DENZEL OMONDI ambaye kwenye list ambayo walishirki kujipost bungeni huko kenya naye amefariki na kutupwa

DENZEL OMONDI ambaye kwenye list ambayo walishirki kujipost bungeni huko kenya naye amefariki na kutupwa

Ww kwenu kuna majizi yako bungeni yanaiba na unayalipa mshahara kwa kodi yako na bado yanakutingia sheria za kipuuzi na tozo kibao je umeyashughulikia 🤯
Namna ya kuyashughulikia hayo "majizi" sio kuvamia Bungeni na kuharibu mali, bali ni kwa njia ya sanduku la "kura".

Tunapaswa kuheshimu "mamlaka" zilizopo. Tukiona Serikali hatimizi matakwa yetu basi tuiondoe kwa kufuata utaratibu ambao ni "sanduku la kura".
 
Mkuu kuondoa Serikali iliyopo madarakani kwa njia ya maandamano sio kazi rahisi, inawezekana lakini sio rahisi hata kidogo.

Na hata kama watafanikiwa kuindoa Serikali ya Ruto madarakani, hao waliokufa wanapata faida gani???

Mimi binafsi sioni faida ya kupoteza uhai kwa kuindoa Serikali. Utaindoa lakini sio wewe wala ndugu zako watakaoingia Ikulu. Watakaoingia ni wengine ambao hata hawakujui. Wakati huo wewe unaoza kaburini.

Ndiyo maana nimeuliza unatoa uhai wako kwenye maandamano kwa faida ya nani????
Ilibaki asilimia 20% ya maandamano kumuondoa ruto na yeye mwenyewe anajua vizuri sana
 
M
Unavamia ofisi za Bunge, unaharibu vitu halafu unaji post kwenye mitandao. Hiyo ni dharau kubwa kwa ofisi ya Bunge hawawezi kukuacha salama.

Utashughulikiwa tu. Kila kitu kina gharama zake, ukifanya kitu cha hovyo lazima ujiandae kulipia gharama.

Swali, unakufa kwenye maandamano kwa faida ya nani?????????????????
Mahakama si zipo?
Kutumia nguvu maana yake Ni kwamba huwezi mabishano yenye point.
Tutaona Kama kuua kutamfikisha mbali muuaji.
Mifano Ni mingi na ninyi mnaijua. Yuko wapi Saddam Hussein, Yuko wapi idd Amin, Yuko wapi Mobutu. Yuko wapi Moi.
 
M

Mahakama si zipo?
Kutumia nguvu maana yake Ni kwamba huwezi mabishano yenye point.
Tutaona Kama kuua kutamfikisha mbali muuaji.
Mifano Ni mingi na ninyi mnaijua. Yuko wapi Saddam Hussein, Yuko wapi idd Amin, Yuko wapi Mobutu. Yuko wapi Moi.
Umejibu vyema sana. Sasa nikuulize baada ya Marais wote hao uliowataja kuondolewa nini kilibadilika kwenye nchi zao?

Je, wananchi wa hizo nchi wamekuwa na maisha bora au matatizo yao bado yako pale pale?
 
Umejibu vyema sana. Sasa nikuulize baada ya Marais wote hao uliowataja kuondolewa nini kilibadilika kwenye nchi zao?

Je, wananchi wa hizo nchi wamekuwa na maisha bora au matatizo yao bado yako pale pale?
Hapa mnachanganya mada.
Iddi Amin alitolewa na watanzania baada ya kuivamia ardhi ya Tanzania, hivyo kufurumushwa kwake kukaleta maisha ya amani kwa waliovamiwa. Sadam Hussen naye hakuondolewa na wananchi wake.
 
Mkuu kuondoa Serikali iliyopo madarakani kwa njia ya maandamano sio kazi rahisi, inawezekana lakini sio rahisi hata kidogo.

Na hata kama watafanikiwa kuindoa Serikali ya Ruto madarakani, hao waliokufa wanapata faida gani???

Mimi binafsi sioni faida ya kupoteza uhai kwa kuindoa Serikali. Utaindoa lakini sio wewe wala ndugu zako watakaoingia Ikulu. Watakaoingia ni wengine ambao hata hawakujui. Wakati huo wewe unaoza kaburini.

Ndiyo maana nimeuliza unatoa uhai wako kwenye maandamano kwa faida ya nani????
Kwa maoni haya ya kijinga hata Mau Mau walikuwa wajinga tu kufa kwa ya Jambo ambalo hawatalifaidi wakiwa makaburini. Wapiganaji wa Frelimo kule Msumbiji, Africa kusini, Namibia na kwingineko wote waliokufa kupigania haki ya Nchi zao Walikuwa wajinga tu kwa mujibu wa ujinga wa huyu mchangiaji
 
Kwa maoni haya ya kijinga hata Mau Mau walikuwa wajinga tu kufa kwa ya Jambo ambalo hawatalifaidi wakiwa makaburini. Wapiganaji wa Frelimo kule Msumbiji, Africa kusini, Namibia na kwingineko wote waliokufa kupigania haki ya Nchi zao Walikuwa wajinga tu kwa mujibu wa ujinga wa huyu mchangiaji
Amini nakwambia kama leo hii wangefufuliwa na kupata nafasi ya kuishi, wangekiri wazi kabisa kuwa walichokifanya kilikuwa ni upumbavu na kujilisha upepo.
 
Back
Top Bottom