Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Devil worshippers wanapitia magumu sana huenda P Didy ni mmoja wapo, na huwa wana mwisho mbaya sana

Jamii tofauti.

Freemasons ni upande wenye lengo la kufanikisha New - world government

Satanism ni upande wenye lengo la kupoteza maadili ya jamii - mfano hollywood na music industries
Wewe umeshaambiwa wote ni jamii moja, sasa usichoelewa ni nini? Hivi unaweza kufanikisha New - world government pasipo kupoteza maadili ya jamii.
 
Wewe umeshaambiwa wote ni jamii moja, sasa usichoelewa ni nini? Hivi unaweza kufanikisha New - world government pasipo kupoteza maadili ya jamii.
Ni jamii tofauti, kasome historia zake na waasisi wake ndyo utajua huo utofauti.

Waliungana na kuwa na lengo moja, lakini bado activities zao zina tofautiana, kila mmoja ana majukumu yake katika kutimiza lengo la NWO.
 
Wale Investors 😅
Sasa kuna ile inaitwa THE FURY ya wafaransa ina mpaka secret society ambayo inahusika na kuhit viongozi wakuu wa nchi ila hawalipwi hela wanalipwa chochote wanacho demand kama wakisema wana hit kiongozi wanataka walipwe Mbuga ya Serengeti huna cha kusema na hawataji demand yao hapo kwa hapo wanakuja kukupa next time!
Na kwenye kila biashara kuna mwendesha mfumo ukitaka kufanya hio biashara lazima upite kwa mwendesha mfumo 😅
Ila haya maisha
Ngoja niidownload embu nioneshe kava lake lipoje Leo niicheki
 
Ni jamii tofauti, kasome historia zake na waasisi wake ndyo utajua huo utofauti.

Waliungana na kuwa na lengo moja, lakini bado activities zao zina tofautiana, kila mmoja ana majukumu yake katika kutimiza lengo la NWO.
Kuna swali hukunijibu mkuu.
 
unyakuo ni stage by stage , so mkuu unataka niambia hata sisi tunaweza zeeka na kuondoka duniani mpaka ila unyakuo ukiwa pole pole pasipo watu kufaham?
Tayari unyakuo umeanza, na wengi bado hawafamu, kukamilika itachukua muda, mpaka kukamilika kwa 100% sisi tutakuwa tayari hatupo.

Silaha yao kuu ni ujinga wa watu, wanatumia nguvu nyingi kupumbaza watu ili wasijue kinacho endelea.
 
Tayari unyakuo umeanza, na wengi bado hawafamu, kukamilika itachukua muda, mpaka kukamilika kwa 100% sisi tutakuwa tayari hatupo.

Silaha yao kuu ni ujinga wa watu, wanatumia nguvu nyingi kupumbaza watu ili wasijue kinacho endelea.
Mkuu unaoosema hatupo kwamba tutakuwa tumeshakuwa wazee na kutoweka?
 
Vitakuwepo vizazi vyetu, na hao ndyo watakutana na hatua za mwisho.
PIa naomba niulize
1. Baada ya unyakuo wale watakao baki hawatakuwa na nafasi ya kutubu? Nmeuliza sababu nilisoma kwenye biblia kuwa baad ya hapo adhabu zilizokuwako zilikuwa kali sana pamoja na hayo bado watu hawakutubu madhambi yao na wakaendelea kulitukana jina takatifu la MUNGU,= Hapo alimaanisha nini?

2. Pia nasikia baad ya unyakuo kuna miaka 1000 ya kuishi ndipo arudi sijui kristo sasa hio miaka ni ya duninani au mbingunj kwa wale walinyakuliwa?

3. Kuna mahali nilisoma inasema MUNGU anawajua walio wake toka misingi na kuumbwa kwa ulimwengu, sasa hapa ina maan gani ? Kwamba kumbe tiari kuna watu walishaandikiw mbinguni na wengne jehanamu?

Nisadie knowledge mkuu hapo👆
 
Ngoja niidownload embu nioneshe kava lake lipoje Leo niicheki
images-7.jpeg

Hio inaitwa FURIES
halafu kuna ingine inaitwa CROOKS
images-8.jpeg

Na hii hapa SHOP FOR KILLER
MV5BZmY4ZTI3Y2QtNWIxMS00YzU4LWEyYjItZDgzYjA5NzU3ZjY2XkEyXkFqcGc@._V1_.jpg



Zote zinahusiana kws namna fulani fulani
 
Kapewa kibali cha kumiliki bikra za mikndr ukijichanganya umeliwa utake usitake
 
Katika society ya Illuminati, kiongozi wao ana jina la cheo cha juu, anaitwa Pindar, inasemekana mpaka mwaka 2023 alikuwa Sir Jacob Rothschild.

Huyu ndiye mwenye access ya kukutana na mashetani wa juu na kupokea maelezo kutoka kwao, kwa sasa Jacob ni marehemu.

Nao wanakufa kwani ni binadamu, lakini wana rithisha kwa bloodline zao, na mipango yao inaendelezwa na wanaofuatia.

Watu na ndevu zenu bado mnaamini hizi story? I thought hizi story ukimaliza primary unaachana nazo unakuwa ushajua zote ni kamba kumbe bado mnaendelea nazo? Wajinga kweli hawaishi.
 
Watu na ndevu zenu bado mnaamini hizi story? I thought hizi story ukimaliza primary unaachana nazo unakuwa ushajua zote ni kamba kumbe bado mnaendelea nazo? Wajinga kweli hawaishi.
Sawa Mr Bufa.
 
Utajiri ,mafanikio ya aina yoyote ile yanatokana juhudi pamoja na uvumilivu , sasa kuna baadhi ya watu wanataka njia za mkato kwa kumuangukia shetani ili wapate mafanikio ya haraka haraka mwisho wa siku shetani/ibilisi huwageuka na kuwapa mitihani mizito sana na kuwabana katika sehemu ambayo si rahisi kukataa kwa utakayo amrishwa.

Sasa huenda pia huyu kijana (P Didy ) ni miongoni mwa ma devil worshippers na mtihani alipopewa ndio huo wa kuwalawiti wanaume wenzake tena wale ambao sio mashoga kabisa.

Kwa akili ya kawaida inaonekana kabisa hili ni shinikizo maana si rahisi mtu mwenye akili zake timamu awe vile alivyo .

Kwa alipofikia kutoka si rahisi na mwisho wake umekuja vibaya sana kila mmoja anamnyooshea vidole .

Hili liwe funzo pia kwa wengine wapenda utajiri wa shortcut ipo siku utatakiwa kuulipia tena kwa gharama kubwa sana ambayo kwa namna moja au nyingine inashusha utu wako na unaonekana kituko kwa wanaokutazama.
Hivi kuna mwanaume yoyote ambae ametoa ushaihidi usiokua na shaka kwamba alilawitiwa na pdidy?

Hawa jamaa wakitaka kukumaliza wanatumia kwanza ile mbinu ya ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya.

Wakishakuchafua kila kona wanakua huru kukushughulikia kwa sababu hakuna ambaye atakutetea.
 
Back
Top Bottom