Mwali Corona ndo kashafika mkaribisheni muhangaike naeWewe ndio unaumwa kabisa,
Kwa nini aliji'quarantine mwenyewe akamuacha huyo dereva teksi? Au wakati anasafiri huko kote hakupata elimu yoyote huo ugonjwa unasambaa vipi?
Kwa sababu huo ugonjwa uko kwingine duniani na sisi tuwe wazembe tu? Akili zako za wapi wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja uugue tukunyonge kwanza wewe!!Atakua ni mama ako ...angebaki uko uko njee
Nashangaa bado yupo hi alitakiwa kunyongwa siku iyo iyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ungewaambia?!Alishindwa nini kuwaambia Uhamiaji kabla ya kuingia nchini kwamba ana wasi wasi na afya yake pale pale uwanjani mpaka akajitenge hotelini
Sent using Jamii Forums mobile app
SijapanikiMbona kama umepaniki, furaha yako ni nini dhidi ya WaTanzania?
Cause she is just a 'victim' not the sourceDada yako nini? Mbona umewaka hivyo?
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
- Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
- Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Mimi nasubiria magereza yafunguliwe ndugu zetu watokeWaiter zungusha ,
NASUBILI VYUO VIKUU VIFUNGWE TU , MAANA NIME POSTPONE KISA KUSHINGWA KUMALIZIA ADA , THEN MWEZI WA 10 NDO VIFUNGULIWE .
Wewe ndo Isabela mwenyewe nini?Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Mi sio Isabela
anajipodoa akiwa mawenzi au bado yu hotelini!?Ndie
anajipodoa akiwa wapi sasa hospitali au!?Uwiiii mwenzetu anaongelea kujipodoa watu matumbo ya kuhara yanatushika huku!🤦🏼♀️
Waiter zungusha ,
NASUBILI VYUO VIKUU VIFUNGWE TU , MAANA NIME POSTPONE KISA KUSHINGWA KUMALIZIA ADA , THEN MWEZI WA 10 NDO VIFUNGULIWE .
Yaani angejua tunavyojisikia huku mtaani asingetamka hayo manenoanajipodoa akiwa wapi sasa hospitali au!?
Hii mikusanyiko inayozungumziwa inaanzia watu wangapi?
Hide hizo namba za simu
serikali iliyopo madarakani ni makini hata usiwe na wasiwasi kila kitu kitakuwa sawaKumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini.
Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono.
Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako abiria hao 2 walikuwa wakienda.
Asubuhi watoto wote 4 wa dereva walielekea mashuleni kwao ambako maisha yaliendelea kama kawaida.
Kwa maelezo ya dereva taxi, wale walioenda kwenye ile shule wameshapatikana kule kwenye shule ya watoto yatima, lakini maisha yalishaendelea kama kawaida.
Hicho ndicho kipimo halisi cha mnyororo wa huu ugonjwa Corona ambao WHO imeuita kuwa ni janga la kimataifa.
Source: BBC Swahili leo.
Kwenu serikali, pasipo na kupepesa maneno hapa "inatakiwa kuwepo mkakati kamili sasa na kwa dharura kweli, si mkakati nusu nusu tena."
At this stage, "we urgently need a total strategy. A partial strategy is not an option anymore."
serikali iliyopo madarakani ni makini hata usiwe na wasiwasi kila kitu kitakuwa sawa