meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Rip bob makani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo letu humu ni wataalamu sana wa kutaka ubadilisha mada hata kama zina hoja za msingi, siyo wote wenye upofu, vichwa vya magzeti yote na mitandao ya kijamii ni LEMA, ZITTO MBOWE n.k. mnakiua chama kwa kukwepa kujadili mada ambazo zinajaribu kuwaweka kwenye mstari.
ZITTO KABWE kigoma.Victor kimesela Manyara, SAID ARFI mpanda ALLY MZEE ALLY zanzibar SHIDA SALUM mama yake zitto Kigoma,SHEKHE Mwaipopo Mbeya
Ukiingilia biashara ya watu utapigwa tu...
Mnyukano mkali unaoendelea ndani ya CHADEMA ni dhahiri ni baina ya kundi ambalo halitokei kaskazini na watu wa kaskazini(SLAA, LEMA, MBOWE, MNYIKA, n.k) wanaoamini kuwa chama kiliasisiwa kaskazini, kikalelewa kakskazini na pengine wana imani kuwa bila ya watu wa kaskazini CHADEMA hakitakuwepo tena.
Ombi langu ni viongozi wengine wa CDM ambao hawatokei kaskazini(mimi namjua HECHE peke yake kwa sababu ni ndugu yangu) waje waseme, hii nguvu waliokuja nayo akina LEMA kama zina chembechembe za u-kaskazini au la, na kama ndiyo hivyo hawaoni kama wao kuendelea kuwepo CHADEMA wanasaliti wenyeji wa mikoa kwa vile na wao wanawahitaji kuwapigania?
Jambo likizungumzwa sana na kurudiwa sana linakua kweli
Mnyukano mkali unaoendelea ndani ya CHADEMA ni dhahiri ni baina ya kundi ambalo halitokei kaskazini na watu wa kaskazini(SLAA, LEMA, MBOWE, MNYIKA, n.k) wanaoamini kuwa chama kiliasisiwa kaskazini, kikalelewa kakskazini na pengine wana imani kuwa bila ya watu wa kaskazini CHADEMA hakitakuwepo tena.
Ombi langu ni viongozi wengine wa CDM ambao hawatokei kaskazini(mimi namjua HECHE peke yake kwa sababu ni ndugu yangu) waje waseme, hii nguvu waliokuja nayo akina LEMA kama zina chembechembe za u-kaskazini au la, na kama ndiyo hivyo hawaoni kama wao kuendelea kuwepo CHADEMA wanasaliti wenyeji wa mikoa kwa vile na wao wanawahitaji kuwapigania?
Kunachembe za ukweli ndani yake yote haya mda si mwingi yatajulikana tu lazima jipu lipasuke tu.
Kweli kabisa, kuna haja ya watu kama akina Prof. SAFARI, prof. BAREGU KITILA MKUMBO, ARFI na wengine wajitokeze waseme nini hasa kiini cha mvutano huu kati ya watu wa Kaskazini(SLAA, MBOWE, MNYIKA, LEMA) na wale wasiotokea mikoa hiyo(MWIGAMBA, ZITTO n.k). Inawezekana kuna weingine wanasikilizia tu nini kitakachojiri kabla ya kuchukua maamuzi ambayo yanaweza kukiathiri chama. Ni kweli ikifahamika kwamba kuna siri ya U-kaskazini basi wale wanaoonekana kuwaunga mkono akina MBOWE hawatakwepa jina la "VIBARAKA" kwa vile kila mtu anajua vyema kazi ya vibaraka enzi za ukoloni. Hawa watakuwa wameacha kupigania maslahi ya mikoa yao kwa sababu tu ya kunyemelea nafasi za uongozi ambazo zitaachwa wazi na wale wanaoitwa kwa sasa wasaliti. Tunawajua hawa wanaotoka mikoa ya mara, Mbeya, Singida na kwingineko kama hali itafikia huko ni wazi hawana mapenzi mema na maeneo wanayotoka.
Mnyukano mkali unaoendelea ndani ya CHADEMA ni dhahiri ni baina ya kundi ambalo halitokei kaskazini na watu wa kaskazini(SLAA, LEMA, MBOWE, MNYIKA, n.k) wanaoamini kuwa chama kiliasisiwa kaskazini, kikalelewa kakskazini na pengine wana imani kuwa bila ya watu wa kaskazini CHADEMA hakitakuwepo tena.
Ombi langu ni viongozi wengine wa CDM ambao hawatokei kaskazini(mimi namjua HECHE peke yake kwa sababu ni ndugu yangu) waje waseme, hii nguvu waliokuja nayo akina LEMA kama zina chembechembe za u-kaskazini au la, na kama ndiyo hivyo hawaoni kama wao kuendelea kuwepo CHADEMA wanasaliti wenyeji wa mikoa kwa vile na wao wanawahitaji kuwapigania?
Tatizo letu humu ni wataalamu sana wa kutaka ubadilisha mada hata kama zina hoja za msingi, siyo wote wenye upofu, vichwa vya magzeti yote na mitandao ya kijamii ni LEMA, ZITTO MBOWE n.k. mnakiua chama kwa kukwepa kujadili mada ambazo zinajaribu kuwaweka kwenye mstari.
Kweli kabisa, Hawa watakuwa wameacha kupigania maslahi ya mikoa yao.
Kumbe pakuanzia ni kwa shonza,mtela,mwigamaba,zito,shibuda na wengine wa aina hii sijui kama wewe ni muumini wa demokrasia pengine wewe ni mnufaika wa hawa wanaowanyanyasa hawa watu na kujiita wao ni miungu watu kwenye jamii na chadema kwa ujumla lakini wanajaribu kina cha maji kwa miguu yote miwili.Mkuu kumbuka kila kitu kina mahli pa kuanzia na baadae kitakua na kupanuka lkn mwanzo wake lazima uwepo. Mkuu kutumia ukanda kama silaha ya kukifanya chama makini na kioo cha wapigania wanyonge kutaka kukiua haisadii maana hiyo silaha ni BUTU! angalia wakati linaundwa na kuimalishwa JWTZ chini ya mzee wetu mwl Julius Kambarage Nyerere (Mungu amuweke mahli pema) viongozi waanadamizi wa JWTZ walitokea ukanda wa Musoma, kwa hiyo tusema mwl alifanya makosa? Angalia JWTZ ilivyo sasa! Acha kutumia akiri duni ndugu yangu
Waache kufanya kazi za ujenzi wa chama wakajibu hate speech za waliofilisika kisiasa?