Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Pia mkuu naomba nikuulize swali, MUNGU ana riziki ya kila mtu sio?, fikiria kijana hana ajira,.maisha magumu, ila izo business idea ambyo inafika kimataifa na asipoifanya atajikuta anakuw masikin wa kutupwa, na kukosa hata mahitaji ya msingi na rejea huko juu kuwa mfumo wa kimataifa wapo hao illuminate, tuseme kwa kijana au vijana ,sasa nini kijana atafanya hapa ili aishi?
Ni kweli Mungu amegawa riziki kwa kila mtu na kwa kipimo chake, lakini utajiri una siri nyingi, Na utajiri wa kweli Mungu ndyo anatoa, so kijana akiwa na tamaa na akitaka kufika level za juu lazima atavuka mipaka ya Mungu. Na mwisho ndyo atakutana na hao watu wa shetani.
 
Ni kweli Mungu amegawa riziki kwa kila mtu na kwa kipimo chake, lakini utajiri una siri nyingi, Na utajiri wa kweli Mungu ndyo anatoa, so kijana akiwa na tamaa na akitaka kufika level za juu lazima atavuka mipaka ya Mungu. Na mwisho ndyo atakutana na hao watu wa shetani.
Hapa bongo kuna matajiri unaamini wanatumia wa halali na wametumia nguvu za MUNGU?

OKAY ikiwa kijna ni ndoto zake na ni kitu anaona itampa ugali afanyeje ili asije akanaswa na katika hayo ambo ya kishetani, na awe upande MUNGU?
 
Kuchukuliwa kwa kanisa= wateule wa MUNGU, then mpinga kristo anachukua nafasi kwakua hakutakuwa na kuuza wala kununua bila ya kuwa na chapa hio, matajiri,masikini, watoto kwa wakubwa watalazimishwa kupigwa. 👈 nilisoma kwnye biblia.
Mkuu, Tayari kanisa limeanza kuchukuliwa, kilicho baki ni ujio wa serikali tu.
 
OKAY ikiwa kijna ni ndoto zake na ni kitu anaona itampa ugali afanyeje ili asije akanaswa na katika hayo ambo ya kishetani, na awe upande MUNGU?
Kijana ana imani yake, na anapaswa kufuata misingi na maelekezo ya Mungu wake, naamini kilakitu Mungu ameeleza katika vitabu vyake, hivyo ni jukumu la kijana huyo kuelewa na kujua mipaka ya Mungu wake.

Akijua hayo hawezi kuzama au kurubuniwa na nguvu za shetani.
 
Nanyi ni walewale tu mnao wafanyia watoto,wake na ndugu zenu nizaidi ya ufirauni wa Diddy sema kungekuwa na kamera za siri majumbani na vyumbani kwenu ingekuwa poa
 
Mkuu, Tayari kanisa limeanza kuchukuliwa, kilicho baki ni ujio wa serikali tu.
Mhm mkuu kwamba ni slow slow au? Sio kama umeme?
Sasa mzee we zamu yako bado au bado ni mdhambi?
Au waliobaki mi wadhambi wote?
Au unawajua baadhi ya watakatifu wa karibu waliochukuliwa?
Na kuna maiti zimshanyakuliwa ? Au na zenyewe ni slow slow? Mana wale watawahi?
 
Nasikia didy kaiyambia serikali ikimshtaki tu anavujisha picha na video akiwapaka futa viongozi wakubwa nyumba yake yote inakamera Yani kasema ni ubaya ubwela mwaga mboga nimwage ugali
 
Mhm mkuu kwamba ni slow slow au? Sio kama umeme?
Sasa mzee we zamu yako bado au bado ni mdhambi?
Au waliobaki mi wadhambi wote?
Au unawajua baadhi ya watakatifu wa karibu waliochukuliwa?
Na kuna maiti zimshanyakuliwa ? Au na zenyewe ni slow slow? Mana wale watawahi?
Mkuu, haya mambo yanaenda kwa stage after stage, si ajabu hata mimi na wewe tunaweza kuwa hatupo Duniani wakati yakitimia...
 
Mhm mkuu kwamba ni slow slow au? Sio kama umeme?
Sasa mzee we zamu yako bado au bado ni mdhambi?
Au waliobaki mi wadhambi wote?
Au unawajua baadhi ya watakatifu wa karibu waliochukuliwa?
Na kuna maiti zimshanyakuliwa ? Au na zenyewe ni slow slow? Mana wale watawahi?
Mkuu tumalizie huu mjadala, kama upo interested na haya mambo, naweza nikakupa vitabu ukasoma zaidi, maana ni vyema ujifunze kwa akili yako binafsi ili upate Knowledge maradufu.
 
Mkuu, haya mambo yanaenda kwa stage after stage, si ajabu hata mimi na wewe tunaweza kuwa hatupo Duniani wakati yakitimia...
Mkuu sijaelewa kwamba kuchukuliwa kwa kanisa inaweza kuwa ni process ndefu hata tukafika uzeeni miaka 80 bdo ni process tu?

Mbn.mim najua ni paap kama umeme?
 
Hizi stories za abunuasi sijui huwa mnazitoa wap
 
Hizi stories za abunuasi sijui huwa mnazitoa wap
Yaani, toka dunia imeubwa tunasikia stories nyingi na nyingi ni za uongo. Watu wanajidai wanajua dini lakini wanasimulia vitu ambayo hawana uhakika navyo.
 
Yaani, toka dunia imeubwa tunasikia stories nyingi na nyingi ni za uongo. Watu wanajidai wanajua dini lakini wanasimulia vitu ambayo hawana uhakika navyo.
Yani zinashangaza kwa kweli🤔
 
Hiyo sio siri mkuu, zipo siri ambazo hata member Wengine hawazijui.

Freemason (Scottish rite/Blue lodge) Ina madaraja au degree 33°

Asilimia 80% ya members wote wanaishia kwenye degree ya tatu (3), kupanda degree za juu zaidi kuna vigezo vyake, na kadri unavyo upgrade ndyo unazidi kujua siri nyingi na kubwa.

Freemasonry is a secret within a secret

Muda ni mchache siwezi kuandika mambo yote hapa, ila hii ni mada pana sana.
Vipi my favorite artist JCOLE yumo kwenye hiyo list ya hao jamaa?
 
Back
Top Bottom