Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Aj
Natoa wito kwa watanzania wote ikibidi tufanye maandamano yasiyo na kikomo kumlazimisha mh rais kuongeza muda..hii ni kwa maslahi mapana ya taifa..MTU ameitoa nchi matopeni kwenye lindi la rushwa,umaskini,ufisadi,ujinga,utegemezi n.k na kuipaisha hadi nchi yenye neema tele ndege,elimu bure,ajira,uwajibikaji,afya bora,miundombinu,uwazi,demokrasia na shibe harafu tumwachie eti kwa matakwa ya maandishi tu nyie mwayaita katiba..hakuna katiba iliyo juu ya maslahi ya umma...niko tayali kuandamana hata ikibidi nipigwe risasi nife kutetea maslahi ya watu..narudia ALAZIMISHWE AONGEZA WALAU MIAKA 20
Ajira 😅😅😅
 
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592

Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania.
Makengeza hadi kwenye kufikiri na rohoni, not just an outside phenotype! hata genotype iko hivyo
 
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592

Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania.
Haya yote yamepangwa. Mwelekeo ni uleule.
 
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592

Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania.
This guy is VERY intelligent. I wish waheshimiwa Wabunge wetu wote wangekuwa na umoja katika hili suala nyeti & la lazima kwa ustawi na maendeleo ya nchi yetu.
 
Nchi ina wajinga wengi sana hii. Kwani wakati huyo magufuli wake anaingia madarakani hakukuta miradi iliyoachwa na mtangulizi wake?
Kwani si nyie akina Mnyika ndio mliomba apatikane Rais sampuli ya No Nonsense eikeiei Bulldozer!???
 
Hata Kadafi aliwafanyia Watu wake makubwa mengi tu.
 
Natoa wito kwa watanzania wote ikibidi tufanye maandamano yasiyo na kikomo kumlazimisha mh rais kuongeza muda..hii ni kwa maslahi mapana ya taifa..MTU ameitoa nchi matopeni kwenye lindi la rushwa,umaskini,ufisadi,ujinga,utegemezi n.k na kuipaisha hadi nchi yenye neema tele ndege,elimu bure,ajira,uwajibikaji,afya bora,miundombinu,uwazi,demokrasia na shibe harafu tumwachie eti kwa matakwa ya maandishi tu nyie mwayaita katiba..hakuna katiba iliyo juu ya maslahi ya umma...niko tayali kuandamana hata ikibidi nipigwe risasi nife kutetea maslahi ya watu..narudia ALAZIMISHWE AONGEZA WALAU MIAKA 20
Umeandika kwa hisia sana! ^Hakuna Katiba iliyo juu ya maslahi ya umma^


Nimekuelewa sana

cc:
UFIPA
BAVICHA
KAMBI RASMI YA UPINZANI
MR HEAVY
MR FARU J
MR ^MEEEEN^
MR ^MURA^
MR MUSIC
MR BISHOP
MS SAUTI YA Z
MS EM
MS EB
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT

Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Bangi zimepanda!
 
Mkuu mimi ni CCM dam dam!! Yaani huniambii kitu kuhusu CCM !!![emoji849]
Ulivyosema tu eti ^sikwambii kitu kuhusu Sisiemu^ nikajua kabisa kumbe wewe siye, maana Sisiemu niwajuao mie wanaambilika. Pole sana lakini kwa kudhani ^umeingia cha hakika^ kumbe duh!!!
 
Natoa wito kwa watanzania wote ikibidi tufanye maandamano yasiyo na kikomo kumlazimisha mh rais kuongeza muda..hii ni kwa maslahi mapana ya taifa..MTU ameitoa nchi matopeni kwenye lindi la rushwa,umaskini,ufisadi,ujinga,utegemezi n.k na kuipaisha hadi nchi yenye neema tele ndege,elimu bure,ajira,uwajibikaji,afya bora,miundombinu,uwazi,demokrasia na shibe harafu tumwachie eti kwa matakwa ya maandishi tu nyie mwayaita katiba..hakuna katiba iliyo juu ya maslahi ya umma...niko tayali kuandamana hata ikibidi nipigwe risasi nife kutetea maslahi ya watu..narudia ALAZIMISHWE AONGEZA WALAU MIAKA 20
[emoji23][emoji23][emoji23]Unaumwa wewe kapimwe corona
 
Back
Top Bottom