nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Nafikiri inachangiwa na kushuka kwa thamani ya tshs
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mbaya kumbe bado pesa zinajenga ndani ya Tanzania 🇹🇿 !Nusu ya fedha hizo zimepelekwa kuijenga Zanzibar
Waliikuta tajiri? WeirdKumbe ndiyo maana hao waliotangulia wametuwachia nchi masikini.
Mnapenda sana kulinganisha vitu safi na uchafu!Kwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.
Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.
View attachment 3109180
Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.
Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.
Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
Kusafirisha wasanii (akina Stive nk) kwenye ziara zake, na bila kusahau GOLI LA MAMA!Tekinikali ,aliachiwa miradi mingi mikubwa ambayo haikuisha
Niko poa LuchaElsa mambo?
V8 new model wanaziachaje kila mwakaKwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.
Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.
View attachment 3109180
Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.
Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.
Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
hebu tuwekee in dollers, hizo hela hakukopa nmbKwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.
Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.
View attachment 3109180
Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.
Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.
Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
Wanakopea jina la, Tanzania, mlipaji Tanganyika , inayojengwa Zanzibar, wanoajiriwa kwa wingi Zanzibar. Deni lote watalipa vizazi vya Mtanganyika tu. Ardhi inayodhamini mali inayodhamini mkopo ya Mtanganyika.Kwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.
Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.
View attachment 3109180
Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.
Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.
Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
kwamba hii fedha imekopwa na samia kulipa madeni ya vita vya kagera amaKweli vita vya Kagera vilituacha na madeni mengi na ndicho chanzo cha kuporomoka kwa uchumi.
Tunajengea Zenji halafu Tanganyika pekee watabeba mzigo wa kulipa hayo madeni..Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.
Kwa sababu ya kuwekeza kwa machawa na wasanii, na safari za etsielo dream linner zisizoisha. Ndio maana tunaambiwa nchi imepaka na tumetoka gizani kwa kuwa tunasafiri Sana nchi za nje.Kwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.
Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.
View attachment 3109180
Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.
Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.
Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
Uchafu ni upi hapoMnapenda sana kulinganisha vitu safi na uchafu!
Je, hao watangulizi walikopa na kulilipa deni lote?
Tangu maandamo yafeli mnahasira sana na Mama😆😆