Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Kwani shetani mwenyewe anasemaje?
Sijawahi msikia akijitetea
Ni kwa sababu shetani hayupo.

Kila siku nasema hapa Shetani hayupo na Mungu hayupo.

Shetani ni kichaka kinacho tumiwa na watu kusingiziwa ili kuhalalisha matendo maovu ya kibinadamu.
Kauli kama shetani alinipitia, shetani alinishawishi zinatumika na watu wengi kukwepa makosa yao ya kibinadamu.

Mungu ni kichaka kinacho tumiwa na watu kukwepa uwajibikaji na majukumu ya kibinadamu. Kauli kama Mungu atatenda, Mungu asaidie, Mungu akipanga ni mfano halisi wa hicho ninacho kwambia.
 
Sio rahisi kama unavyofikiri.

Na sio kanisa tu bali dini zote duniani wataharibu kila kitu kuanzia historia ya hiyo dini ,na madhaifu mengi ya kutengeneza yatafanyika ili kudhoofisha Imani za waumini wa dini husika .

Kisha ndipo wataleta dini yao mpya , serikali moja duniani kote, pesa zitakuwa za electronic ,hutohudumiwa chochote bila ya kuwa na nembo yao, na hilo waliianza tangu kipindi cha corona.
Katika fasihi simulizi kuna hadithi zinaitwa Vigano.

Ndio hii uliyoandika hapa.
 
Unakumbuka ile movie ya Apocalypto? Kuna kipande kinaonesha mtu anatolewa moyo then unaliwa hadharani.

Ule ni mfano wa hayo, wanapenda kuonesha mambo yao kupitia movies.
Acha uongo ile movie ilikua ina depict maisha ya zaman ya jamii zilizokua zinaishi amazon red indian haina uhusiano wowote na freemason
 
Ni kwa sababu shetani hayupo.

Kila siku nasema hapa Shetani hayupo na Mungu hayupo.

Shetani ni kichaka kinacho tumiwa na watu kusingiziwa ili kuhalalisha matendo maovu ya kibinadamu.
Kauli kama shetani alinipitia, shetani alinishawishi zinatumika na watu wengi kukwepa makosa yao ya kibinadamu.

Mungu ni kichaka kinacho tumiwa na watu kukwepa uwajibikaji na majukumu ya kibinadamu. Kauli kama Mungu atatenda, Mungu asaidie, Mungu akipanga ni mfano halisi wa hicho ninacho kwambia.
Sawa Mungu hayupo.

Tuambie asili yako ni nini?
 
Ni kwa sababu shetani hayupo.

Kila siku nasema hapa Shetani hayupo na Mungu hayupo.

Shetani ni kichaka kinacho tumiwa na watu kusingiziwa ili kuhalalisha matendo maovu ya kibinadamu.
Kauli kama shetani alinipitia, shetani alinishawishi zinatumika na watu wengi kukwepa makosa yao ya kibinadamu.

Mungu ni kichaka kinacho tumiwa na watu kukwepa uwajibikaji na majukumu ya kibinadamu. Kauli kama Mungu atatenda, Mungu asaidie, Mungu akipanga ni mfano halisi wa hicho ninacho kwambia.
Foolish
 
Hii inafikirisha sana.
Hatar noma sana.
Kuna gatekeeper pengine huyu ndiye aliye mfundisha Diddy nakumfikisha hapo alipo anaitwa Clive Davis.
Huyu jamaa ni pimp
Kwanamna moja au nyingine ndio alimpimp diddy kupata mafanikio makubwa kwenye biashara ya muziki na kumpa connection za evil jews wanaomiliki music industry.

Sikumbuki ni nani
Sina hakika nadhani atakuwa The Game kweny interview na dj vlad alipoulizwa kuhusu homosexyuality kweny hip hop. akajibu music industry inamilikiwa na Gay Mafia.

Kuna mwamba mmoja anaitwa Daylyt aliwahi kucomment kitambo sana kuhusu diddy.
Jaguar wright huwa anaongea ukweli sema ndio hivyo watu hawamchukulii serious.
 
Sio rahisi kama unavyofikiri.

Na sio kanisa tu bali dini zote duniani wataharibu kila kitu kuanzia historia ya hiyo dini ,na madhaifu mengi ya kutengeneza yatafanyika ili kudhoofisha Imani za waumini wa dini husika .

Kisha ndipo wataleta dini yao mpya , serikali moja duniani kote, pesa zitakuwa za electronic ,hutohudumiwa chochote bila ya kuwa na nembo yao, na hilo waliianza tangu kipindi cha corona.
Hii ni baad au after unyakuo?
Bdo unanichngnya unaposema sio rahisi kuchukuliwa km umeme
 
Naaam kama uliona series ya gangs of London Kuna watu wana control mfumo wakikuchoka wanakuchoma ndio yanayo mkuta Ali msomali Didi Cc Carleen Mr Q rip faza_nelly Scars
Wale Investors 😅
Sasa kuna ile inaitwa THE FURY ya wafaransa ina mpaka secret society ambayo inahusika na kuhit viongozi wakuu wa nchi ila hawalipwi hela wanalipwa chochote wanacho demand kama wakisema wana hit kiongozi wanataka walipwe Mbuga ya Serengeti huna cha kusema na hawataji demand yao hapo kwa hapo wanakuja kukupa next time!
Na kwenye kila biashara kuna mwendesha mfumo ukitaka kufanya hio biashara lazima upite kwa mwendesha mfumo 😅
Ila haya maisha
 
Wamemuonea tu DIDY hana kosa lolote we mtu unaenda mwenyewe katika nyumba yake anakuita hadi chumbani unaenda tu halafu unakuja kulalamika umebakwa inawezekana vipi aya mwanaume mzima uliekamilika una pakwa mafuta lazima utakuwa umezoea hiyo michezo
Binafsi mimi sioini kama Puff Dady anashida wanamuonea bure so sad
 
Acha uongo ile movie ilikua ina depict maisha ya zaman ya jamii zilizokua zinaishi amazon red indian haina uhusiano wowote na freemason
Hawa wanapachika maelezo yao uchwara kwenye movies za watu.

Wala hata hawaelewi Freemason ni nini.

Kuna uzi wa Maxence melo upo humu JF una elezea vizuri kabisa kuhusu Freemason.
 
Back
Top Bottom