THE NEXT DON
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 307
- 302
Ajira 😅😅😅Natoa wito kwa watanzania wote ikibidi tufanye maandamano yasiyo na kikomo kumlazimisha mh rais kuongeza muda..hii ni kwa maslahi mapana ya taifa..MTU ameitoa nchi matopeni kwenye lindi la rushwa,umaskini,ufisadi,ujinga,utegemezi n.k na kuipaisha hadi nchi yenye neema tele ndege,elimu bure,ajira,uwajibikaji,afya bora,miundombinu,uwazi,demokrasia na shibe harafu tumwachie eti kwa matakwa ya maandishi tu nyie mwayaita katiba..hakuna katiba iliyo juu ya maslahi ya umma...niko tayali kuandamana hata ikibidi nipigwe risasi nife kutetea maslahi ya watu..narudia ALAZIMISHWE AONGEZA WALAU MIAKA 20
Makengeza hadi kwenye kufikiri na rohoni, not just an outside phenotype! hata genotype iko hivyo"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania.
Haya yote yamepangwa. Mwelekeo ni uleule."Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania.
This guy is VERY intelligent. I wish waheshimiwa Wabunge wetu wote wangekuwa na umoja katika hili suala nyeti & la lazima kwa ustawi na maendeleo ya nchi yetu."Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga
#Bungeni
View attachment 1693592
Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania.
Kwani si nyie akina Mnyika ndio mliomba apatikane Rais sampuli ya No Nonsense eikeiei Bulldozer!???Nchi ina wajinga wengi sana hii. Kwani wakati huyo magufuli wake anaingia madarakani hakukuta miradi iliyoachwa na mtangulizi wake?
Mia ^tar-know^ mipya!!!Wale wa mitano tena [emoji2772]sasa hivi tuweke kauli mbiu gani jamani[emoji849][emoji849]
Umeandika kwa hisia sana! ^Hakuna Katiba iliyo juu ya maslahi ya umma^Natoa wito kwa watanzania wote ikibidi tufanye maandamano yasiyo na kikomo kumlazimisha mh rais kuongeza muda..hii ni kwa maslahi mapana ya taifa..MTU ameitoa nchi matopeni kwenye lindi la rushwa,umaskini,ufisadi,ujinga,utegemezi n.k na kuipaisha hadi nchi yenye neema tele ndege,elimu bure,ajira,uwajibikaji,afya bora,miundombinu,uwazi,demokrasia na shibe harafu tumwachie eti kwa matakwa ya maandishi tu nyie mwayaita katiba..hakuna katiba iliyo juu ya maslahi ya umma...niko tayali kuandamana hata ikibidi nipigwe risasi nife kutetea maslahi ya watu..narudia ALAZIMISHWE AONGEZA WALAU MIAKA 20
Mimi siyo Mnyika ndugu mheshimiwa. 😇Kwani si nyie akina Mnyika ndio mliomba apatikane Rais sampuli ya No Nonsense eikeiei Bulldozer!???
Sura yako ya nje ni Baba wa Taifa lakini maneno & spirit yako ni ileile ya huyo mropokaji mwenzio.Mimi siyo Mnyika ndugu mheshimiwa. [emoji56]
Bangi zimepanda!MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.
Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.
Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Ulivyosema tu eti ^sikwambii kitu kuhusu Sisiemu^ nikajua kabisa kumbe wewe siye, maana Sisiemu niwajuao mie wanaambilika. Pole sana lakini kwa kudhani ^umeingia cha hakika^ kumbe duh!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaumwa wewe kapimwe coronaNatoa wito kwa watanzania wote ikibidi tufanye maandamano yasiyo na kikomo kumlazimisha mh rais kuongeza muda..hii ni kwa maslahi mapana ya taifa..MTU ameitoa nchi matopeni kwenye lindi la rushwa,umaskini,ufisadi,ujinga,utegemezi n.k na kuipaisha hadi nchi yenye neema tele ndege,elimu bure,ajira,uwajibikaji,afya bora,miundombinu,uwazi,demokrasia na shibe harafu tumwachie eti kwa matakwa ya maandishi tu nyie mwayaita katiba..hakuna katiba iliyo juu ya maslahi ya umma...niko tayali kuandamana hata ikibidi nipigwe risasi nife kutetea maslahi ya watu..narudia ALAZIMISHWE AONGEZA WALAU MIAKA 20
tupo kwenye maombolezo.Yuko kwenye ulaji