Hapa unamuongelea nani? Maana dereva anafuata sheria kushitaki, hukuona video?Siku hizi jeshini kuna semina nyingi sana kuhusu mambo ya nidhamu ya mitaani na mitandaoni.Kama kaonewa afuate taratibu za kisheria.
Kwa hiyo suluhisho ni kipigo?!!Jeshi la polisi bhana,sio kwamba wamemkamata mtuhumiwa hapana Bali wamemhoji ilikuwaje.wakati mtu yupo hoi.
Dah,nacheka Sana.
Ila inawezekana dereva kaovertake harafu hatua kidogo kaenda kusimama mbele kumchukua abilia.
Saa Kamanda kajiuliza huyu amenipita mshale na fujo juu kumbe anakuja kusimama hapa tu.mamamae ngoja
Nikiwa na safari za kibaha, najitahidi niende mapema kabla muda wa mabasi, au nitoke baada ya mabasi kupita, jamaa wana fujo.Sihalalishi alichofanyiwa dreva Basi
Ila Madreva mabasi sometimes wanakera Sana, wanajifanya wana haraka sn kuliko watumiaji wengn wote wa barabara.
Sometimes Wanachomekea kwa fujo na overtaking zao za kipuuzi sn zisizochukua tahadhali za usalama barabarani.
Ukikaa kizembe kwny usukani, ukawakadiria kwa macho, unastuka mtu huyu Hapa, wanachezesha Basi ghafla, unamkwepa unahama Njia, wanakusababishia ajali afu wao wanalala zao mbele na matusi juu wanatukana.
Sent using JamiiForums mobile app
Wengi wao wako hivyo.Toa uthibitisho kuwa kila dereva wa basi hufanya hivi
over take vs take over wenye hiyo tabia ni mabus au malori yanayochukua muda mrefu kuwa barabarani. Kufanya take over kwa magari ya hospital & ulinzi wa mipaka ya nchi unastahili kichapo kwani unakuwa unahatarisha usalama wa wananchi.Sasa Gari ya jeshi haitakiwi ku overtake? Mbna km hii habari sijaelewa, au kuna linginee??
1. Huyo dereva wa basi atakuwa alizingua (kusababisha ajali).Dereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.
Dereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.
Kwa maana unataka kusema askari hatakiwi kufuata sheria za kiraia? Anatakiwa kufuata sheria zote za jeshi na za kiraia.Sheria ziko za kijeshi na kiraia wewe fafanua
Akiwa kwenye operation za kijeshi hatakiwi kukupa copy anaenda wapi hapo anatakiwa kuzingatia za kijeshi tuKwa maana unataka kusema askari hatakiwi kufuata sheria za kiraia? Anatakiwa kufuata sheria zote za jeshi na za kiraia.
Niliwahi kuzingua pale, nikaambiwa nizime gari, nianze kusuma..Tusikie na Upande wa pili ,si rahisi upigwe vibao kisa ku overtake ingekuwa hivyo Route ya Lugalo watu wangekuwa wanakula vibao daily.
Mkuu hao wanajeshi wa Nyumbu huwajui, kuna mda wanapita upande wa kulia wa barabara na usipowapisha kazi unayo ma hamna wanachowahi cha maana zaidi unakuta anapeleka watu kazin . Infact kimewahi kutumia huo usafiri humo ndani unaweza ukaambiwa usikae na siti zipo wazi kisa tu kuna mwanamke anakuzoea afu kuna mtu mnene amekataliwa na huyo huyo mwanamke.Madereva wa mabasi makubwa baadhi ni washenzi Sana,wanaendesha Kama vile Barabara ni ya kwao peke yao,tungesikia na upande wa pili ilikuaje