TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

TANZIA Demi Agoglia Afariki Dunia Wakati Akifanyiwa Upasuwaji Wa Kuongeza Shepu

Hivi siku nikifa mtasikitika?
hilo tangazo tu nikajua ni wewe na nimesikitika,ikiwa kweli si nitaomboleza mwezi mzima wakati hata taswira yako siijui!!.. fanyafanya huko pm yangu ijae uzuri wako angalau nipate baraka mujarab..😂
 
hilo tangazo tu nikajua ni wewe na nimesikitika,ikiwa kweli si nitaomboleza mwezi mzima wakati hata taswira yako siijui!!.. fanyafanya huko pm yangu ijae uzuri wako angalau nipate baraka mujarab..😂
Pm sio mahali salama...trust me, pana stress za kutosha huko😀
 
Pm sio mahali salama...trust me, pana stress za kutosha huko😀
Mwaka juzi Kuna mdada humu nilidate naye akanitumia picture za utupu. Baadaye tulitofautiana kidogo akazifuta ila Mimi nilishazidownload. Nilipomuambia umechelewa kuzifuta akabadili ID ila hata hiyo mpya naijua😅
 
Mwaka juzi Kuna mdada humu nilidate naye akanitumia picture za utupu. Baadaye tulitofautiana kidogo akazifuta ila Mimi nilishazidownload. Nilipomuambia umechelewa kuzifuta akabadili ID ila hata hiyo mpya naijua😅
Una ujumbe gani kwake?
 
Back
Top Bottom