alikuja kupata degedege akiwa na miaka 7 ndio hali ilianza ya kuanguka kwa sasa yuko mkoa mwingine na ana clinic kila mwez anahudhuria na dawa anatumia kila