Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Huyu mjinga sana,
Ndicho alitumwa na wapiga kura wake!
Sijui kala maharage ya wapi huyu.
 
Hii hoja si ya bahati mbaya ni jambo lililopangwa kwa mikakati madhubuti ambapo muda wake ukifika hakuna wa kulipinga, litaanza kama mzaha lakini wapiga zumari wataongezeka kila nyakati mpaka lionekane lina uhalisia wa mahitaji kumbe umugabe unaingia taratibu
 
Tumbo ka mgonjwa wa safura mbunge choko Sana huyu,hii nchi ina watu zaidi y la milioni 60 ,sio Magufuli pekee ndo anaweza kuongoza mpumbavu Sana wee Deo sanga
 
Huyu mjinga sana,
Ndicho alitumwa na wapiga kura wake!
Sijui kala maharage ya wapi huyu.
Kumjadili Deo Sanga hata kwakumuita mjinga ni kumpaisha tu. Ni pia umkijadili Deo Sanga ni dalili ya kukosa akili na kazi. Dawa ni kumpuuza tu.
 
Absolutely. Mwinyi alishasema huo muda ni wa shukurani.
 
Haahaa na huyu kashalipwa posho? Haaahaa halmashauri kuu ya ccm imehamia bungeni sasa
 
Uchaguzi umefanyika Oktoba 2020, Novemba 2020 Raisi alilihutubia bunge na kueleza vipaumbele vyake. Februari mwanzoni 2021 yaani kama miezi mitatu au pungufu tangu aingie madarakani anatokea mtu anazungumzia kuongeza muda wa Raisi kubaki madarakani. Kwa miaka 5 ya uongozi wa kikatiba hata mwaka mmoja hajamaliza ; bado ana miaka 4 na miezi 9. Hivi hiyo ndiyo kazi ya mbunge?
 
Faida ya kupita bila kupingwa.

Badala ya kupigania waalimu waongezewe madaraja yao anakuja na hoja zisizo na tija
 
Hivi kwani vinavyo fanyika havipo au Vipo na je impact hasi au chanya tunayopata nchini?
 
Miaka yote hiyo alipatikana nani alieweza kuleta mabadiliko kama ya huyu mjomba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…