Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Kwanini tunawachafua sana devil worshippers!? Kwahiyo ufilaji ni wao! Wezi ni wao? Ulawiti ni wao? Kila kitu kibaya ni wao?! Kwani hakuna watu wanaomuabudu Mungu na wanafanya ujinga?! Diddy sio devil worshipper acheni hizo
 
Wakati member mpya wa Freemason anafanyiwa initiation, anaambiwa mambo yafuatayo.

Kwanza, anaapishwa kutunza siri na mambo yote nyeti ya taasisi, kiapo hicho hufanyika akiwa kifua wazi, then grand Master anachukua bikari yenye ncha kali, pia anaweza kutumia upanga, anamchoma nayo muhusika upande wa kushoto, juu ya kiini cha ziwa au kufua, then anamuuliza unasikia nini?

Muhusika anajibu, nasikia maumivu, anamchoma tena mpaka ifike mara tatu, then anamwambia siku ukitoa siri utapata maumivu makali zaidi ya hayo, yani moyo wake utatolewa live akiwa anaona.

Pili, wakati muhusika anachukua kiapo, anaweka mkono wake wa kulia upande wa kifuani mwake ( kama ambavyo watu hufanya wakiimba wimbo wa taifa) then anaapa kwamba atatunza siri sawa na kutunza moyo wake.

View attachment 3106668
Hii si tayari ni siri. Je alieitoa alitolewa moyo mkavu. Wewe imefikaje kwako ?
 
Hii si tayari ni siri. Je alieitoa alitolewa moyo mkavu. Wewe imefikaje kwako ?
Hiyo sio siri, kuliko kuuliza jambo hili limefikaje kwangu, ni vyema ukafanya tafiti mwenyewe kama kweli una nia ya kujua haya mambo.
 
M
Kwanini tunawachafua sana devil worshippers!? Kwahiyo ufilaji ni wao! Wezi ni wao? Ulawiti ni wao? Kila kitu kibaya ni wao?! Kwani hakuna watu wanaomuabudu Mungu na wanafanya ujinga?! Diddy sio devil worshipper acheni hizo
Mafwele yupo kundi gani ?
 
Hiyo sio siri, kuliko kuuliza jambo hili limefikaje kwangu, ni vyema ukafanya tafiti mwenyewe kama kweli una nia ya kujua haya mambo.
Haya mambo yalizuka sana kipindi cha awamu ya kikwete na ilikuwa kiki ya watu wa dini kujipigia hela.kipindi kile kulikuwa na list ya freemason, hata kikwete alitajwa.
Ulikuwa ni ujinga na utapeli.
Hili sakata kuna watakaotapeliwa na kuliwa makalio wakidhani watalipwa hizo pesa.
Hii story ni ya kitapeli.
 
Haya mambo yalizuka sana kipindi cha awamu ya kikwete na ilikuwa kiki ya watu wa dini kujipigia hela.kipindi kile kulikuwa na list ya freemason, hata kikwete alitajwa.
Ulikuwa ni ujinga na utapeli.
Hili sakata kuna watakaotapeliwa na kuliwa makalio wakidhani watalipwa hizo pesa.
Hii story ni ya kitapeli.
Duh, Sawa Mr Tanganyika, ni kweli matapeli wapo, na watu wanaliwa kila siku.
 
Back
Top Bottom