Dereva fahamu HAKI na WAJIBU wako unapokutana na Traffic Barabarani kuepusha Migogoro

Dereva fahamu HAKI na WAJIBU wako unapokutana na Traffic Barabarani kuepusha Migogoro

Hoja yangu iko hapo kwenye red; ni rahisi kuona object (gari, mnyama, mtu, n.k.) iliyoko mita kadhaa mbele lakini huwezi kuona dotted line inapoishia at the moment unaruhusiwa ku-overtake.
Mkuu hizi alama zinakusaidia kujua pattern ya barabara, kama unaelewa maana ya hiyo mistari huwezi pata shida.

Ukichungunguza utagundua kuna dotted line ndogo ndogo za wastani na zile ndefu zote zina maana tofauti.

Inawezekana we ukiona tu dotted unatoa gari kuovertake wakati hizo dots zinakueleza kuwa mbele kidogo baada ya hapa sio salama hivyo chukua tahadhari. Sasa km we huelewi unatoka kuovertake semi tano lazima ile kwako.

Ndio maana nimekuuliza umesoma driving na unajua maana ya hizo line zote au umekariri tu yenye dots unaovertake?
 
Mkuu hizi alama zinakusaidia kujua pattern ya barabara, kama unaelewa maana ya hiyo mistari huwezi pata shida.

Ukichungunguza utagundua kuna dotted line ndogo ndogo za wastani na zile ndefu zote zina maana tofauti.

Inawezekana we ukiona tu dotted unatoa gari kuovertake wakati hizo dots zinakueleza kuwa mbele kidogo baada ya hapa sio salama hivyo chukua tahadhari. Sasa km we huelewi unatoka kuovertake semi tano lazima ile kwako.

Ndio maana nimekuuliza umesoma driving na unajua maana ya hizo line zote au umekariri tu yenye dots unaovertake?
Itakua anataka overtake kwenye doted zinazoonyesha mchepuko wa barabara..au sehem za muingiliano wa barabara
 
Ha haaa, inawezekana kabisa! Watu wengi wanadhani wanaelewa hizi dotted lines ila kiukweli wengi ni chenga sana.
Itakua anataka overtake kwenye doted zinazoonyesha mchepuko wa barabara..au sehem za muingiliano wa barabara
 
Ha haaa, inawezekana kabisa! Watu wengi wanadhani wanaelewa hizi dotted lines ila kiukweli wengi ni chenga sana.
Mara nyingi mm nikiovetake huwa naangalia mwisho wa hizo doted if utaruhusu kuyatoka hayo magari..if naona haitoshi huwa naancha...kingine huwa naangalia Kona na hatari zingine..ata Kama doted unaruhusu lakini Kuna Kona..au mwinuko, mashimo, au sioni vzuri mbele hutaniona nikikaa kulia.
 
Uko sahihi na ukizingatia hayo huwezi kutwa na kashi kashi wakati wa kuovertake.
Mara nyingi mm nikiovetake huwa naangalia mwisho wa hizo doted if utaruhusu kuyatoka hayo magari..if naona haitoshi huwa naancha...kingine huwa naangalia Kona na hatari zingine..ata Kama doted unaruhusu lakini Kuna Kona..au mwinuko, mashimo, au sioni vzuri mbele hutaniona nikikaa kulia.
 
Mara nyingi mm nikiovetake huwa naangalia mwisho wa hizo doted if utaruhusu kuyatoka hayo magari..if naona haitoshi huwa naancha...kingine huwa naangalia Kona na hatari zingine..ata Kama doted unaruhusu lakini Kuna Kona..au mwinuko, mashimo, au sioni vzuri mbele hutaniona nikikaa kulia.
Pia kwa nyongeza ukiona dots ziko ndefu kama hizi hapa chini, chukua tahadhari maana yake mbele kidogo eneo si salama kuovertake.
hazard-ahead.jpeg
 
Mkuu hizi alama zinakusaidia kujua pattern ya barabara, kama unaelewa maana ya hiyo mistari huwezi pata shida.

Ukichungunguza utagundua kuna dotted line ndogo ndogo za wastani na zile ndefu zote zina maana tofauti.

Inawezekana we ukiona tu dotted unatoa gari kuovertake wakati hizo dots zinakueleza kuwa mbele kidogo baada ya hapa sio salama hivyo chukua tahadhari. Sasa km we huelewi unatoka kuovertake semi tano lazima ile kwako.

Ndio maana nimekuuliza umesoma driving na unajua maana ya hizo line zote au umekariri tu yenye dots unaovertake?
... asante japo hujajibu hoja yangu. Anyway, asante kwa muda wako.
 
... asante japo hujajibu hoja yangu. Anyway, asante kwa muda wako.
Mkuu, nimekuuliza kama umesoma driving hujajibu isipokuwa nimeelewa kuwa ama hujasoma au hukuelewa vizuri hilo eneo la mistari.

Ni kwamba ukiona dot lines ndefu ujue mbele kidogo kuna hatari ambayo haitakuruhusu kuovertake kwa hiyo kama kuna gari nyingi mbele yako ama gari unayotaka kuipita iko speed kubwa kiasi usijaribu kuovertake. Mara nyingi mbele utakuta kuna kona, makutano ya barabara, zebra cross nk.

Dots zikiwa ndogo ndogo hapa huwa ni tambarare hata we ukitazama unaona umbali mrefu hivyo ni salama kuovertake hata gari nyingi ama yenye/zenye speed kiasi.
 
Pia kwa nyongeza ukiona dots ziko ndefu kama hizi hapa chini, chukua tahadhari maana yake mbele kidogo eneo si salama kuovertake.View attachment 1496344
Hizi ---- unaruhusiwa ku overtake. Mstari huruhisiwi ku overtake. Kukiwa na mstari kulia sambamba na hii ---- hauruhusiwi ila anaye kuja anaruhusiwa. Ikiwa kukiwa na hii kushoto ---- sambamba na mstari unaruhusiwa ila anaye kuja haruhusiwi
 
Hizi ---- unaruhusiwa ku overtake. Mstari huruhisiwi ku overtake. Kukiwa na mstari kulia sambamba na hii ---- hauruhusiwi ila anaye kuja anaruhusiwa. Ikiwa kukiwa na hii kushoto ---- sambamba na mstari unaruhusiwa ila anaye kuja haruhusiwi
Naelewa unachojaribu kueleza ingawa lugha yako ina changanya hasa kwa mtu asiye na uelewa wa hivi vitu.

Ungeeleza kwa mfano, kukiwa na dots upande wako kisha full line unaweza kuovertake ila anayekuja kulia kwako haruhusiwi kuovertake na ikiwa hivyo kwa upande huo wa kulia pia yeye ataruhusiwa kuovertake ila wewe hutaruhusiwa.

Kifupi aliye upande wenye dotted lines anaruhusiwa kuovertake na si kinyume chake.
 
Naelewa unachojaribu kueleza ingawa lugha yako ina changanya hasa kwa mtu asiye na uelewa wa hivi vitu.

Ungeeleza kwa mfano, kukiwa na dots upande wako kisha full line unaweza kuovertake ila anayekuja kulia kwako haruhusiwi kuovertake na ikiwa hivyo kwa upande huo wa kulia pia yeye ataruhusiwa kuovertake ila wewe hutaruhusiwa.

Kifupi aliye upande wenye dotted lines anaruhusiwa kuovertake na si kinyume chake.
Upo sahihi mkuu. Kuelezea kitu ni kipaji pia
 
Hii misimamo napenda tuanzishe kabisa team yetu. Team hatutoi kitu. Mimi ndo Utaratibu wangu. Nipe Darasa nionye au Andika. Sitoi hata tsh 100. Unataka pesa omba bila kuntafutia makosa ntakupa. Sitoi na Sipokei Rushwa. Tutashindana kwa hoja kama nmekosea huwa sitaki hata maneno mengi. Nikiona amekaza namwambia tu andika.

Mimi pia ni muhanga wa hili mkuu, jamaa ni wapuuzi sana. Ila binafsi nilishasema sitoi hata jero kwa trafiki, yeye akubali tu kunionya au kuniandikia.
 
miaka zaid ya 15 barabarani!niliwahi kuchorewa mara 2 tuuu hadi leo hii.siri ni kuwa mtulivu na kukubali kosa bila ubishi.hii imenisaidia sana njia zote kujenga mazoea ya kutoa ya ela yaKIWI.huumii sana wala kupata hasara kuwaheshimu hupungukiwi kitu sababu wale pia binadam na frastreni zao!!ukiongea nao kiheshima mbona hata tochi umepigwa wanakuacha tuu kwa msisitizo ufuate sheria na kukupa details tochi zingine zipo wapi
 
... nashukuru kwa majibu mazuri. Proper assessment inafanyika vipi kwa case niliyoielezea? Kama ndivyo, kuna haja gani ya kuweka hiyo mistari badala ya kuwaachia madereva wajifanyie assessment wenyewe?
-Sifa mojawapo ya dereva ni kuona vizuri.
-Mojawapo ya kanuni za kuovertake inasema: overtake kama ni salama.
- Pia unapotaka kuovertake hakikisha umekadiria vizuri spidi ya gari unaloendesha na gari unalotaka kuliovertake.
-Zile dotted lines zinaonekana kwasababu huwekwa sehemu iliyonyooka.

Ukishindwa kuzingatia haya maelezo, usijaribu kuendesha chombo cha moto, tutakupoteza.
 
Kuna suala la udhaifu,ignorance na pia heshima. Traffic anayekusimamisha kwa heshima hata koda atakuelezea kwa heshima pia. Na huyu mimi huwa napoona anadhani sistahili kuachwa lazima nipewe adhabu huwa namwambia tu afanye hivyo atimize majukumu yake ikiwa kweli ntaona nina kosa.

Mimi sina uzoefu mwingi barabarani nmeanza kuendesha mwaka 1997. Gari yangu ya kwanza kuendesha ilikuwa Land Rover 109. Na nlifundishwa kuendeshwa pia kwa hiyo hiyo 109.

Kunapokuwa na madereva wengi mabwege traffic watazidi kujihalalishia udhalimu wanaotenda.hiyo hela ya kiwi ni rushwa na mtu anatoa rushwa anapokuwa anajua hana haki/amekosea. So bado inaonesha haupo makini barabarani.

Nlidhani hujaandikiwa sababu upo makini.ila kumbe ni sababu unawapoza?hapana.na kama una kosa huhitaji kubisha kiri kosa na maamuzi yatolewe.uandikiwe au uachiwe

miaka zaid ya 15 barabarani!niliwahi kuchorewa mara 2 tuuu hadi leo hii.siri ni kuwa mtulivu na kukubali kosa bila ubishi.hii imenisaidia sana njia zote kujenga mazoea ya kutoa ya ela yaKIWI.huumii sana wala kupata hasara kuwaheshimu hupungukiwi kitu sababu wale pia binadam na frastreni zao!!ukiongea nao kiheshima mbona hata tochi umepigwa wanakuacha tuu kwa msisitizo ufuate sheria na kukupa details tochi zingine zipo wapi
 
Mie linanisumbua la taa za kuongozea magari. Hivi nikifika kwenye taa za kuongozea magari na naelekea kushoto,kuna haja ya kusubiri taa ya kijani kama mbele ni salama?
 
Subiri taa ya kijani. Usivuke kabla ya taa yako kukuruhusu hata kama mbele ni kweupe kabisa. Hili zingatia...akikukamata traffic ataku penalize.

Mie linanisumbua la taa za kuongozea magari. Hivi nikifika kwenye taa za kuongozea magari na naelekea kushoto,kuna haja ya kusubiri taa ya kijani kama mbele ni salama?
 
Hapana NIT wanafundisha Dereva usimame unapoona Mtu anakuja uelekeo wa Zebra akiwa mita 50 ni ivyo
NIT wanafundisha kuwa,kwenye zebra unasimama endapo kuna waenda kwa miguu walio tayari kuvuka.Sio mtu anamaongezi na wenzake au anaongea na simu unamlazimisha avuke kisa umemuona eneo la zebra.
Hairuhusiwi kumlazimisha mtu kuvuka iwe kwa kumpigia honi au kumpigia kelele za mdomo.
Kusimami ilimradi umeiona zebra hata kama hakuna anayevuka wakati mwingine inasababisha ajali
endapo mnakuwa kwenye speed na dereva wa nyuma yako hajaweka nafasi inayotakiwa baina yako na yeye.
 
Mita 50 ni nusu ya kiwanja cha mpira wa miguu.... Kama sijakosea. Maana yake kwa zile barabara busy kama kariakoo hutaweza kuondoka kabisa inabidi uzime na gari ulaze seat usubiri waishe kuja kuvuka

Hapana NIT wanafundisha Dereva usimame unapoona Mtu anakuja uelekeo wa Zebra akiwa mita 50 ni ivyo
 
Back
Top Bottom