The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
nchi za afrika trump aliziiti shit hole yaani shimo la mavi, viongozi wake si ndio atawaita uharo? Museveni tu alitishia kumkamata na kumfunga jela, haijulikana Trump anamheshimu kiongozi gani wa nchi gani ya Kiafrika na atatembelea nchi gani ya afrika kama ataendelea na dharau zake kwa mabara mengine. Ulaya yenyewe anaiona kama nyanya masalo tuHawa wa maeneo ya huko ni wababe sana
Kuna wakati Trump alimwambia kuna stupid president
Jamaa alimwangalia nikasema atampiga
Lakini ikumbukwe Trump kafanya makusudi kwa press hiyo
Sasa mjue marais wa Africa wanapoenda kuomba huwa wanafanywa nini
Bora Sele kajitetea na dili naona limekufa rasmi maana hata Dinner aliyoandaliwa aligoma kwenda
Zele ni boya hiii vita ata akiamka kesho aka withdraw inaishia lakini ana taka kukomaa na vita ambayo hawezi shinda hata akipewa jeshi la USHawa wa maeneo ya huko ni wababe sana
Kuna wakati Trump alimwambia kuna stupid president
Jamaa alimwangalia nikasema atampiga
Lakini ikumbukwe Trump kafanya makusudi kwa press hiyo
Sasa mjue marais wa Africa wanapoenda kuomba huwa wanafanywa nini
Bora Sele kajitetea na dili naona limekufa rasmi maana hata Dinner aliyoandaliwa aligoma kwenda
Trump nae anashida, Ukraine ipo kwenye vita miaka yote ila anataka wapanda kichwani , hii sio sawa naungana na Ukraine,Hii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Lakini ikumbukwe Trump kafanya makusudi
That's what we expected to be the end between US and Ukraine don't you see even initial letters are likeHii dharau na kiburi na kujiamini kwa rais wa Ukraine ni kwa level nyingine kabisa ambayo hainawahi kuonekana Duniani.
Zelensky yuko oval ofisi ama ikulu ya Marekani na awajibi Trump na Vance kwa dharau na kiburi cha hali ya juu sana.
Trump amesema Zelensky ameidharau sana Marekani tena mbele ya ofisi yao kuu.
Binafsi nimevutiwa na ujasiri wa Zelensky, ni wanaume wachache wanaweza kukaribishwa ugenini na bado wakamkoromea baba mwenye mji😂.
View: https://x.com/EndWokeness/status/1895528891164606810?s=09
Zele ana tamaa sanaAlipofika White House na kabla ya kuingia walishaanza kumletea kigingi.
Ase, Jamaa anamwambia sasa ww unataka vita vikuu vya tatu.
- alizuiliwa getini kwa dakika kadhaa (inasadikika hivyo)
- WH hawakumwekea bendi na shamrashamra kama wanavyo wafanyia viongozi wengine wa Nchi za kigeni.(kumkomesha na kumdogosha)
- ..wengine wanadai, mbali ya majibishano, kwamba hata uvaaji wake ulikuwa wa madharau sio tu kwa Marekani, WH bali na Rais mwenyewe. Alivaa kombati.