Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Utafikiri ninyi ni watakatifu, mnapenda kufurahi matajiri wakipata kashkash ili muuhusishe utajiri wao na shetani sijui freemason.

Acheni hizo mbanga, kuna watu wanapenda kula vitoto vidogo, wao starehe yao ni kupiga miti vitoto huyu akidakwa mtamsingiia ndu yenu shetani, wengine ndo hao wafukua mitaro, shetani anapata kesi kwa upumbavu wa mtu binafsi.
Ni kweli kabisa, kuna watu wanafuata mkumbo tu na kujifanya wema sana au nchi ina watu wazuri
Tunaona kesi nyumbani zaidi ya huyu
Babu amlawiti mjukuu baada ya kujulikana ajiuwa, bongo
Baba mzazi ambaka mtoto wake wa miezi 6 mpaka kufa- Bongo
Na hao freemasonry?
Kila mahali kuna washenzi kweli boss ila waswahili kwa kuhukumu tuko juu
Angalia jamaa aliefia kwenye Range
Comments utafikiri wote ni police very strange
P.diddy atahukumiwa kwa makosa yake na mengi tutasikia pia
 
Ina maana hao freemasons mwisho wao sio mbaya!!?

Fafanua!
Wakati member mpya wa Freemason anafanyiwa initiation, anaambiwa mambo yafuatayo.

Kwanza, anaapishwa kutunza siri na mambo yote nyeti ya taasisi, kiapo hicho hufanyika akiwa kifua wazi, then grand Master anachukua bikari yenye ncha kali, pia anaweza kutumia upanga, anamchoma nayo muhusika upande wa kushoto, juu ya kiini cha ziwa au kufua, then anamuuliza unasikia nini?

Muhusika anajibu, nasikia maumivu, anamchoma tena mpaka ifike mara tatu, then anamwambia siku ukitoa siri utapata maumivu makali zaidi ya hayo, yani moyo wake utatolewa live akiwa anaona.

Pili, wakati muhusika anachukua kiapo, anaweka mkono wake wa kulia upande wa kifuani mwake ( kama ambavyo watu hufanya wakiimba wimbo wa taifa) then anaapa kwamba atatunza siri sawa na kutunza moyo wake.

freemason-initiation-D86MJG.jpg
 
Wakati member mpya wa Freemason anafanyiwa initiation, anaambiwa mambo yafuatayo.

Kwanza, anaapishwa kutunza siri na mambo yote nyeti ya taasisi, kiapo hicho hufanyika akiwa kifua wazi, then grand Master anachukua bikari yenye ncha kali, anamchoma nayo muhusika upande wa kushoto, juu ya kiini cha ziwa au kufua, then anamuuliza unasikia nini?

Muhusika anajibu, nasikia maumivu, anamchoma tena mpaka ifike mara tatu, then anamwambia siku ukitoa siri utapata maumivu makali zaidi ya hayo, yani moyo wake utatolewa live akiwa anaona.

Pili, wakati muhusika anachukua kiapo, anaweka mkono wake wa kulia upande wa kifuani mwake ( kama ambavyo watu hufanya wakiimba wimbo wa taifa) then anaapa kwamba atatunza siri sawa na kutunza moyo wake.
Ulijuaje haya yote. Ulishakuwa member wao?
 
Ni kweli kabisa, kuna watu wanafuata mkumbo tu na kujifanya wema sana au nchi ina watu wazuri
Tunaona kesi nyumbani zaidi ya huyu
Babu amlawiti mjukuu baada ya kujulikana ajiuwa, bongo
Baba mzazi ambaka mtoto wake wa miezi 6 mpaka kufa- Bongo
Na hao freemasonry?
Kila mahali kuna washenzi kweli boss ila waswahili kwa kuhukumu tuko juu
Angalia jamaa aliefia kwenye Range
Comments utafikiri wote ni police very strange
P.diddy atahukumiwa kwa makosa yake na mengi tutasikia pia
Ngozi nyeusi wanapenda wakiona tajiri anateseka hata iwe kwa kesi ya kubumba wanafurahi mno.

Watamuita mwizi, fisadi, mchawi, freemason na sifa zote mbayambaya ndio mioyo yao itulie.

Angalia wao mambo yao na nyuzi zao humu uone uchafu wanaoshadadia daily.
Gwajiboy miuno anasema "ni wivu tu".
 
Huyo ni Mzee, 50's yrs ni Mzee tayari...akipigwa kadhaa basi atakuwa kikongwe, mwanzo siku zote una mwisho hivyo lazima uwe na roho safi Ili basi mwishoni umalize vizuri, jua kwamba Kila kitu kina gharama tena kubwa ya kulipa, tatizo linakuja tunachukulia baadhi ya maamuzi kiupesi sana Kwa kudhani kwamba Kuna mfumo au mtu au watu Fulani watanilinda, unachoshindwa kujua ni kwamba utakuja kubaki peke yako ukiwa unataabika au ushachafuka au ushatupwa...choose wisely.
 
Ulijiridhisha vipi kama ni kweli alikuwa ni member wao

Hao ni watu wanajitungia story kujipatia fedha. Umesema
ni siri yeye amewezaje kutoa siri hiyo akabaki salama mpaka
akaandika na kitabu.
Hiyo sio siri mkuu, zipo siri ambazo hata member Wengine hawazijui.

Freemason (Scottish rite/Blue lodge) Ina madaraja au degree 33°

Asilimia 80% ya members wote wanaishia kwenye degree ya tatu (3), kupanda degree za juu zaidi kuna vigezo vyake, na kadri unavyo upgrade ndyo unazidi kujua siri nyingi na kubwa.

Freemasonry is a secret within a secret

Muda ni mchache siwezi kuandika mambo yote hapa, ila hii ni mada pana sana.
 
Hiyo sio siri mkuu, zipo siri ambazo hata member Wengine hawazijui.

Freemason (Scottish rite) Ina madaraja au degree 33°

Asilimia 80% ya members wote wanaishia kwenye degree ya tatu (3), kupanda degree za juu zaidi kuna vigezo vyake, na kadri unavyo upgrade ndyo unazidi kujua siri nyingi na kubwa.

Freemasonry is a secret within a secret

Muda ni mchache siwezi kuandika mambo yote hapa, ila hii ni mada pana sana.
kwendraaaaa Huko ......
 
Wakati member mpya wa Freemason anafanyiwa initiation, anaambiwa mambo yafuatayo.

Kwanza, anaapishwa kutunza siri na mambo yote nyeti ya taasisi, kiapo hicho hufanyika akiwa kifua wazi, then grand Master anachukua bikari yenye ncha kali, pia anaweza kutumia upanga, anamchoma nayo muhusika upande wa kushoto, juu ya kiini cha ziwa au kufua, then anamuuliza unasikia nini?

Muhusika anajibu, nasikia maumivu, anamchoma tena mpaka ifike mara tatu, then anamwambia siku ukitoa siri utapata maumivu makali zaidi ya hayo, yani moyo wake utatolewa live akiwa anaona.

Pili, wakati muhusika anachukua kiapo, anaweka mkono wake wa kulia upande wa kifuani mwake ( kama ambavyo watu hufanya wakiimba wimbo wa taifa) then anaapa kwamba atatunza siri sawa na kutunza moyo wake.

View attachment 3106668
Aiseh!inatisha sana!
 
Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.

Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.

Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .

Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .

Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Sawa mkuu sasa kujielimisha zaidi kuhusu hilo nenda TISH TV youtube kuna clip ya celebs anamuongelea msanii maarufu wa TZ mwenye jina la kwanza D La pili P. Huyu TISH TV ni wa Uganda, na pia kaongeza huyo msaniivwa TZ ni shemeji yetu.
 
Ngozi nyeusi wanapenda wakiona tajiri anateseka hata iwe kwa kesi ya kubumba wanafurahi mno.

Watamuita mwizi, fisadi, mchawi, freemason na sifa zote mbayambaya ndio mioyo yao itulie.

Angalia wao mambo yao na nyuzi zao humu uone uchafu wanaoshadadia daily.
Gwajiboy miuno anasema "ni wivu tu".
Umasikini ni LAANA Boss
 
Hata mimi nilikuwa sielewi jitu lina mapesa mengi badala ya kipiga mademu yy An.afira wanaume wenzie lazma kuna ushetani hapo.
Kwa hiyo kapewa utajiri kwa shariti la kutogonga K na agonge tigo za wanaume wenzie!? Mashariti ya hovyo sana hayo,maana kila mwanaume anatafuta pesa kwa nguvu ili agonge K ya kila aina,na ndiyo rahaa ya uwanaume!!
 
Back
Top Bottom