Dereva fahamu HAKI na WAJIBU wako unapokutana na Traffic Barabarani kuepusha Migogoro

Dereva fahamu HAKI na WAJIBU wako unapokutana na Traffic Barabarani kuepusha Migogoro

Pesa ni shetani hawa bandugu wanachokilenga humo njiani ni noti tu,mara nyingi huwa hawana time ya kuelimishana
 
Nyie ndo mnawajaza ujinga na wanazidi kuona watanzania wote ni mabwege.mimi sitoi rushwa...ikishindikana naandikiwa.
Huwajui wewe hawa yangeyange, ukionekana mkono mfupi wanarithishana namba za gari yako, na wanahakikisha ulali bila "cheti cha mahabara".

Hizi sheria nadhani hazikuwa kwa ajili ya nchi za kiafrika maybe.
 
Si kweli. Labda wanawaonea maamuma. Mimi siandiki kizembe wewe.mwaka huu mpaka mwezi huu sijaandikiwa kosa wala kulipa rushwa na mon to sunday nipo barabarani. Labda kama wewe ni daladala...
Mnalea ubovu mjue haki zenu.

Huwajui wewe hawa yangeyange, ukionekana mkono mfupi wanarithishana namba za gari yako, na wanahakikisha ulali bila "cheti cha mahabara".

Hizi sheria nadhani hazikuwa kwa ajili ya nchi za kiafrika maybe.
 
Hili limewahi nitokea nikataka overtake gari nakuta mbele kuna watu wanavuka...ananipigia kelele huoni nimewasha hazard nami nikamwambia kuwasha hazard maana yake gari inashida so sisi wengine tuendelee na issue zetu... Mijitu imeanza tu kuiga hili jambo miaka ya karibuni.sisi kipindi tunaendesha gari miaka ya 90 hili jambo halikuwepo kabisa.
Wala usimlaumu. Waliolikoroga sana suala hili ni traffic police wenyewe. Kama unakumbuka mwaka juzi walianzisha kampeni kubwa ya kukamata madereva wanaovunja sheria kwenye zebra.

Mambo makubwa mawili ambayo wao wenyewe traffic waliyashikia bango kama makosa na kuleta mkanganyiko sana ni;
1. Ni lazima kusimama kwa muda kwenye zebra(zisizo na taa) hata kama hakuna mwenda kwa miguu anayetaka kuvuka.
2. Kuwasha hazard unaposimama kwenye zebra.

Madereva wengi tu walipigwa faini kwa makosa haya na lilileta mjadala mkubwa nchini hata hapa JF.

Lakini baadaye wao wenyewe traffic wakasema siyo kosa na wengine kuacha kukamata kimya kimya. Nilichogundua hata traffic wenyewe wengi hawajui sheria za barabarani zote na mara nyingi wanafuata mkumbo. Nakumbuka wanasheria wengi waliingilia kati na kusema ni makosa.
 
Na mimi naomba kuchangia. Mko njia kuu nje ya mji kwa mfano nje ya 50; mbele kuna milori kadhaa imetangulia mwendo mdogo sana. Unayafuata taratibu ukisubiria upate sehemu inayokuruhusu ku-overtake.

Mungu si Athumani, unaruhusiwa ku-overtake bila hiana mbele kweupe unaingia kulia. Lol! kumbe msafara mrefu kiasi, hamad, dotted line imefikia mwisho huwezi kurudi kushoto kwa sababu kuna gari; unakanyagia ili ulimalizie lile lori then unarudi kushoto tayari ulishavuka dotted line.

Duh! Balaa, kumbe walikuwa wamejificha mahali, ghafla wanaibuka barabarani unawekwa pembeni. Michezo hii ipo sana Kibaha - Mlandizi na Dumila - Gairo. Jamani, tukienda kiuhalisia hapo kosa langu ni lipi?

Kumbuka mstari wa kuniruhusu ku-overtake unapoanzia sijavaa darubini ili nijue unaishia wapi; ni hadi mita chache kabla ya unapoishia ndipo napoweza kugundua unaishia pale; siwezi kurudi kwa sababu kushoto kuna gari.

This is a very stupid regulation; nilishapigwa sana mabao ya aina hii. Sheria (I think rule) hii ilitakiwa izingatie zaidi ulipotokea/ingilia na sio pale dereva alipomalizia kutokana na changamoto niliyoileza hapo juu. Wahusika waliangalie hili.
 
Leseni inaweza kuwasilishwa ndani ya masaa 72
 
ukiwa una drive huruhusiwe kuvaa open shoes
Nilishamsikiliza Kiongozi mmoja wa Traffic akihojiwa ITV kuwa kuvaa open shoes haukatazwi kisheria lakini unaweza kukusababishia matatizo hivyo hawapendi madereva wavae
 
ukiwa una drive huruhusiwe kuvaa open shoes
Nilishamsikiliza Kiongozi mmoja wa Traffic akihojiwa ITV kuwa kuvaa open shoes haukatazwi kisheria lakini unaweza kukusababishia matatizo hivyo hawapendi madereva wavae
 
Na mimi naomba kuchangia. Mko njia kuu nje ya mji kwa mfano nje ya 50; mbele kuna milori kadhaa imetangulia mwendo mdogo sana. Unayafuata taratibu ukisubiria upate sehemu inayokuruhusu ku-overtake.

Mungu si Athumani, unaruhusiwa ku-overtake bila hiana mbele kweupe unaingia kulia. Lol! kumbe msafara mrefu kiasi, hamad, dotted line imefikia mwisho huwezi kurudi kushoto kwa sababu kuna gari; unakanyagia ili ulimalizie lile lori then unarudi kushoto tayari ulishavuka dotted line.

Duh! Balaa, kumbe walikuwa wamejificha mahali, ghafla wanaibuka barabarani unawekwa pembeni. Michezo hii ipo sana Kibaha - Mlandizi na Dumila - Gairo. Jamani, tukienda kiuhalisia hapo kosa langu ni lipi?

Kumbuka mstari wa kuniruhusu ku-overtake unapoanzia sijavaa darubini ili nijue unaishia wapi; ni hadi mita chache kabla ya unapoishia ndipo napoweza kugundua unaishia pale; siwezi kurudi kwa sababu kushoto kuna gari.

This is a very stupid regulation; nilishapigwa sana mabao ya aina hii. Sheria (I think rule) hii ilitakiwa izingatie zaidi ulipotokea/ingilia na sio pale dereva alipomalizia kutokana na changamoto niliyoileza hapo juu. Wahusika waliangalie hili.
Kimsingi kosa lako Ni kuovertake bila kuzingatia usalama wako na usalama wa wengine..kabla ya kuovertake lazima ufanye assessment ya mazingira yako ikiwemo wale unaotake kuwaovertake (idadi ya magari, Aina ya magari, mwendo wao n.k) na mazingira ya eneo husika..ikiwemo hiyomistari ya barabarani, Kona, mashimo, utelezi nk. n.k. Kuna watu wanaovertake bila kufanya assessment yeyote ndo hayo anatoka mbele anakutaka uso kwa uso na Gari ingine...au anakutaka na Kona na kusababisha ajali zisokuwa na msingi
 
Kimsingi kosa lako Ni kuovertake bila kuzingatia usalama wako na usalama wa wengine..kabla ya kuovertake lazima ufanye assessment ya mazingira yako ikiwemo wale unaotake kuwaovertake (idadi ya magari, Aina ya magari, mwendo wao n.k) na mazingira ya eneo husika..ikiwemo hiyomistari ya barabarani, Kona, mashimo, utelezi nk. n.k. Kuna watu wanaovertake bila kufanya assessment yeyote ndo hayo anatoka mbele anakutaka uso kwa uso na Gari ingine...au anakutaka na Kona na kusababisha ajali zisokuwa na msingi
Hayo yote nakuwa nimeyafanya Mkuu tatizo mstari utaishia wapi?
 
Kuna mahali ambapo trafiki wanatakiwa watumie busara kuliko sheria ila kwa sasa hivi ni asilimia mbili ya trafiki ndio wana busara na kujua sheria.
 
Back
Top Bottom