Demokrasia haiwafai watu aina ya Mdude Nyagali

Kama umezaliwa na mtumwa utumwani ni ngumu kutokuwa mtumwa
Hata wamarekani weusi, kabla na baada ya wale milioni nne, walizaliwa hivyo, lakini walikataa maslahi ya kitumwa! Hadi Leo, the saga continues!
 
Ni kupoteza muda kuandika juu maoni ya mtu. Jikite kuandika issues - namna ya kupata maendeleo na siyo mtu kasema au kafanya nini.
 

Nyoka wa kkbisa wewe. Jitokeze wewe. Sio ushabiki wa kipumbavu.
 
Kayabebe Mateso aliyofanyiwa NYAGALI ..ndo uje UTAPIKE HAPA
 

Wembe ni ule ule
 
Kwa wenzetu msio ona shida kutumia dhulma, utekaji/kudhuru, vitisho na mbinu chafu kama hizo kuwanyamazisha mnaopingana nao mawazo, Mdude kupitia aliyopitia akabaki na misimamo yake bila ya kuonyesha amekuwa broken, litakuwa ni jambo la kuogopesha sana.
 
Kayabebe Mateso aliyofanyiwa NYAGALI ..ndo uje UTAPIKE HAPA

Aliyemfanyia mateso yupo wapi?

Wote tunafahamu, Kama angekuwepo mdude bado angekuwa nyuma ya nondo kivyovyote.

Lengo langu sio kumtetea yeyote Bali kuweka Suluhu.

Mdude asivuke mipaka Kwa upumbavu,
Asijefanyiwa maamuzi ya kipumbavu na viongozi wapumbavu

Yaani dawa ya Upumbavu ni upumbuvu
 

Wembe wa Mdude Nani asioujua?
Ndio maana nimemtahadharisha tuu ili asije analalamika wenzake nao wakitumia shoka lile lile
 

Utekaji umeusikia lini sheikhe?

Hayo mambo tuliyakemea na yakitokea tutayakemea Sana tuu.

Lakini na watoa kauli chafu nao tutawakemea.
 
SikU Zote nilikuwa na wewe Mkuu Missile of the Nation katika kuoambana na DIKTETA Magufuli. Kwa hili sikubaliani na wewe.

Rais SSH ni muungwana, msikivu, mpenda haki na tumeona anavyojiyahidi kuleta utawala wa Sheria na demokrasia kwa kipindi kifupi.

Tumlinde Rais wetu dhidi ya Vichaa kama Mdude. Tumkosoe kwa staha kama alivyoagiza.

Rais SSH ni tunu Mungu katuzawadia, na kama tutaitumia vibaya tutegemee mabaya kuliko ya DIKTETA Magufuli.
 
Uzuri wa Mdude ni confidence aliyonayo, anaongea mawazo yake kwa uwazi na anatafuta platform sahihi.

Anatapotakiwa kujiweka sawa ni uwezo wa kujenga hoja kwa kutumia maneno ya busara. Akiwa na hivi viwili atakua kiongozi bora zaidi.
Mdude ana Historia ngumu sana. Hajui hata wazazi wake wako wapi, wala hajui kwao ni wapi. Hata viongizi wa CDM hawajui whether ni Mtanzania au Mkongo . Alizaliwa akajikuta anaishi tu na wasamaria wema. Up bringing yake ndiyo inamfanya awe kama myama, yaani fearless.

Siyo kwamba ana ujasiri bali maisha kwake hayana maana. Yuko kama mnyama akifa sawa, akijeruhiwa sawa, akilala shimoni sawa.

Mwenye akili nzuri, malezi na familia hawezi kutoa kauli kama Ike siku 3 tu baada ya kutoka kwenye mateso kama yale
 
Kauli ya kibabe sana na hakuna tusi lolote pale sema tu wabongo wengi ni wanafiki sana, kama Samia ataleta pigo kama za mtangulizi wake mdude anasema hatakaa kimya lazima harakati zake ziendelee tu, ebu tujiulize je magufuli alinyolewa na wembe gani ili tujue tusi liko wapi hapo
 
huyu fala wa lumumba ROBERT HERIEL akili ubongo wake umeishia kwa MDUDE tu hao wengine yaliyowapata ni sawa tu kwake. shwain sana huyu
 
toa hoja moja tu humu uliyowahi kueleza kuulizia wapi alipo Ben SANANE.. AZORI na wengineo.. vinginevyo wewe ni ndezi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…