Deni La Taifa; Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Kikwete na Magufuli kwa pamoja walikopa Trillioni 56.5. Samia kwa miaka 3 amekopa Trillioni 42

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.

Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.



Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.

Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.

Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
 
Deni la Taifa linapimwa kwa Dola za kimarekani (USD)

USD imepanda kwa zaidi ya 20% ndani ya miaka miwili iliochangiwa na economic tightening ya marekani.

Kwa kipino hiki inaonekana deni limekuwa zaidi lakini ukiweka graph ya Dola ongezeko ni dogo kulinganisha na awamu nyenginezo.

Tujifunze kusoma data za kiuchumi si kuendekeza siasa pekee
 
Pamoja na kua huyo
Pamoja na "Gogo man" ndo ๐Ÿ“ข wa ovyo aliyewahi kutokea hii nchi na akafuatwa na mwenzie aliyepo sa hiv nna Hakka tz haitakaa ipate ๐Ÿ“ขwa ovyo kama Hawa Mungu atusaidie
 
Ndio machawa wanatajirika kwa kazi za maigizo tu
 
Je, hao watangulizi walikopa na kulilipa deni lote?

Tangu maandamo yafeli mnahasira sana na Mama๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Hivi kupanda au kushuka hakuzingatii na thamani ya dollar dhidi ya shilingi kwa wakati husika???....maana kama shilingi imeshuka dhidi ya dollar lazima deni nalo li skyrocket...najaribu kuwaza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ