Dereva wa Dangote auawa na Polisi Lindi

Bora niamini Mimi sio binadamu kuliko kuwaamini polisi. Waseme sasi amepigwa sehemu gani tuanzr kichunguza. Hii mada inanikumbusha muvi ya kiusilamu, pale Yusuph alipobambikiwa kesi ya kumbaka mke wa mfalme na wakati mke die aliyetaka kumbaka Nabii wa Mungu
 
Nawajua polisiccm unadhani kwanini HAMZA Watanzania wengi walimuona ni shujaa? Unadhani kwanini polisiccm wanachukiwa sana na Watanzania wengi?
Utafiti wako ulifanyia wapi wa kuwa watanzania wengi walimuona Hamza shujaa?? Weka data hadharani mkuu
 
Uchunguzi usipofanyika na yasipojulikana au ukifanyika na bado yasijulikane je?
 
KAMA sio kweli?
 
Kuamini hili jambo linataka uwe na akili sijui za wapi, labda uazime fisiemu. Japo inawezekana kuwa kweli lakini mhuuu
 
We jamaa bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani we ulikuwepo eneo la tukio?
Yaani jamaa alishuka na kisu kwenda kuwanyanganya salaha police [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi sawa
 

Wakamchapa ganzi[emoji1787][emoji1787]
 
Polisi wanapenda sana kitu kidogo, nachokiona polisi wamemfanyia faulo huyo dereva!! Unatakiwa uchunguzi huru ufanyike!! Dhuluma no nyingi sana
 
Kutaka kumnyang’anya polisiccm silaha ni uongo wa hao jamaa ambao ni waongo WALIOKUBUHU.
Hata Hamza angepigwa risasi kabla hajafanya aliyoyafanya mngesema polisi ni waongo waliokubuhu.

Sometimes jipe muda wa kulitafakari jambo kabla hujaropoka, ukishakuwa na vielelezo unaweza kuja kutoa maoni yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…