Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

Deo Sanga aomba Rais Magufuli aongezewe muda hata asipotaka

MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
amelewa cheo hajui vile tuna njaa kali
 
Uchaguzi umefanyika Oktoba 2020, Novemba 2020 Raisi alilihutubia bunge na kueleza vipaumbele vyake. Februari mwanzoni 2021 yaani kama miezi mitatu au pungufu tangu aingie madarakani anatokea mtu anazungumzia kuongeza muda wa Raisi kubaki madarakani. Kwa miaka 5 ya uongozi wa kikatiba hata mwaka mmoja hajamaliza ; bado ana miaka 4 na miezi 9. Hivi hiyo ndiyo kazi ya mbunge?

Huyo mbunge amepitishwa kwa amri ya huyo huyo rais, hivyo lazima atetee huyo rais aendelee kukaa madarakani maana ndio makubaliano ya yeye kuzawadiwa ubunge.
 
"Rais wetu Dkt. Magufuli amefanya kazi kubwa, ombi langu hapa ndani atake asitake tumuongezee muda ili aweze kufanya kazi yake vizuri ili mipango aliyoipanga ikamilike, nilisema kipindi fulani hata China walifanya hivyo si dhambi kumuongezea anayefanya vizuri" - Deo Sanga

#Bungeni

View attachment 1693592


Kumekucha sasa lile bunge la kijani linaanza kazi waliyoipigania .
Huyo deo sanga hata shule tu hakusoma kabahatika kupata utajili wake wa wizi makambako pale ati anajiita jah people, naona kazi imeanza sasa.
 
Ameanza kutaka kuleta mambo yasiyofaa Magufuli keshasema kwa kinywa chake hata nukta ya mshale haitozidi kwanza keshachoka kuongoza wahuni wanaozamia ulaya kupitia ubalizi!
 
Yule hata siyo wa kupoteza muda kujadili kauli yake. Mtu ambaye hata kuandika tu ni shida, na alipelekwa shule, nadhani hiyo inathibitosha kuwa hafundishiki, na watu wasiofundishika ni wale wenye low IQ.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu kwa taarifa huyo Deo Sanga ndio kutumika kufungua njia, utaona jinsi wanaojiita wasomi watakavyorukia hilo suala. Huyo anayesemekana atalazimishwa kukaa madarakani ndio anayeratibu zoezi zima.
 
Ngoja nigairi kufa kwangu nisubiri ngoma hii
 
Ameanza kutaka kuleta mambo yasiyofaa Magufuli keshasema kwa kinywa chake hata nukta ya mshale haitozidi kwanza keshachoka kuongoza wahuni wanaozamia ulaya kupitia ubalizi!

Kwa taarifa yako Magufuli anataka sana kuendelea kukaa madarakani, ila anajua wengi hawatakubali, anachofanya ni kuwatumia hao vibaraka wake. Utakuja kusema hapa.
 
Amkeni kumekucha sasa ile kauli mbiu imeanza, tunataka ukomo wa ubunge iwe mara moja tuu ili wawe na akili wazee wetu wachumia tumbo
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
lisemwalo lipo, kama halipo lipo nyuma laja
 
Wasitupigie kelele. Waongeze hata miaka 100 but Karma is real
 
Mbunge jimboni kwake shida zote wananchi hawazioni wanaona la mkulu kuongezewa muda,ili mbunge wao azidi kunona.
 
Jiwe kapora kura za wapinzani na ndani ya ccm aliwakata wabunge wenye akili (mfano akina Adadi Rajabu, Andrew Chenge, Maganga Ngeleja, n.k) akapitisha wenye mtindio wa ubongo ili wapitishe maazimio ya kumbakisha madarakani.

Kwahiyo huu ujinga tulisha ufahamu tangu wakati wa mchakato wa kukata majina ya wagombea na kupora kura za wapinzani.
Mbowe miaka 20 sawa Chadema wajanja, Magufuli miaka 15 hapana, CCM wajinga.
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Nzi wa kijani kichwani wamejaa tope tupu,yani wao kazi ni kumsifia meko na kumtukuza...heri covid iwachukue tu tupunguze wajinga tanzania ya viwanda
 
MBUNGE WA MAKAMBAKO AT
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga amesema Rais Magufuli amefanya kazi kubwa katika nafasi yake ya Urais.

Ametoa ombi la kuongezewa muda wa kubaki madarakani kama Rais ili mipango anayoendelea nayo aweze kuikamilisha.

Ameomba aongezewe muda hata kama asipotaka. Amesema hata China waliwahi kufanya hivyo kipindi fulani katika historia.
Wapumbavu hawatokaa waishe duniani!
 
Haya ndiyo vitu sisi tulikuwa tunazitaka sasa! Hongera sana Bunge letu. JPM is going nowhere. ^We will be back in some form^ ~ Donald Trump.

Trump can only be vague as the US is a real pain in his azz. But for Jiwe in his beloved TZ, it’s all plain sailing: he’ll certainly be back in the same form - possibly more awesome!
 
Hii dhambi ya jpm akiwa raisi wa milele ikifanikiwa TISS mna la kujibu huko ahela
 
Back
Top Bottom