mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,412
- 3,419
Wewe sio askari. tuliaYaani nihenye six week ng'aing'ai(jichojicho)then raia tu aikwangue gari yangu?ni mwendo wa ngumi tu.raia ujue kuwa,askari mmoja wa jw ni sawa na polisi 200 sasa wewe jichanganye kutu overtake utaona cha mtema kuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Km unazijua haki zako na unaishi hapa Duniani bila kumsujidia mtu huwezi kusema hivi. Nyie ndiyo mnafanya wanaume wa Dar wanadharaulika. Wapi kuna sheria inayosema usi overtake gari la jeshi au police. Hivi bado Kuna Watanzania ambao bado mna element za kijima za kumuona askari km umekutana na koboko. Badilikeni, nje ya uniform anazovaa akiwa kazini askari yeyote ni raia km wewe ana haki km raia wa kawaida. Ndiyo maana akiibiwa au kupigwa atakwenda police kufungua jalada kinyume na hapo ni kwenda kinyume na sheria za nchi na atashitakiwa km raia wengine.Una overtake Gari la Jeshi je, kama una Bomu la Kuwalipua? Kwani huyo Dereva wa hilo Basi angeenda na Mwendo wao au angewaamba apite ili wamruhusu angepungukiwa na nini?
Vipigo vingine kutoka kwa Wanajeshi huwa mnavitaka na Kuvilazimisha Wenyewe.
Na kwa niwajuavyo Wanajeshi ( Wajeda ) huenda kuna Kauli Mbaya au Ujeuri fulani huyo Dereva aliwatolea na hao Jamaa huwa hawabipiwi na ukiwabipu tu Wao wanakupigia.
Huyo Dereva hayuko ICU ili nikamuone?
Hapana,ndo maana nimeshangaa mpaka MDA ule askar jeshi ajakamatwa.Kwa hiyo suluhisho ni kipigo?!!
Wangempeleka polisi au wangawapigia polisi.Madereva wa mabasi makubwa baadhi ni washenzi Sana,wanaendesha Kama vile Barabara ni ya kwao peke yao,tungesikia na upande wa pili ilikuaje
Wameanza tena kupiga raia eeh, ingekuwa enzi za CDF flani hivi kijana hana kazi ni hivi tu sasahivi jeshi limekuwa kama shamba la bibi hakuna nidhamu hakuna nini kila mtu anajiendea tu anavyotaka, mimi ningezaa naye hata kama mwanajeshi maaneener zake
Kosa ni ku mu over take or Kuna lingine mkuu
Mkuu kwani haiwezekani kulipua kwa nyuma?Una overtake Gari la Jeshi je, kama una Bomu la Kuwalipua? Kwani huyo Dereva wa hilo Basi angeenda na Mwendo wao au angewaamba apite ili wamruhusu angepungukiwa na nini?
Vipigo vingine kutoka kwa Wanajeshi huwa mnavitaka na Kuvilazimisha Wenyewe.
Na kwa niwajuavyo Wanajeshi ( Wajeda ) huenda kuna Kauli Mbaya au Ujeuri fulani huyo Dereva aliwatolea na hao Jamaa huwa hawabipiwi na ukiwabipu tu Wao wanakupigia.
Huyo Dereva hayuko ICU ili nikamuone?
Akili yako inawaza ngono tu hapo hakuna kingine. Sitaweza kuelekezana na mtu anaewaza ngono tu kuwa ndo kitu watu wanachofanya kila saa. Kwa heri.Akiwa kwenye operation za kijeshi hatakiwi kukupa copy anaenda wapi hapo anatakiwa kuzingatia za kijeshi tu
Ni vyema kupisha gari za jeshi lolote ziwe JWTZ, polisi,magereza nk hujui kulikoni hata magereza waweza kuwa wanakimbiza gaini kulipekleka mahakamani au lupango wapishe bila wanajeshi huwezi ishi kwa amani wakati wewe uwe mwanaume au mwanamke mnafanyana na mke au mume kitandani kwa raha zenu wao hawalali kuhakikisha mko salana mnaendelea kufanyana kwa raha zenui bika adui kuvamia nchi au eneo
Mnapofanyana kwa raha zenu wako lindo. Hivyo wape heshima zao ukiona wako mbele au nyuma na magari yao wapishe
Visheria vyako vya barabarani wakiwa kwenye magari official ya jeshi shika adabu yako usilete ujuaji watakuua mchana kweupe na huna kwa kuwapekeka
Huo muda haupo.Hawa jamaa huwa wanajiona wapo juu ya Sheria, kama mtu amefanya kosa la usalama barabarani si achukuliwe hatua kwa mujibu wa Sheria za Nchi?
Yaani wewe ningekuporomoshea matusi ya nguoniAkili yako inawaza ngono tu hapo hakuna kingine. Sitaweza kuelekezana na mtu anaewaza ngono tu kuwa ndo kitu watu wanachofanya kila saa. Kwa heri.
Teh teh teh. Acha mikwara hiyo, sasa matusi mimi yatanifanyaje yatanitoboa au kunivunja? Nahisi unasumbuliwa na PMDD wewe wahi hospital ukapate dawa.Yaani wewe ningekuporomoshea matusi ya nguoni
Wewe ukilala unautwanfa usingizi unajua kuna wanajeshi majeshi yote wako shifti hawalali ili wewe ukorone usingizi mnono huku ukishika baby wako nkikia mintage vitandani mwenu hopeless wewe.
Jinga kabisa wewe Ukiona gari yeyote ya jeshi lolote pisha ukiwa na hicho kigRi chako kilichookotwa majalalani japani au ulaya ukauziwa kama used car
Mungu nisaidie mimi kiumbe dhaifu nisikuporomoshee matusi ya nguoni wewe
We unazani kila mwanajeshi akiamua kujichukulia sheria mkononi kama alivyofanya huyo nchi itakuwaje msipende kusifia ujinga1. Huyo dereva wa basi atakuwa alizingua (kusababisha ajali).
2. Kwanini iwe dereva wa Saratoga na sio wengine?
3. Wana fujo sana barabarani madereva wa mabasi.
4. Kuna mtu asiyejua fujo za madereva wa mabasi barabarani.
5. Kwanini tutetee hao wapuzi kupata mkong'oto toka kwa wanajeshi kwa rafu zao barabarani?
My take:
Sitetei wajeda kwa walilolifanya, ila mara nyingine tuwapongeze kuwa-discipline wapuzi kama hao madereva.
Wanakera sana hao na mipuuzi sana hao ndugu zetu madereva. Tutii sheria bila shuruti na hao wajeda hawatapiga mtu.
Oooh hapo sawaahSahihi
Mwanajeshi muda wote huwa kwenye operation hujui wanaenda wapi
Wakitaka u overtake huwa hawana shida anakuwashia taa ya indicator ile ya kuonyesha anaenda kushoto kukuruhusu u overtake
Nimeshakutana nao wakiwa kwenye msafara wa kusafirisha silaha kwenye convoy ukiwa unaenda taratibu nyuma kukiwa na land-rover full zimejaa Askari wa jeshi na Military police walikuwa wakifika sehemu imenyooka wanaruhusu magari ya overtake msafara bila shida
Kwa madereva mlioletewa leseni nyumbani kwa kuhonga
angalia indicator akiwasha ya kuonyesha kama anaenda kushoto overtake usipoona usithubutu
Akiwasha indicator ya kulia pia usithubutu usije sema ohh mbona hakati kulia huyu bwege wakati kawasha indicator ya kulia. Hujui kilicho mbele .Taa akiwasha indicator kulia ni kukutahadharisha kuwa huko mbele hakuko salama wewe hukuoni mimi nakuona usiaje ujuaji wa ohhh mbona haendi huko kulia.Ukijitia ujuaji ndio wale Hugongana uso kwa uso na gari akiwa ana overtake na hata akifa madereva wazoefu wanamuona bwege tu aliyekufa kibwege
Asilimia kubwa za ajali hutokana na madereva wanao overtake wakati mbele hawaoni vizuri
Ila wanajeshi wana hulka ya kupiga mnoo, sijui hata nisemeje ila bas tyuhh aaaahKambini ni eneo la jeshi raia ulienda kufuata nini ike sio sehemu ya kwenda kupiga picha za selfie na hawara zako
Tena hao walikuhurumia nadhani uliingia kambi ambayo wababe walikuwa wameenda kulewa officers mess
Mbna povuu sanaa wee mzee, au huna gari wee? Maana sio kwa omo hii khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kukiwacna vita au operation sheria zinasimama
Ukiona hata defender ya polisi inapiga honi au kuwasha taa au wana bendera nyekundu kaa mbali wakikuua sababu unawazuia kwa ku wa block na kigari chako mtumba toka Japan used cha mkopo huwezi washitaki popote sana sana wewe ndio utakuwq shidani tuchukulie pengine umebaki hai hawajakuua
Wanajeshi wanawahi kuua gaidi huko wewe na kigari chako mtumba used unaleta za kuleta barabarani gari ya kijeshi isipite eti waiting sheria za barabarani hujui hata traffic wenyewe huwa wanazuia magari mengine gari za jeshi zipite wewebnsni na hicho kimtumba chako cha kigari chako kimeokotwa kwenye majalala Japan ukauziwa wewe eti used
Pisha wanajeshi wapite au msafara wa viongozi wa juu upite