Deni La Taifa; Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Kikwete na Magufuli kwa pamoja walikopa Trillioni 56.5. Samia kwa miaka 3 amekopa Trillioni 42

Deni La Taifa; Nyerere, Mkapa, Mwinyi, Kikwete na Magufuli kwa pamoja walikopa Trillioni 56.5. Samia kwa miaka 3 amekopa Trillioni 42

Kwanini haya madeni hayapungui ikiwa pamoja na kuongeza madeni lakini pia tunalipa hawa wenzetu wametufanya kitega uchumi chao wao wamebanavsehemu na fedha zao wanatusubiri tuminyane na TRA humu nchini mwetu kishs wanakuja kuzikomba fedha zote kijanja janja. Sikuhizi hakuna sababu ya kwenda kwenye nchi ya watu na kumkalia kimabavu watu wanatutawala kiakili na kifikra. Wakiona uchumi wako unakwenda vizuri wanatafuta watu wanawarubuni kwenye nchi yako wanakuletea limradi halina kichwa wala mguu halafu wanakuambia usiwe na wasiwasi tutakupa mkopo wa masharti nafuu.
White elephant projects, unaletewa mradi mkubwa unawakopa mradi wenyewe unatumia miaka mingi 10 - 40 yrs bila kumalizika au unafika katikati pesa inakata inabidi nchi ikope tena kwa riba kubwa refa. SGR na Stieglers Gorge.
 
kwanini munapenda kupotosha uhalisia? sas tilioni 10 aliyokopa mkapa ni sawa na trilioni 10 aliyokopa Samia? usawa wake wa rate ya dola upoje? vipi kuhusu inflation adjusted?

usikate tukienda deep tunaweza kugundua yeye ndie aliekopa kidogo zaidi
 
Kwa hapa tulipofika na hulka ya mtanzania sioni lolote likifanyika, ila hii tu ilitosha kumtoa huyu bimdashi hapo alipo.
 
Kwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.

Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.

View attachment 3109180

Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.

Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.

Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
Magufuli alisema hakopi hizo data zitakuwa za mchongo mtu!
 
Je, hao watangulizi walikopa na kulilipa deni lote?

Tangu maandamo yafeli mnahasira sana na Mama😆😆
Mbona hii nchi inavijana wajinga wengi kama nyie hapa tunazungumzia deni la taifa ambalo linausu watu wote wenye vyama na wasio na vyama
 
Ifikie wakati tuambiwe deni mwaka huu limelipwa kiasi kadhaa na limeongezeka kwa kiasi kadhaa

wanasiasa wapinzani, wasomi, wachumi mbona wapo kimya.
 
Kwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.

Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.

View attachment 3109180

Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.

Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.

Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
Unapotia mfano tumia akili kulinganisha na idadi ya watu, mtu akidai kuwa Nyerere hakuwahi kupata kura zaidi ya milioni 30 atakuwa hakutumia akili kwani wakati wake idadi ya watu haikuzidi milioni 15.
 
Unapotia mfano tumia akili kulinganisha na idadi ya watu, mtu akidai kuwa Nyerere hakuwahi kupata kura zaidi ya milioni 30 atakuwa hakutumia akili kwani wakati wake idadi ya watu haikuzidi milioni 15.
Waambie BOT wawe wanatumia akili kutuletea takwimu zao
 
Mbona mna nongwa Sana wakuu kwani miradi mipya aliyoanzisha hamuioni aiseee🤣🤣😂😂🤣
 
Kwa mujibu wa takwimu za BOT hadi julai 2024 deni la taifa limefikia Trillioni 98.5 tangu tupate uhuru.

Imetuchukua miaka 60 tangu kupata uhuru from 1961 to 2020 na Maraisi Watano Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli kufikisha Trillioni 56.5 ya Deni la taifa.

View attachment 3109180

Halafu ndani ya miaka mitatu tu 2021-2024 chini ya Rais mmoja SSH ambaye hajamaliza hata mhula mmoja tayari tumesha-accumulate Trillion 42 ya deni la taifa sawa na asilimia 43% ya deni lote.

Ina maana tunakopa wastani wa Trillioni 14 kwa mwaka, speed yote hii ya nini na inatupeleka wapi.

Tulimuonea sana Spika mstaafu Job Ndugai aliposema, "Madeni, madeni, madeni kuna siku nchi itapigwa mnada".
Supika Ndugai hajaonewa na mtu kwa sababu na yeye ni mtetezi Mkuu wa Katiba hii iliyopo ambayo hata yeye baada ya kukurupuka kwake akajikuta baadaye amelazimika kuomba msamaha kwa yule aliyepewa madaraka yote anayoyahitaji katika kuongoza Nchi !!

Nimekosa Nimekosa sana Mimi. !!

Uzuri wa Katiba ni kama Msumeno,
Msumeno huwa unakata mbele na nyuma !

Au nasema uongo ndugu zanguni ??!😳😁😅
 
Back
Top Bottom