Dhana ya kurudia kitu mara tatu na uumbaji wa roho

Dhana ya kurudia kitu mara tatu na uumbaji wa roho

Hahaha, Mshana jr ana nguvu sana kuliko tunavyofikiri.
Moja ni mvumilivu punde anapomwagiwa povu..huwa hajibu povu kwa povu, hii ni nguvu kubwa mno kuliko zote.
Pili anafahamu mambo mengi makubwa ya upande wa giza, sio kwa kusimuliwa bali ameshiriki.
Anaufahamu juu ya Mungu aliye hai pia.

Kwa ujumla ni mtu HATARI akiamua kutumia silaha hizo 3 nilizoorodhesha
Mshana Jr
 
Hahaha, Mshana jr ana nguvu sana kuliko tunavyofikiri.
Moja ni mvumilivu punde anapomwagiwa povu..huwa hajibu povu kwa povu, hii ni nguvu kubwa mno kuliko zote.
Pili anafahamu mambo mengi makubwa ya upande wa giza, sio kwa kusimuliwa bali ameshiriki.
Anaufahamu juu ya Mungu aliye hai pia.

Kwa ujumla ni mtu HATARI akiamua kutumia silaha hizo 3 nilizoorodhesha
Mshana Jr
Mshana Jr is my role model
 
Hahaha, Mshana jr ana nguvu sana kuliko tunavyofikiri.
Moja ni mvumilivu punde anapomwagiwa povu..huwa hajibu povu kwa povu, hii ni nguvu kubwa mno kuliko zote.
Pili anafahamu mambo mengi makubwa ya upande wa giza, sio kwa kusimuliwa bali ameshiriki.
Anaufahamu juu ya Mungu aliye hai pia.

Kwa ujumla ni mtu HATARI akiamua kutumia silaha hizo 3 nilizoorodhesha
Mshana Jr
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Lakin wakristo tunaambiwa tusamehe saba mara sabini na tunaambiwa ile tu hali ya kujifeel upo guilty na ukaomba msamaha basi hata mbinguni unasamehewa...ss Mshana mm nkukosee nikiri kosa ukatae kusamehe kwa hyo mm nibaki slave kwako milele ilihali ni ww unaekataa msamaha


Kaka Mshana naomba unijibu juu ya hili tafadhali
 
hata mipira ya kufanyia mapenzi wanaweka pc Tatu
 
Ahsante kwa madini mkuu..hata hizi funguo hapa ziko tatu aisee..nimekumbuka pia tuna Bunge,Mahakama,na Utawala...
 
Ahsante kwa madini mkuu..hata hizi funguo hapa ziko tatu aisee..nimekumbuka pia tuna Bunge,Mahakama,na Utawala...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom