Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Na unakuta mkewe na yeye wote ni member wa jamii forum hapo sasa ngoma inanoga zaidi.akifika nyumbani anakutana na kesi ya kujibu kwa mkewe
Dhamana ni haki ya mtuhumiwa usitake sheria ivunjwe kwaajili ya mihemkoWapuuzi ndio wanapataga Kila Huruma na kuonekana walicho Kifanya nichakawaida .
Huyu Hakustahili hata dhamana kabisa
Hapana wa mamako, choko wahedi.Utumbo wa Babaako
Hahaha.......ile sheria iliyobadilishwa😅😅Yaani ni Mtumishi wa Umma ? Dunia imekwisha.
DuuhAtasingizia yuko kazini.....TRA ni task force tu huyo kitengo......mbona anajulikana......kesi ikiisha task force bye bye.........serengeti kunamhusu......hata kama ni best na Waziri....Katibu wa Mama
Tatizo mnakuwa na Uvccm na visuti vyao vya mchongo wanajifanya Tiss.Hawa vijana wa TISS wapuuzi sana wote ninao wafahamu nkipiga nao story huwa wanajiona miungu watu wako juu ya sheria na njaa zao, tuna safari ndefu sana
İle video ya yule boss iliyovujishwa na askari uliiona?Yaani ni Mtumishi wa Umma ? Dunia imekwisha.
Duuhhhhhhh.baada ya mshtakiwa kusomewa mashtaka hayo alikana makosa
Huyo ni Mungu mume....mkewe angekuwa na uthubutu wa kumuuliza alipo asingekesha club...akifika nyumbani anakutana na kesi ya kujibu kwa mkewe
Tanzania yetu bado ipo kwenye ujima,baadhi ya watu wapo juu ya sheria ikiwa hata nchi jirani tu washatoka kwenye ujima huo,yule jamaa ukiangalia mwenendo ulivyo hamna mwenye uwezo wa kumfukuza,sana atabadilishwa kituo,angalia matamko yaliyotoka huko juu baada ya tukio la jamaa na tukio ya yule dada aliempiga mwanae mbeziKwa maadili ya utumishi wa umma, alipaswa kunyang'anywa silaha na kupigwa marufuku kutotumia tena silaha, lakini kama ni mtumishi anapaswa kufukuzwa kazi na kulipwa haki kwa kosa la kukiuka maadili na kushindwa kuishi vyema na jamii akiwa mtumishi wa umma.
Kama ni usalama, ndio kabisaa, anapaswa kufukuzwa kazi kabisa bila discussion, Hawaii kuhudumu kitengo kwa tabia hiyo ya kuvimbisha shingo.
Labda alimdanganya yupo night duty,wengine kutokana na majukumu yao kikazi kuwepo nje ya nyumbani mida ya usiku ni kawaidaHuyo ni Mungu mume....mkewe angekuwa na uthubutu wa kumuuliza alipo asingekesha club...
Nidhamu hana na wala haeshimu ndoa yake....baba jinga
Mahakama ya Wahuni inamfaa sana huyu Juniour, na atakutana nayo tu labda awe sio wa kujichanganya viwanjaAnyway aje kitaa kuna mahakama ya wahuni aadhibiwe na jaji mhuni, hatumuachi salama
Mtu yuko TRA unategemea nini? Huyo mtu ni hatari bado anapewa dhamana.Tuseme ndo imeisha hvyo au..
Hata mimi nimeshangaa.Kwa sababu,mtumishi wa umma hapaswi kununa,kukasirika wala kuhamaki kwa lolote lile.Hata achokozwe,apigwe,atwezwe,avunjwe kiungo hata akikaribia kufa awe mtulivu kabisa.Huyo sijui alipatwa na nini!Watumishi hupandikizwa mioyo ya chuma.🤔Yaani ni Mtumishi wa Umma ? Dunia imekwisha.